Umewahi kutumia muda gani mrefu kufukuzia Mwanamke?

Umewahi kutumia muda gani mrefu kufukuzia Mwanamke?

Kwenye harakati zako za kufukuzia mrembo, ulitumia muda gani mrefu kumpata Demu?

Mm binafsi nilimfukuzia Demu kwa kipindi cha miezi 4, tena alikuwa ananionesha dalili za kunikubalia.

Yani ile staki nataka.

Tiririka Mkuu....

Miaka 17
 
Mimi nakutanaga tu wapenzi wangu tunaelewana wote kwa pamoja kazi inaanza mara moja bila kupoteza muda
 
Ivi mnapataga wap mda wa kufukuzia Dem mpka miezi, wakat mm ndan ya dkk 15 tu naingia kwenye google map kutafuta guest iliyo karbu yangu🤒
 
Huo muda wa kufukuzia manzi sina. Nafikiri ndio sababu napendelea zaid watu wazima wenzangu.
Ahahaha.
Last time nikiwa mkoa flan napata breakfast hoteli, nikamwelewa madam aliyenihudumia maana alikua clasic tifaut na wengine, nisijue kumbe ndio mmiliki.

Nilipomaliza sikutaka kuita aje achukue pesa , nikainuka nishaandaa biznes card yangu, nikamsogelea kaunta nikalipa nikiambatanisha biznes card yangu huku namtazama straight machoni ,yeye kisha card , sikuongea neno jingine lolote nikasepa kuendelea na yaliyonipelekea

After 2 days she called. Hatukua na mambo mengi, ikaisha kihivyo. Alikua mtamu kishenzi
Umemalizia kwa msisitizo hadi na wasiwasi kama ulitoka salama
 
[emoji23][emoji23][emoji23] comments za waja zinachekesha mnoo.
 
Masaa matatu naanzia saa 3usk mpaka 6usk.Namuonesha elfu ishirini namwambia ndio imebaki hiyo ,kunywa beer mbili za mwisho ,lodge ntalipia ya 15 na bajaji .Akigoma nawapiga wana beer za 20 mbio nyingi sana homu.
 
Huo muda wa kufukuzia manzi sina. Nafikiri ndio sababu napendelea zaid watu wazima wenzangu.
Ahahaha.
Last time nikiwa mkoa flan napata breakfast hoteli, nikamwelewa madam aliyenihudumia maana alikua clasic tifaut na wengine, nisijue kumbe ndio mmiliki.

Nilipomaliza sikutaka kuita aje achukue pesa , nikainuka nishaandaa biznes card yangu, nikamsogelea kaunta nikalipa nikiambatanisha biznes card yangu huku namtazama straight machoni ,yeye kisha card , sikuongea neno jingine lolote nikasepa kuendelea na yaliyonipelekea

After 2 days she called. Hatukua na mambo mengi, ikaisha kihivyo. Alikua mtamu kishenzi
Nimeipenda hiyo kiutu uzima safi unajitafunia mbususu...
 
Back
Top Bottom