weee kamanda umenikumbusha aisee,, hata mie nilikula mbususu kadhaa wakati nafanya project kigamboni Vijibweni nilipangishiwa nyumba na kampuni,,basi ipo ilikuja kutoka kawe, nyingine Tabata, nyingne kimara suka, nyingne kutoka ila ile ya kimaraSuka ilikuwa bomba sana. Si hilo tu hata mie nilizifuata mbususu huko usukumani Mwanza kwetu, kutoka kijij kwenda kijij kingine mbaaal usiku na kurudi usk nikaambulia patup haikufungua mlango nikaishia kupishana na mifisi na vinyama fulani vikali kwny vichaka nikikumbuka nasema Mungu tu ndo alikinga na hatari ile....