sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
1. kusahau kuwasha
kuna siku niliweka mchele kwenye rice cooker nikawasha switch ila pale kwenye rice cooker sehemu ya cook sikubonyeza ,nikaenda kuanangalia muvi kwenye tv ,imefika saa 2 hivi nikasema ngoja nipakue nile nilale, naenda kufunua nakuta mifuta inaelea hakuna kilichopikika na nina njaa si mchezo, nikawasha upya huku nikiwa nimebanwa na njaa na hasira,
2. kusahau kuzima
kuna siku niliamka asubuhi kupasi nguo kabla sijamaliza kupasi umeme ukakatika, kwa vile nlikuwa na haraka nikasahau kuzima soketi ukutani nikaondoka. kurudi jioni kumbe umeme ulirudi!! yani nilikuta pasi imekuwa nyeusi tii na pale kwenye soketi pameungua pamepia shoti!! mama mwenye nyumba akiondoka na akiona hakuna mtu kabaki huwa anazima kule kwenye main switch, hio siku vinginevyo ningeunguza nyumba ya watu aisee
kuna siku niliweka mchele kwenye rice cooker nikawasha switch ila pale kwenye rice cooker sehemu ya cook sikubonyeza ,nikaenda kuanangalia muvi kwenye tv ,imefika saa 2 hivi nikasema ngoja nipakue nile nilale, naenda kufunua nakuta mifuta inaelea hakuna kilichopikika na nina njaa si mchezo, nikawasha upya huku nikiwa nimebanwa na njaa na hasira,
2. kusahau kuzima
kuna siku niliamka asubuhi kupasi nguo kabla sijamaliza kupasi umeme ukakatika, kwa vile nlikuwa na haraka nikasahau kuzima soketi ukutani nikaondoka. kurudi jioni kumbe umeme ulirudi!! yani nilikuta pasi imekuwa nyeusi tii na pale kwenye soketi pameungua pamepia shoti!! mama mwenye nyumba akiondoka na akiona hakuna mtu kabaki huwa anazima kule kwenye main switch, hio siku vinginevyo ningeunguza nyumba ya watu aisee