Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkasa wa 3 umeniuma sana na nimejifunza kwamba, ukiweka mapenzi kama kipaumbele chako kuna namna flani lazima yakugharimu.
Pole sn mkuu[emoji1787]Yule mwanamke aliwezaje kukimbia na Tv Inch 55 huwa inaniuma nitakuja kueleza vizur
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole ndugu yanguEnzi sijaoa
Niliwahi pigwa tukio na mwanachuo mmoja. tulikutana kimtaa, tukazoeana na Ela ndogo ndogo nikawa namsaidia bila papara ya kumchakata maana alivotulia niliplan nimuoe, sikutaka kuonekana fisi.
Baada ya wiki 2,
Akanambia anagraduation anaomba zawadi, nikamwambia usiwe na wasi.
nikamfanyia shopping na Ela za maandaliz nikampatia.
Siku ya graduation kidume nikambebea samsung Kali Sana(kwa miaka hiyo)
Nilipomkabidhi TU Ile Simu graduu ikaisha sikumpata kabisa tena kwny Simu.
Aliniblock baadae namba ikawa haipatikani kabisa na sikujua hata anakoishi wala rafk yake yoyote wa karibu MDA ule,baadae ndo niliskia alirudi mkoani na pale chuoni Alikua na mtu wake ambae Ni mfanyakaz serikalini
Niliumia Sana sio kwasababu ya ile Simu au pesa nilizomghatamia. Bali tayar nilishamuweka moyoni.
ila baadae maumivu yaliisha na nikasahau[emoji4]
Kwahiyo hakukumwambia sababu ya kumpotezea ni nini?? Au alijua alichokosea?Alinambia anatoka chuo sa 12 anaenda hostel kulala ataamka saa moja kasoro, tukakubaliana huo muda ntaenda kumchukua tukale then aje kulala geto.
muda ulipokaribia nikafika nyuma ya hostel zao kuna kama ukuta upo nusu couple zimesimama kwenye kigiza as usual maana zile ni hostel za madem wahuni wapo kazini, napiga simu haipokelewi sms hazijibiwi nikajipa moyo huyu atakua amelala, saa mbili ikakatika sim hazijibiwi, saa tatu ikafika naona kuna couple niliikuta nikawapita nikaenda kukaa pembeni yao ndo wanaondoka hilo eneo naona lile si tako la M[emoji50][emoji50], wanafika kwenye mwanga kumbe niliedhani amelala yupo pembeni yangu na bwana ake tokea nimefika, sikutaka kusogea maana hata kupigana sijui japokua mwamba nilikua nammudu kwa kumuangalia, wakaachana pale,
yule mtoto akawa anarud hostel huku namungalia akatoa sim mfukoni anapiga mara text za nilikua nimelala nakuja sahv, sikupokea simu wala kujibu sms mpaka leo japokua njiani tulikua tunakutana na tunapeana hai za juu juu kila mtu anasepa zake
Acha kabisa mkuu, Nilijutia sn[emoji4][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole ndugu yangu
Sikutaka mjadala tena alinitafuta wiki mbili sijibu wala simu sipokei alaf anauliza nini shida J mbona au umepata mwingine😂😂😂 baadae nahisi alifuta namba yangu maana sikuona tena status updatesKwahiyo hakukumwambia sababu ya kumpotezea ni nini?? Au alijua alichokosea?
Inauma sana, I can imagineEnzi sijaoa
Niliwahi pigwa tukio na mwanachuo mmoja. tulikutana kimtaa, tukazoeana na Ela ndogo ndogo nikawa namsaidia bila papara ya kumchakata maana alivotulia niliplan nimuoe kabisa, sikutaka kuonekana fisi.
Baada ya wiki 2,
Akanambia anagraduation anaomba zawadi, nikamwambia usiwe na wasi.
nikamfanyia shopping na Ela za maandaliz nikampatia.
Siku ya graduation kidume nikambebea samsung Kali Sana(kwa miaka hiyo)
Nilipomkabidhi TU Ile Simu kama zawadi. graduu ikaisha na sikumpata kabisa tena kwny Simu.
Aliniblock baadae namba ikawa haipatikani kabisa na sikujua hata anakoishi wala rafk yake yoyote wa karibu MDA ule,baadae ndo niliskia alirudi mkoani na pale chuoni Alikua na mtu wake mwanachuo mwenzake ambae Alikua Ni mfanyakaz serikalini
Kiukweli Niliumia Sana,
sio kwasababu ya ile Simu au pesa nilizomgharamia, Bali tayar nilishamuweka moyoni na niliplan aje kua MKE wangu kwa jins nilivomthaminisha.
ila baadae maumivu yaliisha na nikasahau[emoji4]
mkuu hujawahi kumuona mpaka leo?Enzi sijaoa
Niliwahi pigwa tukio na mwanachuo mmoja. tulikutana kimtaa, tukazoeana na Ela ndogo ndogo nikawa namsaidia bila papara ya kumchakata maana alivotulia niliplan nimuoe kabisa, sikutaka kuonekana fisi.
Baada ya wiki 2,
Akanambia anagraduation anaomba zawadi, nikamwambia usiwe na wasi.
nikamfanyia shopping na Ela za maandaliz nikampatia.
Siku ya graduation kidume nikambebea samsung Kali Sana(kwa miaka hiyo)
Nilipomkabidhi TU Ile Simu kama zawadi. graduu ikaisha na sikumpata kabisa tena kwny Simu.
Aliniblock baadae namba ikawa haipatikani kabisa na sikujua hata anakoishi wala rafk yake yoyote wa karibu MDA ule,baadae ndo niliskia alirudi mkoani na pale chuoni Alikua na mtu wake mwanachuo mwenzake ambae Alikua Ni mfanyakaz serikalini
Kiukweli Niliumia Sana,
sio kwasababu ya ile Simu au pesa nilizomgharamia, Bali tayar nilishamuweka moyoni na niliplan aje kua MKE wangu kwa jins nilivomthaminisha.
ila baadae maumivu yaliisha na nikasahau[emoji4]
Wanawake wamikoani wakija mjini wanajifanya watoto wa mjini kumbe washamba sana na walimbukeni sana inaonekana hakuwa kumiliki simu nzuri na wanachanganyikiwa na vitu vidogo vidogo kama Tv, simu , magari yani wakikutana na hivyo vitu wachanganyikiwa. Kama huyo simu tu imemfanya akublock wakati ulimsaidia vitu vingi tu.Enzi sijaoa
Niliwahi pigwa tukio na mwanachuo mmoja. tulikutana kimtaa, tukazoeana na Ela ndogo ndogo nikawa namsaidia bila papara ya kumchakata maana alivotulia niliplan nimuoe kabisa, sikutaka kuonekana fisi.
Baada ya wiki 2,
Akanambia anagraduation anaomba zawadi, nikamwambia usiwe na wasi.
nikamfanyia shopping na Ela za maandaliz nikampatia.
Siku ya graduation kidume nikambebea samsung Kali Sana(kwa miaka hiyo)
Nilipomkabidhi TU Ile Simu kama zawadi. graduu ikaisha na sikumpata kabisa tena kwny Simu.
Aliniblock baadae namba ikawa haipatikani kabisa na sikujua hata anakoishi wala rafk yake yoyote wa karibu MDA ule,baadae ndo niliskia alirudi mkoani na pale chuoni Alikua na mtu wake mwanachuo mwenzake ambae Alikua Ni mfanyakaz serikalini
Kiukweli Niliumia Sana,
sio kwasababu ya ile Simu au pesa nilizomgharamia, Bali tayar nilishamuweka moyoni na niliplan aje kua MKE wangu kwa jins nilivomthaminisha.
ila baadae maumivu yaliisha na nikasahau[emoji4]
La muhimu na wewe ulito.mbaHuyo wa kwanza anafaa kuolewa kabisa. Kajiongeza, akose pesa hata chakula akose pia. Hakuna kugongwa kwa mkopo[emoji3][emoji3][emoji3].
Enzi za utoto nilikuwa na kidemu cha kimanga cha mtaani wenyewe tunadanganyana tutaoana. Kwa vile alikuwa geti kali na mambo ya simu hakuna, mawasiliano mengi tulikuwa tunafanya kupitia kwa binamu yake wa kiume ambae anaishi kwao.
Ilikuwa nikipata vizawadi nampa shemeji binamu apeleke. Na saa nyingine msela anakuja kudai katumwa aje aombe pesa kwangu, na mimi natoa.
Ilikuwa nasoma shule ya bweni. Niliporudi likizo kipindi nipo kidato cha 4 nikasikia demu kaolewa. Ikabidi nimtafute shemeji binamu aniambie vizuri nakuja gundua kumbe ndio mume mwenyewe aliemuoa demu wangu. Walikuwa wanapigana miti ndani mwao humo mpaka kuja kufumwa na kuozeshwa na wazazi wao.
Halafu jamaa lilivyokuwa kauzu linaniambia kama kuna ujumbe au zawadi yeyote niendelee kumpa ampelekee mkewe ambae ni demu wangu.
Na demu ilikuwa nikikutana nae baada ya hapo ananiambia bado mimi ni mpenzi wake. Tuliendelea kupigana miti kwa kuiba iba mpaka walipohamia Zanzibar na mumewe binamu.
Mpaka leo hii demu yeyote akiniambia mambo ya 'cousin' wa jinsia tofauti na uhusiano unaishia hapo hapo.
Nilikopa pesa Benki ili nimpe aongezee kwenye biashara yake lakini mwisho wa siku hata miezi mitatu haikupita tukaachana na million 3 zilienda na maji ya katerero1. Mimi miaka kadhaa nyuma kuna dem nilimuahidi akija geto nitampa 20k siakajichanganya akaja geto nikala mzigo fresh baade kataka ile hela nikamwambia sina nitakupa siku nyingine basi tukalala ile naamka asubuhi demu hayupo nikagundua kumbe kaondoka na kisado cha dagaa nyama nilihis ganz mwil mzima.
2.Hii iliniuma sana mwaka 2018 nilipata toto flan hiv la kimbulu full msambwanda sinikajichanganya nikataka kabisa kumtia mimba na akahitaj nikamtambulishe mpk nikaanza kuwaletea nyodo madem zangu wawili kwakujiona nimepata kifaa ndani ya miezi miwil nikaja kugundua huyu dem wa kimbulu kumbe ni dem wa mtu tena mbavu nene kwahy leo yupo kwangu kesho kwa jamaa aseh niliishiwa pozi siku tunakutana na jamaa tukajuana tunakula sehem moja,ila mwisho wa siku dem ndio alimkana jamaa tukiwa wote watatu ila mm sikueza tena kuwa serious kwa dem hii kitu iliniuma sana badae huyu manz akadai ana mimba hapo ndio kimbembe kilipotokea[emoji23]
3.Hii ndio mpk leo siwezi kusahau mwaka 2016 napigiwa cm na mzee wangu sa12 alfajir kuwa natakiwa niripot kambini makutupora dodoma huku nyuma nina dem wang anamimba ya miez 5 nikajianda nikadandia bus mpk dom.Nikafika kambin lkn huku akili yangu ipo kwa dem niliemtia mimba kufupisha nikatoroka kambin nikarud mkoani usiku wa manane matokeo yake kwao walivyogundua binti yao mjamzito alaf anatakiwa aende chuo wakaichomoa mimba hii kitu iliniuma sana na mapenz yakaisha hapo hapo japo niliendelea kumla mpk nilipokuja kumuacha 2019 baad ya kuamua kumuambia ukwel kuwa sina mapenz nae(huenda leo ningekuw soja *****[emoji22])
Je ww ulishawah kupambana na mkasa upi uliokugusa katika mapenz?
Una moyoAliniambia ana mimba ya jamaa mwingine nikakubali ila akawa hataki tuonane nikabembeleza sana lakini ikashindikana kukutana(sikuwa namanisha) Hii ilichangiwa pia na ubusy wangu, free time ilikua kuanzia saa 5 usiku, ikapita miezi 6 akawa na uhitaji wa hela, nikajisemea yes hatimae amekuja napopataka. Akawa anasema nimtumie au anatuma boda aje aichukue nikamkatalia, kauli yangu ilikua ni aje achukue mwenyewe kama haiwezekani basi! Akalalama mwisho wa siku akaniambia ukirudi nijulishe.
Nimerudi nikamjulisha, akaja kweli kumcheki kitumbo kipo kipo, katika 1 na 2 nikamshika uno, akaanza kusema ni vibaya kufanya na hali yake, nikamjaza maneno matam hao tukafanya yetu, katikati ya mchezo naona mara kitumbo kinajaa na kupungua(alishindwa kuhimili hilo nikamwambia aache kujaza kitumbo asijejinyea bure), nikamwambia asante kwa kuniongopea na hela mimi sina(niliongea tu hela nilishasema nampa na vijizawadi vingine nilimpa tu alivyofika). Tukalala akiwa amenuna sana, sikujali.
Kumekucha sioni mtu ameshaondoka, kucheki vizuri sioni pasi, frampeni na jagi la kuchemshia maji.
Nimekutana nae mwaka jana alikiri kuvichukua, tukapasha kiporo now ni rafiki wa faida.
Hiyo ya kwanza [emoji22][emoji22][emoji22]Mwaka 2007 mitaa ya Tomondo, Unguja nimetulia ghetto nikamuita Mamu mtoto wa Pwani aje nimshungulikie, ilikua mwezi wa ramadhani nikamwambia ntamla usiku baada ya kuftari. Mamu alifika usiku ghetto nikamvua chupi nikala papa safi saa 11 alfajiri nikaoga nikala daku nikalala kulivyo kucha Mam akaomba shuka zangu za 8/8 akafue nikaona mwana nimepata wife material. Toka alivyotokomea nayo mpaka leo sijawahi kuyaona tena mashuka yangu makali ya mtumba.. Mwingine dent wa Chuo Cha Mwalimu Nyerere nilianza naye kitambo Tabora tukaja kukutana Dar nikamribisha Ghetto nikala papa nikaenda kazini kurudi nakuta kapita na jagi la kuchemshia maji.. dah Wanawake wezi sana
[emoji38][emoji38][emoji38]Ukageuka mlinziAlinambia anatoka chuo sa 12 anaenda hostel kulala ataamka saa moja kasoro, tukakubaliana huo muda ntaenda kumchukua tukale then aje kulala geto.
muda ulipokaribia nikafika nyuma ya hostel zao kuna kama ukuta upo nusu couple zimesimama kwenye kigiza as usual maana zile ni hostel za madem wahuni wapo kazini, napiga simu haipokelewi sms hazijibiwi nikajipa moyo huyu atakua amelala, saa mbili ikakatika sim hazijibiwi, saa tatu ikafika naona kuna couple niliikuta nikawapita nikaenda kukaa pembeni yao ndo wanaondoka hilo eneo naona lile si tako la M[emoji50][emoji50], wanafika kwenye mwanga kumbe niliedhani amelala yupo pembeni yangu na bwana ake tokea nimefika, sikutaka kusogea maana hata kupigana sijui japokua mwamba nilikua nammudu kwa kumuangalia, wakaachana pale,
yule mtoto akawa anarud hostel huku namungalia akatoa sim mfukoni anapiga mara text za nilikua nimelala nakuja sahv, sikupokea simu wala kujibu sms mpaka leo japokua njiani tulikua tunakutana na tunapeana hai za juu juu kila mtu anasepa zake
KwanniUna moyo
Hapo kwenye kupasha kiporoKwanni