Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Bora usieleweNataman kuelewa ila nashindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora usieleweNataman kuelewa ila nashindwa
aaaah ulijiona mjanja eeeh ... ulkula pesa zang ulidhan hatutokutana tena eeeh 😁😁😁Mi mwisho mwanga nilifuata sex nikamchezea kijana wawatu nahela nilichukua hakuniona tena baada ya hapo hata iweje sipokei simu akibadili na dawa nitakupigia
Utopolo tu 😑😑😑😑I hope the fvck was worth the journey
Alafu wee utakuwa shabiki wa simba wewe maana u avyooe da kusema utopolo. Sasa wee unafungaje safari yote hiyo kuishia kuchafuliwa tuu....kwani alikuwa hajakupelekea moto before?Utopolo tu 😑😑😑😑
🤣🤣 Sasa mambo ya Simba yamekujaje ?Alafu wee utakuwa shabiki wa simba wewe maana u avyooe da kusema utopolo. Sasa wee unafungaje safari yote hiyo kuishia kuchafuliwa tuu....kwani alikuwa hajakupelekea moto before?
Sii unasema utopolo sana kwenye kujibu kwako🤣🤣 Sasa mambo ya Simba yamekujaje ?
😂 Limenikaa tu ila mimi sinaga timu sio mpenzi wa mpira kabisa.Sii unasema utopolo sana kwenye kujibu kwako
Sawa ...sasa lakini ulimwambia jamaa ukweli kuwa alichokufanyia ni utopolo tuu au ndio ulivyorudi na namba ukafuta kabisa🤣🤣🤣🤣😂 Limenikaa tu ila mimi sinaga timu sio mpenzi wa mpira kabisa.
🤣🤣🤣 Sikufuta ila sikupokea tena simu zake.Sawa ...sasa lakini ulimwambia jamaa ukweli kuwa alichokufanyia ni utopolo tuu au ndio ulivyorudi na namba ukafuta kabisa🤣🤣🤣🤣
N sisi tunaotoka nchi moja kwenda nchi nyingine kufuata sex; tu-comment hapahapa au tusubiri uzi mwingine?Umewahi kusafiri umbali gani kufuata sex? Acha leo tuone magaidi[emoji23]
Mkuu ulibahatika kupata Mkikuyu mmoja?Dar to Nairobi ..(very amazing trip)
Dar to Arusha
Dar to Dodoma
Dar to dar ndio vurugu....kata zote za dar nlishakanyaga aisee
Mkuu ulitumia boti nini?? Mtoto wa Kisomali ndio alikupeleka Kismayu au wale Wapemba wa 1995?Dar mpaka kismayu Somalia
Ulipata utakacho nilipata nitakacho sema ulidata ikawa ni ngumu kurudi kwako periodaaaah ulijiona mjanja eeeh ... ulkula pesa zang ulidhan hatutokutana tena eeeh 😁😁😁
Pole sana Mkuu...si inasemekana Kaskazini hiyo kitu ni kawaida tu....wala haiwastui watu wa huko.Dar to arusha na nikapata gono sirudii tena ujinga ule I can't forget hizi pisi kali majanga tu.
Mmeanza eeeh nawafuatilia hadi mwisho
Tumeanza nini dada 😂Mmeanza eeeh nawafuatilia hadi mwisho