Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?

1. Mimi miaka kadhaa nyuma kuna dem nilimuahidi akija geto nitampa 20k siakajichanganya akaja geto nikala mzigo fresh baade kataka ile hela nikamwambia sina nitakupa siku nyingine basi tukalala ile naamka asubuhi demu hayupo nikagundua kumbe kaondoka na kisado cha dagaa nyama nilihis ganz mwil mzima.

2.Hii iliniuma sana mwaka 2018 nilipata toto flan hiv la kimbulu full msambwanda sinikajichanganya nikataka kabisa kumtia mimba na akahitaj nikamtambulishe mpk nikaanza kuwaletea nyodo madem zangu wawili kwakujiona nimepata kifaa ndani ya miezi miwil nikaja kugundua huyu dem wa kimbulu kumbe ni dem wa mtu tena mbavu nene kwahy leo yupo kwangu kesho kwa jamaa aseh niliishiwa pozi siku tunakutana na jamaa tukajuana tunakula sehem moja,ila mwisho wa siku dem ndio alimkana jamaa tukiwa wote watatu ila mm sikueza tena kuwa serious kwa dem hii kitu iliniuma sana badae huyu manz akadai ana mimba hapo ndio kimbembe kilipotokea[emoji23]

3.Hii ndio mpk leo siwezi kusahau mwaka 2016 napigiwa cm na mzee wangu sa12 alfajir kuwa natakiwa niripot kambini makutupora dodoma huku nyuma nina dem wang anamimba ya miez 5 nikajianda nikadandia bus mpk dom.Nikafika kambin lkn huku akili yangu ipo kwa dem niliemtia mimba kufupisha nikatoroka kambin nikarud mkoani usiku wa manane matokeo yake kwao walivyogundua binti yao mjamzito alaf anatakiwa aende chuo wakaichomoa mimba hii kitu iliniuma sana na mapenz yakaisha hapo hapo japo niliendelea kumla mpk nilipokuja kumuacha 2019 baad ya kuamua kumuambia ukwel kuwa sina mapenz nae(huenda leo ningekuw soja *****[emoji22])

Je ww ulishawah kupambana na mkasa upi uliokugusa katika mapenz?
Ungebadilisha kichwa cha habari na kuandika "MAMBO GANI YA KIPUMBAVU ULIYOWAHI FANYA KWENYE MAPENZI?"... hakuna tukio ulilopigwa kwenye stori yako bali ni upumbavu mwingi ulikuwa unafanya. BADILIKA
 
Enzi sijaoa
Niliwahi pigwa tukio na mwanachuo mmoja. tulikutana kimtaa, tukazoeana na Ela ndogo ndogo nikawa namsaidia bila papara ya kumchakata maana alivotulia niliplan nimuoe kabisa, sikutaka kuonekana fisi.

Baada ya wiki 2,
Akanambia anagraduation anaomba zawadi, nikamwambia usiwe na wasi.
nikamfanyia shopping na Ela za maandaliz nikampatia.

Siku ya graduation kidume nikambebea samsung Kali Sana(kwa miaka hiyo)
Nilipomkabidhi TU Ile Simu kama zawadi. graduu ikaisha na sikumpata kabisa tena kwny Simu.

Aliniblock baadae namba ikawa haipatikani kabisa na sikujua hata anakoishi wala rafk yake yoyote wa karibu MDA ule,baadae ndo niliskia alirudi mkoani na pale chuoni Alikua na mtu wake mwanachuo mwenzake ambae Alikua Ni mfanyakaz serikalini

Kiukweli Niliumia Sana,
sio kwasababu ya ile Simu au pesa nilizomgharamia, Bali tayar nilishamuweka moyoni na niliplan aje kua MKE wangu kwa jins nilivomthaminisha.

ila baadae maumivu yaliisha na nikasahau[emoji4]
Asilimia kubwa ya wadada wakibongo wana element zakitapeli mtu anakusaidia vzuri tena kwa moyo mzuri wanamuona danga tena mtu ukishamtatulia shida zake anakuona Kama takataka na hivo unaweza shangaa hata hio simu hakudumu nayo kabsa
 
Wewe ni fala sana mkuu. Kuna mafala wengi kwenye huu uzi, akiwemo huyo alietoroka jeshini kisa mwanamke, ila naona kama wewe umemfunika kabisa!

Nisamehe kwa lugha kali, wewe ni fala sana.

Kwa mara ya mwisho, wewe ni fala sana brother. Fala mno!
Jamaa ni fala pro max
 
Kutoka Mwanza kwenda Dar nauli ni sh ngapi, zidisha mara mbili......matumizi yake ya njiani na kipindi cha kuwa huko kwenye send-off, Mkuu au wewe huwa unatoa ileile tu hakuna kuzidisha hata mia [emoji23][emoji23]
Mkuu ulifanya hayo yote kwani alikuwa mke wako? Au ulikuwa na pesa hazina matumizi , yani demu tu kwao hawakujui na kwenu hawa mjui unatuma tu pesa hovyo bira kufikili

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio meza kuu maana wanatuwakilisha vema sisi wajumbe wa ndiyoooo kila kitu.
Na sisi inabidi tulijadili hili kwa kina kwenye kikao kijacho cha wanaume [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huyo wa kwanza anafaa kuolewa kabisa. Kajiongeza, akose pesa hata chakula akose pia. Hakuna kugongwa kwa mkopo😀😀😀.

Enzi za utoto nilikuwa na kidemu cha kimanga cha mtaani wenyewe tunadanganyana tutaoana. Kwa vile alikuwa geti kali na mambo ya simu hakuna, mawasiliano mengi tulikuwa tunafanya kupitia kwa binamu yake wa kiume ambae anaishi kwao.
Ilikuwa nikipata vizawadi nampa shemeji binamu apeleke. Na saa nyingine msela anakuja kudai katumwa aje aombe pesa kwangu, na mimi natoa.

Ilikuwa nasoma shule ya bweni. Niliporudi likizo kipindi nipo kidato cha 4 nikasikia demu kaolewa. Ikabidi nimtafute shemeji binamu aniambie vizuri nakuja gundua kumbe ndio mume mwenyewe aliemuoa demu wangu. Walikuwa wanapigana miti ndani mwao humo mpaka kuja kufumwa na kuozeshwa na wazazi wao.
Halafu jamaa lilivyokuwa kauzu linaniambia kama kuna ujumbe au zawadi yeyote niendelee kumpa ampelekee mkewe ambae ni demu wangu.
Na demu ilikuwa nikikutana nae baada ya hapo ananiambia bado mimi ni mpenzi wake. Tuliendelea kupigana miti kwa kuiba iba mpaka walipohamia Zanzibar na mumewe binamu.

Mpaka leo hii demu yeyote akiniambia mambo ya 'cousin' wa jinsia tofauti na uhusiano unaishia hapo hapo.
Moyo wa mtu nikichaka huwezi jua anawaza nini
 
Wakati nipo O level nilikuaga na jamaa nili fall in love kinyamaaa kwa kifupi nilizama haswaaah.

Siku ya kuachwaa naambiwa "nilikua na wee kwa hisani tyuuh na leo hisani yangu imeisha." Woiiiiiiiiiih nilihisi dege dege LA ukubwani limenipandaa, chizi sio chizi, mwendawazimu sio kichaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku tunakutana anasema "nakuona mtoto umazidi kushynee tyuuh" nkamjibu "ndyooo nimempata wa kunisitiri sahv hisani si uliondoka nayo wee"

Now kaanza usumbufu wa kujisogeza kwan, na venye hata mshipa wa nyegee cnaga nae tenaa.

Huyuu jamaa alijua kuninyoosha khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwaivo akikuona anakumbuka kuzama topeni
 
Mi sijawahi kupigwa tukio ila niliwapiga tukio mbwa wawili.

Mmoja ni mhaya sjui mnyarwanda shingo kama shock absober ulijitia mjanja ulidhani utantumia eeh mxiew ndo maana nlikupiga matukio na kalenda juu mbwiga wee[emoji23] na nikakuacha peupe mfyuu yani ukose vishimo vyote uje ujaribu cha kwangu. Ni miaka kumi imepita ila najiona mjanja bado nilikuweza hamna utelezi wa bure punda we na najua utapita kusoma hapa sikupendi hata kwa kidonge

Wa pili ni mbuzi ya malawi kichwa kama tunda la ubuyu, bora nlikunyima utelezi jina lako linaanzia na A kokote ulipo tumbo likusokote haliwi boya kijinga jinga. Na hirizi yako ile.

Mijanaume inayojitiaga mijanja ndo naipenda nakuchapa tukio unajivua cheo mwenyewe. Af mkinyimwaga utelezi mnakuaga kama ng’ombe alieona mjamzito[emoji23][emoji23][emoji23] ah kukua raha sana saizi nikiwakumbuka nawacheka
Unashida pahala...
 
Alinambia anatoka chuo sa 12 anaenda hostel kulala ataamka saa moja kasoro, tukakubaliana huo muda ntaenda kumchukua tukale then aje kulala geto.

muda ulipokaribia nikafika nyuma ya hostel zao kuna kama ukuta upo nusu couple zimesimama kwenye kigiza as usual maana zile ni hostel za madem wahuni wapo kazini, napiga simu haipokelewi sms hazijibiwi nikajipa moyo huyu atakua amelala, saa mbili ikakatika sim hazijibiwi, saa tatu ikafika naona kuna couple niliikuta nikawapita nikaenda kukaa pembeni yao ndo wanaondoka hilo eneo naona lile si tako la M[emoji50][emoji50], wanafika kwenye mwanga kumbe niliedhani amelala yupo pembeni yangu na bwana ake tokea nimefika, sikutaka kusogea maana hata kupigana sijui japokua mwamba nilikua nammudu kwa kumuangalia, wakaachana pale,
yule mtoto akawa anarud hostel huku namungalia akatoa sim mfukoni anapiga mara text za nilikua nimelala nakuja sahv, sikupokea simu wala kujibu sms mpaka leo japokua njiani tulikua tunakutana na tunapeana hai za juu juu kila mtu anasepa zake

hata hvyo unamoyo wa uvumilivu
 
Enzi sijaoa
Niliwahi pigwa tukio na mwanachuo mmoja. tulikutana kimtaa, tukazoeana na Ela ndogo ndogo nikawa namsaidia bila papara ya kumchakata maana alivotulia niliplan nimuoe kabisa, sikutaka kuonekana fisi.

Baada ya wiki 2,
Akanambia anagraduation anaomba zawadi, nikamwambia usiwe na wasi.
nikamfanyia shopping na Ela za maandaliz nikampatia.

Siku ya graduation kidume nikambebea samsung Kali Sana(kwa miaka hiyo)
Nilipomkabidhi TU Ile Simu kama zawadi. graduu ikaisha na sikumpata kabisa tena kwny Simu.

Aliniblock baadae namba ikawa haipatikani kabisa na sikujua hata anakoishi wala rafk yake yoyote wa karibu MDA ule,baadae ndo niliskia alirudi mkoani na pale chuoni Alikua na mtu wake mwanachuo mwenzake ambae Alikua Ni mfanyakaz serikalini

Kiukweli Niliumia Sana,
sio kwasababu ya ile Simu au pesa nilizomgharamia, Bali tayar nilishamuweka moyoni na niliplan aje kua MKE wangu kwa jins nilivomthaminisha.

ila baadae maumivu yaliisha na nikasahau[emoji4]

na mbususu haukukutunuku!?
 
Back
Top Bottom