Umewahi safiri umbali gani kufuata penzi?

Dar to arusha na nikapata gono sirudii tena ujinga ule I can't forget hizi pisi kali majanga tu.
 
Nikiona hvyo nais kbsa kwamba sijafanya lolote katka mapenzi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Haukuwa umbali mrefu ni kama km 6 hivi, Zawadi ni Ninja yule mwanamke.......alinipenyeza kwenye fensi nikaingia kambi ya jeshi kaka yake alikuwa lindo nikacharaza mashine hadi saa 8 za usiku nikasepa, lakini nilipata changamoto kidogo shati langu lilinasa kwenye waya wa senyenge halafu niko peke yangu eneo hilo, nilihangaika kwa zaidi ya nusu saa hadi nilipofanya maamuzi magumu ya kuchana shati kipande kikabaki
 
dar kigoma kasulu hapo afu dem alikuwa bado yuko mikononi mwa wazazi nkashinda one day nkarudi ani siamini nmefata goli 3 kigoma kweli.. [emoji52][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…