Kwamacho
Member
- Apr 11, 2020
- 80
- 126
Nilibandika sufuria kwenye gas nikatia mafuta nikajipumzisha dakika kadhaa
Nilipokuja kuamka naona moshi kidogo ila sufuria bado nyeupe haina weusi wowote
Basi nikazima gas fresh tu sekunde chache nashangaa moto ukawaka katikati ya sufuria
Nikashangaa huku natafuta njia ya kuuzima kwa haraka
Wazo la kutumia maji likaja nikachota ile namimina
Uliwaka moto nikahisi niko bwawani naogelea moto yaani macho yanaona mawimbi tu ya rangi nyekundu
Nikajua leo ni mwisho wangu pamoja na kila kitu
Tuwe Makini jamani!!
Nilipokuja kuamka naona moshi kidogo ila sufuria bado nyeupe haina weusi wowote
Basi nikazima gas fresh tu sekunde chache nashangaa moto ukawaka katikati ya sufuria
Nikashangaa huku natafuta njia ya kuuzima kwa haraka
Wazo la kutumia maji likaja nikachota ile namimina
Uliwaka moto nikahisi niko bwawani naogelea moto yaani macho yanaona mawimbi tu ya rangi nyekundu
Nikajua leo ni mwisho wangu pamoja na kila kitu
Tuwe Makini jamani!!