Umewahi safiri umbali gani kufuata penzi?

Umewahi safiri umbali gani kufuata penzi?

Mi mwisho mwanga nilifuata sex nikamchezea kijana wawatu nahela nilichukua hakuniona tena baada ya hapo hata iweje sipokei simu akibadili na dawa nitakupigia
Haaaa, kumbe ndio wewe uliyenizingua haoa Mwanga?

Walahi nakutoa shipa,sio kwa usumbufu ulionipa
 
Toka nigue hilo dude niliachana na mbususu sikutaka kusupply bacteria na kutesa watoto wa watu kwanza nili hustle kujitibisha, nashukuru Mungu nilipona japokua kwa mbinde sana nakiri maumivu ya tumbo niliyokua napata sikuwahi kuyapata toka nizaliwe, Saiv nina miezi kadhaa sijagusa mwanamke kabisa hata baada ya kupona.
Mh... pole
 
Nilipigishwa route Dar to Arusha, nikafika Nyambu ikaingia mitini ikabidi niende Moshi kufata nyingine nayo ikanipiga chenga ya mwili.

Kabla sijageuka Dar nikaombwa msamaha nirudi Arusha kuifata tena Napo ikanichezea Mchezo.

Nikafunga Safari mpaka Tanga kwa jamaa yangu akanipeleka kwa Dokta kupiga Tunguli nikarudi Dar.

Baada ya Wiki mbili Mbususu zote ziliwasili Dar kwa Nauli zao nikajilia saafi.
[emoji1][emoji1][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Aisee long time fucken sana nili safiri Tunduma mpaka Ruvuma..[emoji28]
 
Kutoka Geita mpaka Kabindi mkoa wa Kagera nilifika jioni nikazimiwa simu mpaka asubuhi nilarudi bila kura mbususu
 
Nilisafiri kutoka Ruvuma hadi Uganda, Jinja kwa wasoga kufuata Mbususu. Manzi alikuwa na tumbo kubwa kama gunia la karanga[emoji58]
 
Kwahyo kumbe kwenye basi unaeza kaa na mtu mnasafiri kumbe yeye anaenda fata mbususu au libobo
 
Back
Top Bottom