Umewahi kusafiri masaa mangapi na ndege

Umewahi kusafiri masaa mangapi na ndege

Emalate to Ethiopia nilipo fika Ethiopia nikaunganisha Ethiopia to Dar es salam hivi vile vimeza vya kulia chakula ndani ya ndege why wasiruhusu abiria wajiegemeze kidogo aisee maana siku ile nilitamanii nikalie kichwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom