Me nataka cha phd mkuu naweza kupataUzuri sikuhizi kazi unaajiriwa kwa CV tu hasa kampuni binafsi ajira za kamlete. Hivyo unaweza ukatengeneza CV yako nzuri tu kwamba ume graduate kweli kisha ukasonga mbele kama injili, vyeti una edit hata cha mtu unapachika jina lako tu
Hapana mkuu, kazi zangu ni za kujiajiri mwenyewe yaani freelancer na nina projects nyingi so kama anavihitaji namuuzia tu akapambane navyo huko kwenye kusaka ajira.Ama umejilipua kama askari wa Talebani
Onana na Dkt. Msukuma PhDMe nataka cha phd mkuu naweza kupata
Kwanini usiseme ukweli kijana?Kuna binti mmoja alidisco akawa anaishi na mvulana geto na analipiwa ada kabisa, kwa mwaka mzima.
Unaendeleaje ndugu?Nafikiri hii inatokana na malezi pia ukaribu wa mzazi na mtoto.
Mzazi anae mjali mwanae ni ngumu kukutana na mambo kama hizi ikiwa mzazi atamlea mwanae katika yale yalio mema na akamuweka mwanae huru kwake.
Lakini pia haya yote yanatokana na wazazi kutokua wafuatiliaji wa watoto wao tangu utotoni, kumbuka hadi inatokea hivi maanayake mtoto hajabadilika kwa siku moja, bali alianza taratibu.
Na wazazi wanapo kua wakali kupita kiasi kwa watoto wao pia yaweza kuwa chanzo cha mambo kama haya kutokana na mtoto kujengewa hofu kubwa (kwamba wakijua nitauwawa), kumbe badala yake mtoto angesema pengine angesaidiwa mapema.
Anyways, nimecheka kwa aina hii ya utapeli, lakini nimejikuta napata uchungu kama mzazi.
Mambo ni mengi
Naendelea kuimarika mkuu, asante kwa upendo wenu...πUnaendeleaje ndugu?
Hapana mkuu, kazi zangu ni za kujiajiri mwenyewe yaani freelancer na nina projects nyingi so kama anavihitaji namuuzia tu akapambane navyo huko kwenye kusaka ajira.
Sema nini naweza muuzia mtu na yeye akauza kwingine then huyo mwingine akaja navyo kwangu kuombea ajira kumbe ni vyeti vyangu ππππ
Yaani wewe ππππ,Hapo utaelewa tu hasoπ€£π€£ unampa kazi kijana
ila kweli kwenye msafara wa mamba kenge nao ndani!Hii kitu imekuwa ya kawaida sana miaka ya 2010 kuja huku mbele kwa kuwa wana graduate wengi na katika hao ni less than 5% ndiyo wanapata kazi za ajira.
Hivyo basi wale 95% walio graduate na kukosa kazi wanakuwa wako jobless sawa na wale walio DISCO. Kwa hiyo kwa kuwa wote wako mtaani basi hata walio DISCO wanadai hawajapata kazi kwa vile kazi ni adimu
Baada ya hapo unamnyang'anya au utampa kazi?Hapana mkuu, kazi zangu ni za kujiajiri mwenyewe yaani freelancer na nina projects nyingi so kama anavihitaji namuuzia tu akapambane navyo huko kwenye kusaka ajira.
Sema nini naweza muuzia mtu na yeye akauza kwingine then huyo mwingine akaja navyo kwangu kuombea ajira kumbe ni vyeti vyangu ππππ
Reading between the lines, huyo dada alikuwa demu wako. Ila ninachokushukuru ulilipa fadhila kwa kuhakikisha unamuongelea shida yake kwa baba yake.Mzee wangu hanipendi hivyo sikuona sababu ya kufanya graduation ya chuo peke yangu, mama yangu alikuwa safari ya muhimu muda wa graduation kwahiyo niliisitisha dakika za mwisho. Mzee hajawahi kanyaga kwenye graduation yangu yoyote.
Kuna case moja niliingilia kati, mdada nilisoma nae hakuwa na mkopo akatumiwa ada nusu akalipa nusu akawekeza kwenye biashara akidai atakuja kulipa ile nusu ya ada baada ya kuzalisha faida. Hela ikapotea yote akawa frustrated. Sasa kwenye mipango yake akadai eti atasitisha mwaka mmoja maana huwezi fanya UE hujalipa ada. Mzee wake alikuwa mkorofi sana mwanae ni innocent anaogopa kumwambia.
Nikamrubuni nikachukua simu yake nikanote namba ya baba yake. Baadae mzee nikampigia nikamueleza mwanao kapoteza ada ya second term, amua moja sasa ulipe second term tena au ujiandae kulipa mwaka mwingine tena na apoteze mwaka kusoma zaidi, au ahangaike mwenyewe kutafuta hela anakojua yeye. Yule mzee alinishukuru ila hajawahi nifahamu na ada alilipa wala mwanae hajui kama ni mimi nilisema.
Hapana, siwezi mnyanganya maana nimeshafanya biashara. Kwa kazi za programming hazihitaji sana vyeti, so nitamtest kama anaweza kufanya kazi basi nampa nafasi kulingana na uwezo wake. Kama ni mbovu nitamwambia acha copy ntakupigia na inakuwa imeisha hiyo. Hata mimi ajira yangu ya kwanza kwa private nilipata bila hata ya kupeleka vyeti. So kwa tasnia yetu vyeti siyo muhimu ila muhimu ni what you can do or delivery, unapewa computer na unaambiwa utengeneze kitu flan au function flan kwa language unayoijua (programming language) moja mbili then wanajua kama uko vizuri then you get hired, hakuna ishu za ma vyeti labda serikalini huko. Sema kuna wakati Kampuni inaweza kuwa inawania tender flan so inabidi kila mtu alete vyeti vyake na hapo ndipo kimbembe kinaanza maana waliajiri bila vyeti.Baada ya hapo unamnyang'anya au utampa kazi?
Hakuwa demu wangu nilikuwa nae group moja ndio nilijuaReading between the lines, huyo dada alikuwa demu wako. Ila ninachokushukuru ulilipa fadhila kwa kuhakikisha unamuongelea shida yake kwa baba yake.