Umewahi kutapeliwa na mwanao aliye-disco chuo kisha kupiga picha na 'graduation gown'?

Umewahi kutapeliwa na mwanao aliye-disco chuo kisha kupiga picha na 'graduation gown'?

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Mtoto wa dada yangu aliazima joho la mwenzie, akapiga nalo picha kisha akamtumia mama yake mkoani. Lakini kiukweli alikuwa ame DISCO CBE mwaka 2020.

Mama alikuja kugundua baadaye sana wakati anataka ampe vyeti ili amtafutie connection ya kazi.

Je, umewahi kupatwa na hali kama hii?

Screenshot_20241104_082520_Google.jpg
 
Nafikiri hii inatokana na malezi pia ukaribu wa mzazi na mtoto.

Mzazi anae mjali mwanae ni ngumu kukutana na mambo kama hizi ikiwa mzazi atamlea mwanae katika yale yalio mema na akamuweka mwanae huru kwake.

Lakini pia haya yote yanatokana na wazazi kutokua wafuatiliaji wa watoto wao tangu utotoni, kumbuka hadi inatokea hivi maanayake mtoto hajabadilika kwa siku moja, bali alianza taratibu.

Na wazazi wanapo kua wakali kupita kiasi kwa watoto wao pia yaweza kuwa chanzo cha mambo kama haya kutokana na mtoto kujengewa hofu kubwa (kwamba wakijua nitauwawa), kumbe badala yake mtoto angesema pengine angesaidiwa mapema.

Anyways, nimecheka kwa aina hii ya utapeli, lakini nimejikuta napata uchungu kama mzazi.
Mambo ni mengi
 
Nafikiri hii inatokana na malezi pia ukaribu wa mzazi na mtoto.
Mzazi anae mjali mwanae ni ngumu kukutana na mabo kama hizi ikiwa mzazi atamlea mwanae katika yale yalio mema na akamuweka mwanae huru kwake.
Lakini pia haya yote yanatokana na wazazi kutikua wafuatiliaji wa watoto wao tangu utotoni, kumbuka hadi inatokea hivi maanayake mtoto hajabadilika kwa siku moja, bali alianza taratibu.
Na wazazi wanapo kua wakali kupita kiasi kwa watoto wao pia yaweza kuwa chanzo cha mambo kama haya kutokana na mtoto kujengewa hofu kubwa (kwamba wakijua nitauwawa), kumbe badala yake mtoto angesema pengine angesaidiwa mapema.
Anyways...... nimecheka kwa aina hii ya utapeli, lakini nimejikuta napata uchungu kama mzazi.
Mambo ni mengi
Hali yako chief, natumai unaendelea vyema. Mungu azidi kukupa uzima.
 
Nafikiri hii inatokana na malezi pia ukaribu wa mzazi na mtoto.
Mzazi anae mjali mwanae ni ngumu kukutana na mabo kama hizi ikiwa mzazi atamlea mwanae katika yale yalio mema na akamuweka mwanae huru kwake.
Lakini pia haya yote yanatokana na wazazi kutikua wafuatiliaji wa watoto wao tangu utotoni, kumbuka hadi inatokea hivi maanayake mtoto hajabadilika kwa siku moja, bali alianza taratibu.
Na wazazi wanapo kua wakali kupita kiasi kwa watoto wao pia yaweza kuwa chanzo cha mambo kama haya kutokana na mtoto kujengewa hofu kubwa (kwamba wakijua nitauwawa), kumbe badala yake mtoto angesema pengine angesaidiwa mapema.
Anyways...... nimecheka kwa aina hii ya utapeli, lakini nimejikuta napata uchungu kama mzazi.
Mambo ni mengi
Aisee ,itabidi niwe nahudhuria graduation za madogo in personal.nilikuwa nazidhararau.Hasa hiz za undergraduate.
 
Mjukuu wangu mmoja, aliwafungasha wazazi, ndugu hadi marafiki waje graduation, kumbe masikini ni wazazi wanaulizia siku ya graduation.

Hivi mnajua aibu? Acha, na hata leo sijui kama wazazi wake wamejua kitu.
 
hahaha Africa Kuna vichekesho sana
Hii kitu imekuwa ya kawaida sana miaka ya 2010 kuja huku mbele kwa kuwa wana graduate wengi na katika hao ni less than 5% ndiyo wanapata kazi za ajira.

Hivyo basi wale 95% walio graduate na kukosa kazi wanakuwa wako jobless sawa na wale walio DISCO. Kwa hiyo kwa kuwa wote wako mtaani basi hata walio DISCO wanadai hawajapata kazi kwa vile kazi ni adimu
 
Hii kitu imekuwa ya kawaida sana miaka ya 2010 kuja huku mbele kwa kuwa wana graduate wengi na katika hao ni less than 5% ndiyo wanapata kazi za ajira.

Hivyo basi wale 95% walio graduate na kukosa kazi wanakuwa wako jobless sawa na wale walio DISCO. Kwa hiyo kwa kuwa wote wako mtaani basi hata walio DISCO wanadai hawajapata kazi kwa vile kazi ni adimu
Ni changamoto sana
 
Nafikiri hii inatokana na malezi pia ukaribu wa mzazi na mtoto.
Mzazi anae mjali mwanae ni ngumu kukutana na mabo kama hizi ikiwa mzazi atamlea mwanae katika yale yalio mema na akamuweka mwanae huru kwake.
Lakini pia haya yote yanatokana na wazazi kutikua wafuatiliaji wa watoto wao tangu utotoni, kumbuka hadi inatokea hivi maanayake mtoto hajabadilika kwa siku moja, bali alianza taratibu.
Na wazazi wanapo kua wakali kupita kiasi kwa watoto wao pia yaweza kuwa chanzo cha mambo kama haya kutokana na mtoto kujengewa hofu kubwa (kwamba wakijua nitauwawa), kumbe badala yake mtoto angesema pengine angesaidiwa mapema.
Anyways...... nimecheka kwa aina hii ya utapeli, lakini nimejikuta napata uchungu kama mzazi.
Mambo ni mengi
Hivi chief ile pikipiki ilikuwa ni yako au ulikodi?
 
Back
Top Bottom