Umewahi kutapeliwa na mwanao aliye-disco chuo kisha kupiga picha na 'graduation gown'?

Uzuri sikuhizi kazi unaajiriwa kwa CV tu hasa kampuni binafsi ajira za kamlete. Hivyo unaweza ukatengeneza CV yako nzuri tu kwamba ume graduate kweli kisha ukasonga mbele kama injili, vyeti una edit hata cha mtu unapachika jina lako tu
 
Sa anadisco cbe ? Angeenda kusoma cherehani tu
 
Kuna binti mmoja alidisco akawa anaishi na mvulana geto na analipiwa ada kabisa, kwa mwaka mzima.
Iyo ilitokea kwa Demu mmoja hivi mtwara kumbe demu alidisco kitambo kutokana na Baba ake kuwa mkali Dogo inabidi avunge Hadi wenzie wamalize na yeye akarudi zake home... Msela akawa anajilia tu Mali pika pakua...
 
Kuna mchizi alikuwa anagongea kitanda na roommates Kwa miaka miwili wakati alishadisco Toka mwaka wa kwanza ana akaendelea kula ada ya mzazi wake
 
Ni kweli kabisa
 
Uzuri sikuhizi kazi unaajiriwa kwa CV tu hasa kampuni binafsi ajira za kamlete. Hivyo unaweza ukatengeneza CV yako nzuri tu kwamba ume graduate kweli kisha ukasonga mbele kama injili, vyeti una edit hata cha mtu unapachika jina lako tu
Kwa kampuni binafsi wanajali output. Shida iko Serikalini
 
Kwa aliyefeli au kupata GPA ambayo yeye anaona haitaki aje PM tuyajenge nimuuzie vyeti vyangu vyote toka darasa la saba mpaka degree. Degree ni Bachelor of Science in Information technology (BSc. IT), GPA ya 3.8.
Mimi sivihitaji kwa sasa kwani nafanya kazi zangu binafsi
 
Ama umejilipua kama askari wa Talebani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…