Kuna dhana nyingi ambazo watu huishi wakiamini kuhusu hali ya ujauzito.
Dhana hizo hutofautiana kati ya jamii moja hadi nyingine.
Je, mdau wetu wa JamiiCheck unafahamu dhana zipi kuhusu hali ya ujauzito?
Zitaje upate undani wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga kaka,tengeneza njia,labda kama kuna maelekezo ya daktari,ila kama mama hana shida we banjuka,wengine tukibeba mimba tu hamu zinakuwa juu sana mpaka kujifungua.Sasa hapo inakuwaje?Je,ukishiriki tendo na mama mjamzito unakosesha uhai kiumbe alichokibeba?