Mwaka 2021 katika harakati za kusaka maisha nilikwenda kijiji flani kinaitwa mlanzi wilaya ya kibiti!kununua mapapai shamba!nimekaa siku tatu nakusanya mzigo siku ya nne nikaona nitafute mtoto wa kindengereko nimtembezee moto,tukaelewana bei na kweli usiku demu akaibuka guest niliyokuwa nimefikia panaitwa kwa bora!demu kufika nikamshawishi anywe hata bia 2!mwanzo akagoma ila mwisho akakubali.
Akanywa safari ya kwanza ikaisha,nikamfungulia ya pili,wakati ipo nusu akaenda chooni,chumba kilikuwa hakina choo ndani,alipoenda chooni nikamchanganyia na k vant bia yake lengo ni azime nijipigie hata vitano usiku ule maana tulikuwa tumekubaliana vitatu.
Sasa aliporudi akanywa mpaka ikaisha,ile naanza romance tu ghafla akabadilika akaanza kutoa misauti ya ajabu ajabu,kumbe demu ana majini,kabla sijajua nifanyaje ghafla akanikamata akaanza kunitia makofi ya uso tena alikua analenga puani!
Ndani ya dk.2 hivi nilichezea mabanzi kama 100,nilitoka nduki kimya kimya!
Sikurudi tena mle room nikaenda kulala ktk gari