Umewahi kupitia ngapi katika orodha hii?

Umewahi kupitia ngapi katika orodha hii?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
1. Shower Sex
2. Kitchen Sex
3. Beach Sex
4. Parking lot Sex
5. Pagala Sex (kwenye jumba ambalo halijaisha)
6. Uchochoroni Sex
7. Makaburini Sex
8. Kabatini Sex
9. Mezani Sex
10. Kibarazani Sex
11. Majini/Baharini au Swimming Pool Sex.
12. Wodini/Hospital Sex


Mimi namba 6,7 na 10 ndo sijawahi nyingine zote nime enjoy sana.

Na sehemu nyingine uzijuazo.
 
Watu tushapigia hadi kanisani, juu ya mwembe, nyuma ya ofisi ya serikali za mtaa, kwenye kambi ya jeshi, ofisi ya sungusungu nk.

Kwa hiyo kwa sasa hebu acha tu-deal na huu mgao wa umeme kwanza
 
Kuna Wodini Sex. Baada kuwa na malaria kali na kuwekwa mapumziko. Kuja kushtuka na kuna ki ahueni na dada nesi alikuwa ni mkarimu, mcheshi, mzuri na mpole ikabidi kuangalia athari ya malaria imeifkia wapi.

Ukweni sex hii ilifanyika ukweni na binti wa baba mkwe tofauti na mchumba husika. Nilienda kumungalia mama mkwe alifanyiwa operation na mchumba hakuwepo ila nyumbani niljulikana kama family friend. Ila niliachana nao wote baadae.

Kuna bwenini sex, hii nilifanya miaka ya shule huko. Ilikuwa desturi kila saa 1 kamili baada ya chakula cha jioni tunaenda PREP kujisomea. Mimi na msela wangu tukaahidiana na warembo wetu kuwa tutabinjuka mabwenini kwao tufanye PREP zetu wenyewe.

Ili kufanikisha hili, mademu zetu walitupa mabaibui. Saa moja ilipofika tukapiga baibui zetu mdogo mdogo tukaingia mabwenini kama vile na sisi wasichana. Baada ya kila mtu kutoka tukajiachia kama tupo lodge.

Bahati mbaya kulikuwa na vitoto vya Form 1 vinaumwa havijaenda PREP kusikia sauti za kiume vikapiga kelele. Matron akaja mbio kukuta vidume viwili ndani ya baibui tumejiachia.

Iliitishwa Assembly ya dharula usiku huo huo. Tukasimamishwa mbele ya wanafunzi wote mimi na msela wangu na baibui zetu vile vile. Matron alivyo mkuda akasema tufunge na mitandio kabisa. Tulichezea fimbo siku hiyo mpaka leo sisahau.
Kilichookoa tusifukuzwe shule ni ilikuwa kipindi cha mitihani ya taifa kukaribia na sisi tulikuwa Form IV na vichwani tulikuwa tunajimudu.
 
Kuna Wodini Sex. Baada kuwa na malaria kali na kuwekwa mapumziko. Kuja kushtuka na kuna ki ahueni na dada nesi alikuwa ni mkarimu, mcheshi, mzuri na mpole ikabidi kuangalia athari ya malaria imeifkia wapi.

Ukweni sex hii ilifanyika ukweni na binti wa baba mkwe tofauti na mchumba husika. Ila niliachana nao wote baadae.
Wewe balaa.... Weka mbali na watoto kabisa.... Umenikumbusha jamaa mmoja alikuwa anatuuzia chai humu GuDume yeye aliwahi fanya hivyo huku ameshikilia chupa ya maji aliyokuwa ametundukiwa. So anapiga mashine huku mkono mmoja upo juu umeshikilia chupa ya maji. Sasa naona na wewe ni wale wale....huko ukweli hata mama mkwe we ungemla...
 
Wewe balaa.... Weka mbali na watoto kabisa.... Umenikumbusha jamaa mmoja alikuwa anatuuzia chai humu GuDume yeye aliwahi fanya hivyo huku ameshikilia chupa ya maji aliyokuwa ametundukiwa. So anapiga mashine huku mkono mmoja upo juu umeshikilia chupa ya maji. Sasa naona na wewe ni wale wale....huko ukweli hata mama mkwe we ungemla...
ujana ulikuwa na raha yake. Sasa hivi sithubutu tena.
 
1 mara nyingi, 2, 9 mara nyingi na 10.

Kibarazani kijumba cha mwanajeshi m1 alikua kachelewa kurudi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom