Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

Mi sijawahi kupigwa tukio ila niliwapiga tukio mbwa wawili.

Mmoja ni mhaya sjui mnyarwanda shingo kama shock absober ulijitia mjanja ulidhani utantumia eeh mxiew ndo maana nlikupiga matukio na kalenda juu mbwiga wee😂 na nikakuacha peupe mfyuu yani ukose vishimo vyote uje ujaribu cha kwangu. Ni miaka kumi imepita ila najiona mjanja bado nilikuweza hamna utelezi wa bure punda we na najua utapita kusoma hapa sikupendi hata kwa kidonge

Wa pili ni mbuzi ya malawi kichwa kama tunda la ubuyu, bora nlikunyima utelezi jina lako linaanzia na A kokote ulipo tumbo likusokote haliwi boya kijinga jinga. Na hirizi yako ile.

Mijanaume inayojitiaga mijanja ndo naipenda nakuchapa tukio unajivua cheo mwenyewe. Af mkinyimwaga utelezi mnakuaga kama ng’ombe alieona mjamzito😂😂😂 ah kukua raha sana saizi nikiwakumbuka nawacheka
 
Vipo mkuu, huoni siku hizi tunawapiga matukio kweli kweli, angalia mke wa manara, mke wa dr. Mwaka wote wajumbe meza kuu wale. Tumesanuka sasa hivi.
Hata siwaonei huruma wachapwe hadi wachanganyikiwe. Na bado
 
Wakati nipo O level nilikuaga na jamaa nili fall in love kinyamaaa kwa kifupi nilizama haswaaah.

Siku ya kuachwaa naambiwa "nilikua na wee kwa hisani tyuuh na leo hisani yangu imeisha." Woiiiiiiiiiih nilihisi dege dege LA ukubwani limenipandaa, chizi sio chizi, mwendawazimu sio kichaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku tunakutana anasema "nakuona mtoto umazidi kushynee tyuuh" nkamjibu "ndyooo nimempata wa kunisitiri sahv hisani si uliondoka nayo wee"

Now kaanza usumbufu wa kujisogeza kwan, na venye hata mshipa wa nyegee cnaga nae tenaa.

Huyuu jamaa alijua kuninyoosha khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We n nouma
 
Mi sijawahi kupigwa tukio ila niliwapiga tukio mbwa wawili.

Mmoja ni mhaya sjui mnyarwanda shingo kama shock absober ulijitia mjanja ulidhani utantumia eeh mxiew ndo maana nlikupiga matukio na kalenda juu mbwiga wee[emoji23] na nikakuacha peupe mfyuu yani ukose vishimo vyote uje ujaribu cha kwangu. Ni miaka kumi imepita ila najiona mjanja bado nilikuweza hamna utelezi wa bure punda we na najua utapita kusoma hapa sikupendi hata kwa kidonge

Wa pili ni mbuzi ya malawi kichwa kama tunda la ubuyu, bora nlikunyima utelezi jina lako linaanzia na A kokote ulipo tumbo likusokote haliwi boya kijinga jinga. Na hirizi yako ile.

Mijanaume inayojitiaga mijanja ndo naipenda nakuchapa tukio unajivua cheo mwenyewe. Af mkinyimwaga utelezi mnakuaga kama ng’ombe alieona mjamzito[emoji23][emoji23][emoji23] ah kukua raha sana saizi nikiwakumbuka nawacheka

Sasa ndo umeandika nn?
 
1. Mimi miaka kadhaa nyuma kuna dem nilimuahidi akija geto nitampa 20k siakajichanganya akaja geto nikala mzigo fresh baade kataka ile hela nikamwambia sina nitakupa siku nyingine basi tukalala ile naamka asubuhi demu hayupo nikagundua kumbe kaondoka na kisado cha dagaa nyama nilihis ganz mwil mzima.

2.Hii iliniuma sana mwaka 2018 nilipata toto flan hiv la kimbulu full msambwanda sinikajichanganya nikataka kabisa kumtia mimba na akahitaj nikamtambulishe mpk nikaanza kuwaletea nyodo madem zangu wawili kwakujiona nimepata kifaa ndani ya miezi miwil nikaja kugundua huyu dem wa kimbulu kumbe ni dem wa mtu tena mbavu nene kwahy leo yupo kwangu kesho kwa jamaa aseh niliishiwa pozi siku tunakutana na jamaa tukajuana tunakula sehem moja,ila mwisho wa siku dem ndio alimkana jamaa tukiwa wote watatu ila mm sikueza tena kuwa serious kwa dem hii kitu iliniuma sana badae huyu manz akadai ana mimba hapo ndio kimbembe kilipotokea[emoji23]

3.Hii ndio mpk leo siwezi kusahau mwaka 2016 napigiwa cm na mzee wangu sa12 alfajir kuwa natakiwa niripot kambini makutupora dodoma huku nyuma nina dem wang anamimba ya miez 5 nikajianda nikadandia bus mpk dom.Nikafika kambin lkn huku akili yangu ipo kwa dem niliemtia mimba kufupisha nikatoroka kambin nikarud mkoani usiku wa manane matokeo yake kwao walivyogundua binti yao mjamzito alaf anatakiwa aende chuo wakaichomoa mimba hii kitu iliniuma sana na mapenz yakaisha hapo hapo japo niliendelea kumla mpk nilipokuja kumuacha 2019 baad ya kuamua kumuambia ukwel kuwa sina mapenz nae(huenda leo ningekuw soja *****[emoji22])

Je ww ulishawah kupambana na mkasa upi uliokugusa katika mapenz?
Kwa nilivyosoma stori zako hapo juu haiwezekani wewe ukawa mwanamme wa Dar, hongera sana👏👏👏
 
Wanawake wamikoani wakija mjini wanajifanya watoto wa mjini kumbe washamba sana na walimbukeni sana inaonekana hakuwa kumiliki simu nzuri na wanachanganyikiwa na vitu vidogo vidogo kama Tv, simu , magari yani wakikutana na hivyo vitu wachanganyikiwa. Kama huyo simu tu imemfanya akublock wakati ulimsaidia vitu vingi tu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Acha kabisa mkuu
 
Yule mpuuzi aliniomba nauli ya goo endi ritani eti anaenda Dar kwenye Send-off ya mtoto wa shangazi yake, nikampa shilingi laki mbili , mbwa yule kumbe ni yeye ndio alikuwa anaenda kuolewa
Kuna wanawake hawana mshipa wa aibu
 
Back
Top Bottom