Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Most of the times ni masuala ya kibiashara tu.
Sasa hivi nina rafiki 1 mtaa mzima, just balling alone.
Sasa hivi nina rafiki 1 mtaa mzima, just balling alone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay sawa,Yeah, karma ipo.
Na hilo ndilo lililotokea.
Sema kama funzo mtu akisom ni lazima atajifunza tu
Sawa mkuu 🤝Okay sawa,
Swali la nyiongeza mkuu : baada ya hiyo situation kutokea ulisurvive vipi? how did you respond on itSawa mkuu 🤝
Niliendelea na maisha yangu japo nilionekana nina hatia kwa baadhi ya watu.Swali la nyiongeza mkuu : baada ya hiyo situation kutokea ulisurvive vipi? how did you respond on it
duh sorry for thatNiliendelea na maisha yangu japo nilionekana nina hatia kwa baadhi ya watu.
Na baada ya miaka 2 nilihamia Mbezi na kuendelea na maisha yangu mapya.
Uchumba ulikufa rasmi na sikuwahi kumuona mpaka leo yule mwanaume msaliti
Asante sana.duh sorry for that
Ok nimekuelewa sanaAsante sana.
Shukrani
Jamaa yako alitumia mbinu ya hiviMiaka kadhaa nyuma......
Nilikuwa na mchumba wangu kipenzi niliyepanga kufunga naye NDOA......
Nilimtambulisha kwa rafiki yangu kipenzi kwake....yule mchumba alikuwa fundi nguo..... matokeo yake rafiki yangu akawa mara nyingi namkuta ofsini kwa Shemeji yake.....
Mara namuona ghafla swahiba wangu kana ananikwepa hivi sio kama zamani...na mchumba naye akawa kama haeleweki hivi sio kama zamani......
Nikajisemea labda ni hali tu ya kibinadamu maana mwanadamu hafanani siku zote....nikamfanyia surprise nikapeleka barua kwao......cha ajabu barua yangu ikakataliwa na yeye akaanza kunilaumu kuwa kwanini nimepeleka barua sikumuambia......
Mshenga wangu akaniambia kuwa kule kwao barua yangu imekataliwa na mchumba amepeleka barua ya mtu mwingine....mpaka kufikia hapo sikuwa najua kuwa rafiki yangu ndio kanipindua.....
Nimekuja kugundua baada ya kuambiwa na watu na Yule rafiki automatic akawa yupo mbali na mimi.....
Basi mwisho wa siku wakafunga NDOA......
NB;
Usimuweke karibu mkeo/mumeo na rafiki yako kwani moyo wa mtu ni kiza kinene na shetani IBILISI ana nguvu Sana......
Usimwamini mtu mkuuNilikuwa na rafiki yangu wa kufa na kuzikana anaitwa Rukia kipindi tunaishi Boko-Basihaya.
Nilimtambulisha kwa shemeji yake (mwanaume wangu) ila sijui walikutana wapi Rukia na mwanaume wangu, wakalalana na kupeana mimba.
Ni long story ila kiufupi tu ni kwamba Rukia na mwanae walifariki ajalini miaka 2 mbele na yule mwanaume mpaka leo sijui alipo maana imepita miaka 16 tangu tukio litokee.
Kwa walioishi Boko-Basihaya miaka ile karibu na grocery ya mama Junior mitaa ya kwa kina Kirumbi watakuwa wanakumbuka tukio hilo.
Watu wengi walisema kuwa mimi nilihusika na ile ajali.
Ila kuchukuliwa mwanaume na rafiki ambae lenu lilikuwa moja inauma sana.
Hapo ndipo nilipowajua waganga wa kulipiza visasi.
Anayekuangamiza ni mtu wako wa karibu sanaMiaka kadhaa nyuma......
Nilikuwa na mchumba wangu kipenzi niliyepanga kufunga naye NDOA......
Nilimtambulisha kwa rafiki yangu kipenzi kwake....yule mchumba alikuwa fundi nguo..... matokeo yake rafiki yangu akawa mara nyingi namkuta ofsini kwa Shemeji yake.....
Mara namuona ghafla swahiba wangu kana ananikwepa hivi sio kama zamani...na mchumba naye akawa kama haeleweki hivi sio kama zamani......
Nikajisemea labda ni hali tu ya kibinadamu maana mwanadamu hafanani siku zote....nikamfanyia surprise nikapeleka barua kwao......cha ajabu barua yangu ikakataliwa na yeye akaanza kunilaumu kuwa kwanini nimepeleka barua sikumuambia......
Mshenga wangu akaniambia kuwa kule kwao barua yangu imekataliwa na mchumba amepeleka barua ya mtu mwingine....mpaka kufikia hapo sikuwa najua kuwa rafiki yangu ndio kanipindua.....
Nimekuja kugundua baada ya kuambiwa na watu na Yule rafiki automatic akawa yupo mbali na mimi.....
Basi mwisho wa siku wakafunga NDOA......
NB;
Usimuweke karibu mkeo/mumeo na rafiki yako kwani moyo wa mtu ni kiza kinene na shetani IBILISI ana nguvu Sana......
Kabisa.Usimwamini mtu mkuu
Mungu wanguNilikuwa na rafiki yangu wa kufa na kuzikana anaitwa Rukia kipindi tunaishi Boko-Basihaya.
Nilimtambulisha kwa shemeji yake (mwanaume wangu) ila sijui walikutana wapi Rukia na mwanaume wangu, wakalalana na kupeana mimba.
Ni long story ila kiufupi tu ni kwamba Rukia na mwanae walifariki ajalini miaka 2 mbele na yule mwanaume mpaka leo sijui alipo maana imepita miaka 16 tangu tukio litokee.
Kwa walioishi Boko-Basihaya miaka ile karibu na grocery ya mama Junior mitaa ya kwa kina Kirumbi watakuwa wanakumbuka tukio hilo.
Watu wengi walisema kuwa mimi nilihusika na ile ajali.
Ila kuchukuliwa mwanaume na rafiki ambae lenu lilikuwa moja inauma sana.
Hapo ndipo nilipowajua waganga wa kulipiza visasi.
Huyu Demu alikuwa kimeo, Mungu amekuepusha na dhahama ya mbeleMiaka kadhaa nyuma......
Nilikuwa na mchumba wangu kipenzi niliyepanga kufunga naye NDOA......
Nilimtambulisha kwa rafiki yangu kipenzi kwake....yule mchumba alikuwa fundi nguo..... matokeo yake rafiki yangu akawa mara nyingi namkuta ofsini kwa Shemeji yake.....
Mara namuona ghafla swahiba wangu kana ananikwepa hivi sio kama zamani...na mchumba naye akawa kama haeleweki hivi sio kama zamani......
Nikajisemea labda ni hali tu ya kibinadamu maana mwanadamu hafanani siku zote....nikamfanyia surprise nikapeleka barua kwao......cha ajabu barua yangu ikakataliwa na yeye akaanza kunilaumu kuwa kwanini nimepeleka barua sikumuambia......
Mshenga wangu akaniambia kuwa kule kwao barua yangu imekataliwa na mchumba amepeleka barua ya mtu mwingine....mpaka kufikia hapo sikuwa najua kuwa rafiki yangu ndio kanipindua.....
Nimekuja kugundua baada ya kuambiwa na watu na Yule rafiki automatic akawa yupo mbali na mimi.....
Basi mwisho wa siku wakafunga NDOA......
NB;
Usimuweke karibu mkeo/mumeo na rafiki yako kwani moyo wa mtu ni kiza kinene na shetani IBILISI ana nguvu Sana......