Umewahi kushindwa kufanya mapenzi ukiwa na mpenzi wako chumbani, uliamua nini baada ya hapo?

Umewahi kushindwa kufanya mapenzi ukiwa na mpenzi wako chumbani, uliamua nini baada ya hapo?

Mkuu,
Nimekuja mbio mbio nikajua ntakutana na kisa chako japo kimoja mkuu๐Ÿ˜Š
Kumbe wewe ndio unataka visa vyetu anza kutupa chako kwanza SAWA
kama mshauri wa masuala ya malezi, mahusiano, uchumba na ndoa ninapata shuhuda, ninaona kwa macho, nimeskia kwa maskio hali, visa na mikasa ya vijana wa kike na kiume wanavyokumbana navyo kwenye harakati hizo za mahusiano uchumba na pengine ndoa,

nikaona sio mbaya kushare kwa uchache humu jukwaani ๐Ÿ’
 
Yule mtoto alikua kwanza ni wale wa kuvaa majuba na niqabu..

Nikamshawishi shawishi atoke chuo aje hom kupika.
Nikamwambia nipo na kaka tu akawa anaogopa ogopa ila akaja..
Mida anayofika ilikua jioni na mi nikamwambia njo utalala weeeh ilikua changamoto ila nilimwambia hutolala na mimi utalala chumba chako..


Akakubali akachukua boda chap akatinga pale, weee usiku huo kwanza akavua yale manguo nguo yake.. mtoto alikua mashaallah alafu mweupeee peee...

Sasa mda wa kulala umefika mi nikatangulia maghettoni mapema kabisa. Sasa yeye mda huo akaanza kuniuliza kuwa anataka kulala vipi ni wapi..?

Nikamwambia njoo huku nilipo. Mda huo anakuja mimi nilikua nipo bize na ramani zangu..

Yeye akajitupa ananiambia mimi nataka kulala tunafanyaje sasa..
Nikamwambia wee lala mi nina kazi zangu hapa namalizia.

Oooh anaanza kulalamika ety mara nataka private bana sijui hili mara lile..

Basi nikasema we lala nikimaliza kazi natoka.. akakubali nikazima taa nikawasha ile ya mwanga hafifu nikajifanya nipo bize...

Sasa nikaleta utoto wa kutaka kujifunika na yeye aiseeeee wakuu aligoma kwanza alisema nitaenda kulala sebuleni au wewe ondoka hapa..

Wakuu nililazimisha sana lakini wapi an alikua kawaka mno.
Nikamwambia maneno ya kiutu uzima sasa.. so ulikuja hapa kujichoresha au.... Niliwaka na mimi mpaka mtoto akapoa...

Ila ile siku wakuu sikufanya kitu mi huwa naishiwa nguvu mapema mtu akisema sitaki..
Bora angesema SIJI #yupo humu humu
images (9).jpeg
 
Yule mtoto alikua kwanza ni wale wa kuvaa majuba na niqabu..

Nikamshawishi shawishi atoke chuo aje hom kupika.
Nikamwambia nipo na kaka tu akawa anaogopa ogopa ila akaja..
Mida anayofika ilikua jioni na mi nikamwambia njo utalala weeeh ilikua changamoto ila nilimwambia hutolala na mimi utalala chumba chako..


Akakubali akachukua boda chap akatinga pale, weee usiku huo kwanza akavua yale manguo nguo yake.. mtoto alikua mashaallah alafu mweupeee peee...

Sasa mda wa kulala umefika mi nikatangulia maghettoni mapema kabisa. Sasa yeye mda huo akaanza kuniuliza kuwa anataka kulala vipi ni wapi..?

Nikamwambia njoo huku nilipo. Mda huo anakuja mimi nilikua nipo bize na ramani zangu..

Yeye akajitupa ananiambia mimi nataka kulala tunafanyaje sasa..
Nikamwambia wee lala mi nina kazi zangu hapa namalizia.

Oooh anaanza kulalamika ety mara nataka private bana sijui hili mara lile..

Basi nikasema we lala nikimaliza kazi natoka.. akakubali nikazima taa nikawasha ile ya mwanga hafifu nikajifanya nipo bize...

Sasa nikaleta utoto wa kutaka kujifunika na yeye aiseeeee wakuu aligoma kwanza alisema nitaenda kulala sebuleni au wewe ondoka hapa..

Wakuu nililazimisha sana lakini wapi an alikua kawaka mno.
Nikamwambia maneno ya kiutu uzima sasa.. so ulikuja hapa kujichoresha au.... Niliwaka na mimi mpaka mtoto akapoa...

Ila ile siku wakuu sikufanya kitu mi huwa naishiwa nguvu mapema mtu akisema sitaki..
Bora angesema SIJI #yupo humu humu View attachment 3071820
 
Halafu nimekumbuka vp ulipata demu?
We si ulisema uko bize na kazi sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mzee unanijua kama vile sehemu zangu za sirini anyway nimepata mtu sijamtokea ila kama tupo hatupo ila shida naona kama anajilengesha sababu ya pesa apate pa kupumulia na mwanenu bado nawaza nichagua kutoboka au nile wese nitunze pesa
kazi inahitaji dawa, I hope alipata ๐Ÿ’
Hahah bado unadada unipe ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ
Mmmh andazi huyuhuyu au mwingine! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hahah inaonekana andazi hawezi kukausha chai
huwezi jua aise,
siku izi kuna kuota dodo chini ya mnazi, huenda muungwana kabahatisha ๐Ÿ’
Nimeliokota nina rough rider ila sijui kuzitumia ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ
kwahiyo ukajila mwenyewe bikra ikatoka ๐Ÿคฃ
Hhahah Mganga hajigangi ila sio kwangu
Hujawahi feligi mwamba kama hivi viakina Nyamwi255 Vinakuwa vimeutaka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huyo Nyamwi255 ni mwanaume trust me ninasiri za member wengi humu
 
Back
Top Bottom