Kwenye harakati zako za kufukuzia mrembo, ulitumia muda gani mrefu kumpata Demu?
Mm binafsi nilimfukuzia Demu kwa kipindi cha miezi 4, tena alikuwa ananionesha dalili za kunikubalia.
Yani ile staki nataka.
Tiririka Mkuu....
SimpMwaka wa nane huu na sijampata
Umemalizia kwa msisitizo hadi na wasiwasi kama ulitoka salamaHuo muda wa kufukuzia manzi sina. Nafikiri ndio sababu napendelea zaid watu wazima wenzangu.
Ahahaha.
Last time nikiwa mkoa flan napata breakfast hoteli, nikamwelewa madam aliyenihudumia maana alikua clasic tifaut na wengine, nisijue kumbe ndio mmiliki.
Nilipomaliza sikutaka kuita aje achukue pesa , nikainuka nishaandaa biznes card yangu, nikamsogelea kaunta nikalipa nikiambatanisha biznes card yangu huku namtazama straight machoni ,yeye kisha card , sikuongea neno jingine lolote nikasepa kuendelea na yaliyonipelekea
After 2 days she called. Hatukua na mambo mengi, ikaisha kihivyo. Alikua mtamu kishenzi
Nyie masela uwa mnapiga beer zenu ghafla mmepotea.Sisi tuliokubuhu kununua malaya huu Uzi hautuhusu..ngoja nisome comments
Usalama upi sijajuaUmemalizia kwa msisitizo hadi na wasiwasi kama ulitoka salama
HahahahahaMbona umechukua muda sana bro?? Mi siku moja nimeomba namba baadae nimemwambia njoo gheto unisalimie nina mzigo wako ikawa imeisha ππππ
Hahahahaha. Sawa sawaSisi tuliokubuhu kununua malaya huu Uzi hautuhusu..ngoja nisome comments
Nimeipenda hiyo kiutu uzima safi unajitafunia mbususu...Huo muda wa kufukuzia manzi sina. Nafikiri ndio sababu napendelea zaid watu wazima wenzangu.
Ahahaha.
Last time nikiwa mkoa flan napata breakfast hoteli, nikamwelewa madam aliyenihudumia maana alikua clasic tifaut na wengine, nisijue kumbe ndio mmiliki.
Nilipomaliza sikutaka kuita aje achukue pesa , nikainuka nishaandaa biznes card yangu, nikamsogelea kaunta nikalipa nikiambatanisha biznes card yangu huku namtazama straight machoni ,yeye kisha card , sikuongea neno jingine lolote nikasepa kuendelea na yaliyonipelekea
After 2 days she called. Hatukua na mambo mengi, ikaisha kihivyo. Alikua mtamu kishenzi
Sio kila mahala itumike nguvu mkuu.Nimeipenda hiyo kiutu uzima safi unajitafunia mbususu...