Umewahi safiri umbali gani kufuata penzi?

Umewahi safiri umbali gani kufuata penzi?

Nishawahi pigwa baridi stand,kumwambia nimefika njoo nichukue

pigwa sana baridi alipokuja kunifata bora basi hata ningeenda fanya kitu

tumeingia location hamna hata ajabu lililotokea,kila mtu alitaka muonyesha mwenzie

kazaliwa familia ya kichungaji,tukaanza na praise n worship tukala chakula,msosi

ukaombewa dk 25 tukakula msosi baadae eti nikanawa mikono akansindkza nisepe

Nikaenda lala lodge mitaa hiyo hiyo,Asubuhi nikakwea Azam yangu nikageuza rudi BARA

SAFARI 1 ya kingese sana majuto niliyoyajutia maisha yangu yote kama upimbi nilishakuaga pimbi mwenzenu.

Nimevuka maji nimeenda pewa Kiss na kurudi nilipotoka,magharama kibaoo for nothing na bado tuliachana,ila Mungu atanichoma Moto kwa dhambi nyingi mimi,ptuuuuu,...
 
Nishawahi pigwa baridi stand,kumwambia nimefika njoo nichukue

pigwa sana baridi alipokuja kunifata bora basi hata ningeenda fanya kitu

tumeingia location hamna hata ajabu lililotokea,kila mtu alitaka muonyesha mwenzie

kazaliwa familia ya kichungaji,tukaanza na praise n worship tukala chakula,msosi

ukaombewa dk 25 tukakula msosi baadae eti nikanawa mikono akansindkza nisepe

Nikaenda lala lodge mitaa hiyo hiyo,Asubuhi nikakwea Azam yangu nikageuza rudi BARA

SAFARI 1 ya kingese sana majuto niliyoyajutia maisha yangu yote kama upimbi nilishakuaga pimbi mwenzenu.

Nimevuka maji nimeenda pewa Kiss na kurudi nilipotoka,magharama kibaoo for nothing na bado tuliachana,ila Mungu atanichoma Moto kwa dhambi nyingi mimi,ptuuuuu,...
[emoji23][emoji23][emoji23]polee we
 
Back
Top Bottom