Mbwichichi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 297
- 1,687
Hatari sana.Leo nimeona mtu akifa kama utani na mbele yangu.
Wakati nikivuka barabara ghafla mtu mwanaume aliyekua mbele yangu akaanguka kama kapigwa shoti ya umeme.
Akajibamiza vibaya sana chini na pote pakaanza kutapakaa damu,inatoka kila eneo la wazi la mwili.
Sababu ya butwaa nilikosa cha kusaidia,ila wakaja wadau hapo wakasema ni kifafa huyo,jamaa keshameza ulimi n.k yaani kuna mzee akamgusa akasema huyo tayari kafa.
Basi ikawa ndio hata hatujui nini kifanyike
Ila ndio ikawa tayari amekufa...nikaahirusha na safari nikarudi zangu nyumbani.
Umewahi shuhudia mtu kufa kimasihara?
Umewahi fiwa na demu gheto?Hatari sana.
Ombea Mungu usifiwe na demu ghetto, bora hotelini unaweza kutoka nduki
Hakika lakini kuna vingine kama kifafa aisee kinachomuua muhusika ni mazingiraWatu wengi wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma ya kwanza..Kuna uwezekano huyo jamaa angepata mtoa huduma wa kwanza angeishi
"Akajibamiza vibaya sana chini na pote pakaanza kutapakaa damu, inatoka kila eneo la wazi la mwili".Leo nimeona mtu akifa kama utani na mbele yangu.
Wakati nikivuka barabara ghafla mtu mwanaume aliyekua mbele yangu akaanguka kama kapigwa shoti ya umeme.
Akajibamiza vibaya sana chini na pote pakaanza kutapakaa damu,inatoka kila eneo la wazi la mwili.
Sababu ya butwaa nilikosa cha kusaidia,ila wakaja wadau hapo wakasema ni kifafa huyo,jamaa keshameza ulimi n.k yaani kuna mzee akamgusa akasema huyo tayari kafa.
Basi ikawa ndio hata hatujui nini kifanyike
Ila ndio ikawa tayari amekufa...nikaahirusha na safari nikarudi zangu nyumbani.
Umewahi shuhudia mtu kufa kimasihara?
My next home😊😊
Sitaki inikute, jamaa yangu ilimkuta Southumewahi fiwa na demu gheto ?
[emoji23][emoji23][emoji23]Jaman wikiend ndyo inaanza tunaanza kutishana [emoji856]
I believe when we die the soul leave our bodies, therefore, the possibility of seeing such a thing does not arise, and if it does, then it will definitely not be in such a dimension, maybe utaweza kufika msibani kwako na kuona maiti yako ukiw kama mtu mwingine anavofika, hutokuwa ndani ya mwili bali hewani.Sijawah na naomba isinitokee kabisa. Hivi ikifika hii hatua mtu unakua unawaona au vipi?
Can't wait to find out when I die
View attachment 2379823
Brother Bujibuji kwani ilikuaje?🤣🤣🤣Hatari sana.
Ombea Mungu usifiwe na demu ghetto, bora hotelini unaweza kutoka nduki