Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

Wewe ni fala sana mkuu. Kuna mafala wengi kwenye huu uzi, akiwemo huyo alietoroka jeshini kisa mwanamke, ila naona kama wewe umemfunika kabisa!

Nisamehe kwa lugha kali, wewe ni fala sana.

Kwa mara ya mwisho, wewe ni fala sana brother. Fala mno!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fala square
 
Yule mpuuzi aliniomba nauli ya goo endi ritani eti anaenda Dar kwenye Send-off ya mtoto wa shangazi yake, nikampa shilingi laki mbili , mbwa yule kumbe ni yeye ndio alikuwa anaenda kuolewa
Aaha hii balaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule mpuuzi aliniomba nauli ya goo endi ritani eti anaenda Dar kwenye Send-off ya mtoto wa shangazi yake, nikampa shilingi laki mbili , mbwa yule kumbe ni yeye ndio alikuwa anaenda kuolewa

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[mention]Kelsea [/mention] pita huku
 
Maisha ya mapenzi ni upuuzi sana

Nliwahi kumfukuzia nesi mmoja hivi kwa kipindi kirefu tu...
Mwisho wa siku nkafanikiwa kuwa nae,
Ana maendeleo mazuri kiasi kua amejenga nyumba yake ndogo ya kuishi..
Penzi lilikua lamoto ni balaa, nkitoka tu kazini huyu hapa geto,atakaa atalala hadi achoke..anaondoka kurudi kwake..

Baada ya mwezi hivi, anatoka kazini ananipigia simu anasema
“Kelphin baba n... amekuja, hajaniambia ... hivi hapa nmekuta mabegi amewekeza nyumba ya jirani!

Nkajibu tu haya sawa...sikujibu wala kupokea simu yake tena baada ya hapo
Kesho yake kutwa nzima sikupokea/jibu msg..
Mama yake na huyu nurse tulikua tunakaa mtaa mmoja,mazoea ya binti ni kuja kwa mama yake mala kwa mala sababu ni jirani kwake
Hivyo akipota nkiwa nipo lazima atakuta gate/dirisha vipo wazi....ila sms wala simu sipokei.

Kufika mida ya tano hivi usiku uvumilivu ukamshinda...akabeba masindano na zile groves nyeupe akaaga anaenda kumpiga mtu sindano kapata dhalula

Kafika home kafungua mlango bila hodi vuuup ndani...kavua gauni kalitupa chini kaja kitandani..me namuangalia tu chakumuambia sina ...
“Mbona hupokei wala hujibu msg zangu!?” Ilikua swali lake lakwanza ...nkamwambia sielewi nini nkujibu...akawa kama analia hivi (kilio cha uwongo) me namtazama tu

Akawa ile like ananishika akijua lazima ntamtaman tu sex...hapo kabaki nude kabisa..
Nkamwambia wew nenda me nko pow tu...na kitabasamu cha uwongo uwongo...ili anyanyuke...ila wapii haelewi

Alikaa kama 40minutes akaenda kwake...me nkalala zangu


#singleM....
 
Hili tukio nilipigwa ni kama Karma;


Kuna manzi alikua mrembo sana, typical chuga girl. Mara nyingi akiongea utasikia maneno kama "huyu chalii anazingua" au "fata mambo yako eroo" na swaga zingine zinazofanana na hizo.

Mzuri kweli kweli ila sasa ukiwa unaongea naye kuna mzuka fulani unapotea kwenye maongezi maana usela wake umezidi mpaka unahisi kama anajifanyisha!

Basi bhana,

Huyu binti tulikua naye course moja wakati ule. Kutokana na nature ya course yetu wanaume walikuwa wengi sana kuzidi wanawake. Na hata hao wanawake wachache waliopo, wengi walikua wagumu kasoro yeye tu ndio alikua mng'ao.

Macho yakawa mengi sana kwake, hadi washikaji zangu wa karibu wakawa wanapambania kombe. Kati yao kuna mmoja alimuelewa sana, ile kumuelewa manzi kiasi cha kuwaza kumuoa kabisa kama akikubali. Na huyo mshikaji alikua room'ate wangu kwaiyo mara nyingi alikua ananiambia anachomuwazia bibie. Na alikua free kwa sababu mimi sikuwahi kuonesha interests yoyote kwa yule binti. So hakuniona kama competitor!

Sasa kwa sababu wapambanaji ni wengi, yule manzi akaanza kuwa na kiburi; ile kuwa na "ego" au "arrogant" kama mnavyosema wasomi! Kwaiyo akawa kama amechoka ku play a "good girl" character kwenye movie ya wahuni maana wakiambiwa vizuri hawaelewi wao ni kukomaa tu. Ikafika hatua ukisogeza pua anakukatia kipande cha maneno mabovu utayachambua mwenyewe mbele ya safari (niligundua hili wakati tunapiga story za hapa na pale na masela huku tukichekana siku zinasonga).

Nilikuja kupangiwa naye group moja la majadiliano baada ya vipindi. Sasa kwa sababu najua hali ilivyo kuhusu yule binti, basi muda wote ambao tulikua karibu, mimi nikawa nakaa kwenye mada husika tu, siendi nje wala sisogei pembeni. Akaamua kunikatia jina fulani tuseme "A Serious Guy". Akahitaji niwe na contacts zake kwa ajili ya updates muhimu, na mimi nikawa nazo!

Shetani ndiye aliyeleta akili za kutengeneza simu ili aondoke hadi na wale wenye aibu ya kutenda dhambi hadharani; kila siku nawambia hizo simu mkae nazo makini hamsikii, shauri yenu!

Mada za mwanzo kwenye simu zilikua on-point lakini mdogo mdogo zikaanza kupinda. Mara movie fulani, mara nyimbo fulani, mara nilikuona maeneo yale, mara nilikuona huku, mara unafanya nini saivi, mara njoo tule, mambo yakaanza kuwa mengi. Nikaanza hadi kujua akiumwa, akimeza dawa, na akipona. Sasa wakati haya yanaendelea jamaa yangu yeye hajui. Ila yeye daily anani update amemnunulia sijui zawadi gani ya birthday ili amshawishi watoke out na mambo mengine kibao, mimi kazi yangu ni kuitikia tu na kumtia moyo one day yes!

Sasa mambo ya kwenye simu yalivyozidi kuchachamaa, na mimi nikaanza kumuwazia anayowaziwa na wengine. Au sio bhana? Kwani kuna ubaya gani na mimi mporipori nikilamba asali? Hapo ameshaanza kunitumia na vi picha vyake vizuri vizuri. Moyo huu usukume damu tu. Nikaanza kukolea na yeye akanizamisha mazima!

Route za kumtembelea kimya kimya mida ya usiku zikaanza. Najificha ficha nisije nikaonekana. Sijui warembo wanakua"ga na shida gani na typical shamba boys, they always got s'thing for them! Kumtembelea kukanoga, nikawa sipati usingizi mzuri nisipomuona usiku hata kama nimeshaonana naye mchana.

U busy wa safari za usiku ulivyozidi, jamaa yangu akaanza kuwa suspicious (kama machale yakaanza kumcheza). Nadhani labda kwa sababu dots zake zilikua haziungi vizuri. Akiniuliza kuhusu manzi (kwa sababu anajua tupo kundi moja) namjibu tu anaendelea poa. Akiniomba nichunguze kama kuna mshikaji yupo na manzi tayari ndio maana yeye anapotezewa nampa tu matumaini kuwa manzi bado hana mtu. Dah, kumbe pale uzi wake unapokatika ndipo uzi wangu unaungia hapo. Penzi ni kama bangi ukivuta tu lazima harufu yake ikuumbue, sikuchukua round, bulalifuu.

Mwamba nimechanga karata zangu vizuri najiamini, najua kila kitu kipo sawa hakuna kusanukiwa wala nini. Mara ghafla nashangaa siku moja na.amshwa ahsubui napewa hongera na room'ate wangu yule. Namuuliza "Ya nini tena?". Kumbe manzi kani post huko facebook kaniita "secret admire". .. aiseeee

Jamaa ananiongelesha huku machozi yanamlenga lenga.

"Mwanangu siku zote tunakaa wote hapa nakueleza mambo yangu kumbe unanizunguka?"

Kastori ni karefu kidogo, ngoja ninywe maji, narudi kumalizia...
 
Maisha ya mapenzi ni upuuzi sana

Nliwahi kumfukuzia nesi mmoja hivi kwa kipindi kirefu tu...
Mwisho wa siku nkafanikiwa kuwa nae,
Ana maendeleo mazuri kiasi kua amejenga nyumba yake ndogo ya kuishi..
Penzi lilikua lamoto ni balaa, nkitoka tu kazini huyu hapa geto,atakaa atalala hadi achoke..anaondoka kurudi kwake..

Baada ya mwezi hivi, anatoka kazini ananipigia simu anasema
“Kelphin baba n... amekuja, hajaniambia ... hivi hapa nmekuta mabegi amewekeza nyumba ya jirani!

Nkajibu tu haya sawa...sikujibu wala kupokea simu yake tena baada ya hapo
Kesho yake kutwa nzima sikupokea/jibu msg..
Mama yake na huyu nurse tulikua tunakaa mtaa mmoja,mazoea ya binti ni kuja kwa mama yake mala kwa mala sababu ni jirani kwake
Hivyo akipota nkiwa nipo lazima atakuta gate/dirisha vipo wazi....ila sms wala simu sipokei.

Kufika mida ya tano hivi usiku uvumilivu ukamshinda...akabeba masindano na zile groves nyeupe akaaga anaenda kumpiga mtu sindano kapata dhalula

Kafika home kafungua mlango bila hodi vuuup ndani...kavua gauni kalitupa chini kaja kitandani..me namuangalia tu chakumuambia sina ...
“Mbona hupokei wala hujibu msg zangu!?” Ilikua swali lake lakwanza ...nkamwambia sielewi nini nkujibu...akawa kama analia hivi (kilio cha uwongo) me namtazama tu

Akawa ile like ananishika akijua lazima ntamtaman tu sex...hapo kabaki nude kabisa..
Nkamwambia wew nenda me nko pow tu...na kitabasamu cha uwongo uwongo...ili anyanyuke...ila wapii haelewi

Alikaa kama 40minutes akaenda kwake...me nkalala zangu


#singleM....
Wanaume hatususi else ulikua na sababu ya msingi sana...
 
Alinambia anatoka chuo sa 12 anaenda hostel kulala ataamka saa moja kasoro, tukakubaliana huo muda ntaenda kumchukua tukale then aje kulala geto.

muda ulipokaribia nikafika nyuma ya hostel zao kuna kama ukuta upo nusu couple zimesimama kwenye kigiza as usual maana zile ni hostel za madem wahuni wapo kazini, napiga simu haipokelewi sms hazijibiwi nikajipa moyo huyu atakua amelala, saa mbili ikakatika sim hazijibiwi, saa tatu ikafika naona kuna couple niliikuta nikawapita nikaenda kukaa pembeni yao ndo wanaondoka hilo eneo naona lile si tako la M😮😮, wanafika kwenye mwanga kumbe niliedhani amelala yupo pembeni yangu na bwana ake tokea nimefika, sikutaka kusogea maana hata kupigana sijui japokua mwamba nilikua nammudu kwa kumuangalia, wakaachana pale,
yule mtoto akawa anarud hostel huku namungalia akatoa sim mfukoni anapiga mara text za nilikua nimelala nakuja sahv, sikupokea simu wala kujibu sms mpaka leo japokua njiani tulikua tunakutana na tunapeana hai za juu juu kila mtu anasepa zake
Ila wanaume mmejaaliwa uvumilivu . Ingekua mwanamke ndio amekukuta mnazi story ingekua tofauti
 
Maisha ya mapenzi ni upuuzi sana

Nliwahi kumfukuzia nesi mmoja hivi kwa kipindi kirefu tu...
Mwisho wa siku nkafanikiwa kuwa nae,
Ana maendeleo mazuri kiasi kua amejenga nyumba yake ndogo ya kuishi..
Penzi lilikua lamoto ni balaa, nkitoka tu kazini huyu hapa geto,atakaa atalala hadi achoke..anaondoka kurudi kwake..

Baada ya mwezi hivi, anatoka kazini ananipigia simu anasema
“Kelphin baba n... amekuja, hajaniambia ... hivi hapa nmekuta mabegi amewekeza nyumba ya jirani!

Nkajibu tu haya sawa...sikujibu wala kupokea simu yake tena baada ya hapo
Kesho yake kutwa nzima sikupokea/jibu msg..
Mama yake na huyu nurse tulikua tunakaa mtaa mmoja,mazoea ya binti ni kuja kwa mama yake mala kwa mala sababu ni jirani kwake
Hivyo akipota nkiwa nipo lazima atakuta gate/dirisha vipo wazi....ila sms wala simu sipokei.

Kufika mida ya tano hivi usiku uvumilivu ukamshinda...akabeba masindano na zile groves nyeupe akaaga anaenda kumpiga mtu sindano kapata dhalula

Kafika home kafungua mlango bila hodi vuuup ndani...kavua gauni kalitupa chini kaja kitandani..me namuangalia tu chakumuambia sina ...
“Mbona hupokei wala hujibu msg zangu!?” Ilikua swali lake lakwanza ...nkamwambia sielewi nini nkujibu...akawa kama analia hivi (kilio cha uwongo) me namtazama tu

Akawa ile like ananishika akijua lazima ntamtaman tu sex...hapo kabaki nude kabisa..
Nkamwambia wew nenda me nko pow tu...na kitabasamu cha uwongo uwongo...ili anyanyuke...ila wapii haelewi

Alikaa kama 40minutes akaenda kwake...me nkalala zangu


#singleM....
Hukuwa unajua kaolewa?
 
Mwaka 2021 katika harakati za kusaka maisha nilikwenda kijiji flani kinaitwa mlanzi wilaya ya kibiti!kununua mapapai shamba!nimekaa siku tatu nakusanya mzigo siku ya nne nikaona nitafute mtoto wa kindengereko nimtembezee moto,tukaelewana bei na kweli usiku demu akaibuka guest niliyokuwa nimefikia panaitwa kwa bora!demu kufika nikamshawishi anywe hata bia 2!mwanzo akagoma ila mwisho akakubali.
Akanywa safari ya kwanza ikaisha,nikamfungulia ya pili,wakati ipo nusu akaenda chooni,chumba kilikuwa hakina choo ndani,alipoenda chooni nikamchanganyia na k vant bia yake lengo ni azime nijipigie hata vitano usiku ule maana tulikuwa tumekubaliana vitatu.
Sasa aliporudi akanywa mpaka ikaisha,ile naanza romance tu ghafla akabadilika akaanza kutoa misauti ya ajabu ajabu,kumbe demu ana majini,kabla sijajua nifanyaje ghafla akanikamata akaanza kunitia makofi ya uso tena alikua analenga puani!
Ndani ya dk.2 hivi nilichezea mabanzi kama 100,nilitoka nduki kimya kimya!
Sikurudi tena mle room nikaenda kulala ktk gari
Dah nimecheka kifala sana [emoji1787][emoji1787]
 
Vitabu vitatu

Uchumi/utajiri
Biashara
Umasikini

Mwafrika alikua wakwanza kwenda kuchagua ,ghafla akakumbuka hakumwaga mkewe ,akaaga anakuja ,akajikutia kitabu Cha umasikini kimebakia
 
Hii niseme ni karma,


Kuna manzi alikua mrembo sana, typical chuga girl. Mara nyingi akiongea utasikia maneno kama "huyu chalii anazingua" au "fata mambo yako eroo" na swaga zingine zinazofanana na hizo.

Mzuri kweli kweli ila sasa ukiwa unaongea naye kuna mzuka fulani unapotea kwenye maongezi maana usela wake umezidi mpaka unahisi kama anajifanyisha!

Basi bhana,

Huyu binti tulikua naye course moja wakati ule. Kutokana na nature ya course yetu wanaume walikuwa wengi sana kuzidi wanawake. Na hata hao wanawake wachache waliopo wengi walikua wagumu kasoro yeye tu ndio alikua mng'ao.

Macho yakawa mengi sana kwake, hadi washikaji zangu wa karibu wakawa wanapambania kombe. Kati yao kuna mmoja alimuelewa sana, ile kumuelewa manzi kiasi cha kuwaza kumuoa kabisa kama akikubali. Na huyo mshikaji alikua room'ate wangu kwaiyo mara nyingi alikua ananiambia anachomuwazia bibie. Na alikua free kwa sababu mimi sikuwahi kuonesha interests yoyote kwa yule binti. So hakuniona kama competitor!

Sasa kwa sababu wapambanaji ni wengi, yule manzi akaanza kuwa na kiburi; ile kuwa na "ego" au "arrogant" kama mnavyosema wasomi! Kwaiyo akawa kama amechoka ku play a "good girl" character kwenye movie ya wahuni maana wakiambiwa vizuri hawaelewi wao ni kukomaa tu. Ikafika hatua ukisogeza pua anakukatia kipande cha maneno mabovu utayachambua mwenyewe mbele ya safari (niligundua hili wakati tunapiga story za hapa na pale na masela huku tukichekana siku zinasonga).

Nilikuja kupangiwa naye group moja la majadiliano baada ya vipindi. Sasa kwa sababu najua hali ilivyo kuhusu yule binti, basi muda wote ambao tulikua karibu, mimi nikawa nakaa kwenye mada husika tu, siendi nje wala sisogei pembeni. Akaamua kunikatia jina fulani tuseme "A Serious Guy". Akahitaji niwe na contacts zake kwa ajili ya updates za muhimu, nikawa nazo!

Shetani ndiye aliyeleta akili za kutengeneza simu ili aondoke hadi na wale wenye aibu ya kutenda dhambi hadharani; kila siku nawambia muwe nazo makini hamsikii, shauri yenu!

Mada za mwanzo zilikua on point lakini mdogo mdogo zikaanza kupinda. Mara movie fulani, mara nyimbo fulani, mara nilikuona maeneo yale ulikua unafanya nini. Nikaanza hadi kujua akiumwa, akimeza dawa, na akipona. Sasa wakati haya yanaendelea jamaa yangu yeye hajui. Ila yeye daily anani update amemnunulia sijui zawadi gani ya birthday, ili amuombe watoke out na mambo mengine kibao, mimi kazi yangu kuitikia tu na kumtia moyo.

Sasa mambo ya kwenye simu yalivyozidi kuwa mengi, na mimi nikaanza kumuwazia anayowaziwa na wengine. Au sio bhana? Kwani kuna ubaya gani na mimi mporipori nikilamba asali? Hapo ameshaanza kunitumia na vi picha vyake vizuri vizuri. Moyo huu usukume damu tu. Nikaanza kukolea na yeye akanizamisha mazima!

Route za kumtembelea kimya kimya mida ya usiku zikaanza. Najificha ficha nisije nikaonekana. Sijui warembo wanakua"ga na shida gani na typical shamba boys, they always got s'thing for them! Kumtembelea kukanoga, nikawa sipati usingizi mzuri nisipomuona usiku hata kama nimeshaonana naye mchana.

U busy ulivyozidi jamaa yangu akaanza kuwa suspicious. Nadhani labda kwa sababu dots zake zilikua haziungi vizuri. Akiniuliza kuhusu manzi (kwa sababu anajua tupo kundi moja) namjibu tu anaendelea poa. Akiniomba nichunguze kama kuna mshikaji yupo na manzi tayari ndio maana yeye anapotezewa nampa tu matumaini kuwa manzi bado hana mtu. Dah, kumbe pale uzi wake unapokatika ndipo unapounga wangu. Penzi ni kama harufu ya bangi ukivuta lazima usanukiwe tu, sikuchukua round, bulalifuu.

Mwamba nimechanga karata zangu vizuri najua kila kitu kipo sawa, nashangaa siku moja naamshwa ahsubui napewa hongera na room'ate. Ya nini tena? Kumbe manzi kani post huko facebook kaniita "secret admire". .. aiseeee

Jamaa ananiongelesha huku machozi yanamlenga lenga.

"Mwanangu siku zote tunakaa wote hapa nakueleza mambo yangu kumbe unanizunguka?"

Kastori ni karefu kidogo, ngoja ninywe maji, narudi kumalizia...
Noumaa
 
visa vingi humu naona ni vyakuibiwa sasa ujanja sahiv nikivusha dem naita mshikaji wangu aje afunge mlango kwa nje na aondoke na funguo had nitakapo mpigia simu
.Sitaki ujinga mimi
Kuna demu mmoja nilimla halafu asubuhi sikumuachia hata mia. Mm huyo kwenye mishe zangu. Narudi demu kabeba gilisini mbili. Nikabaki nacheka tu ila nikajifunza mademu wezi, km humjui siyo wakumleta gheto, atakupiga.
 
Back
Top Bottom