Mbwichichi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 297
- 1,687
- Thread starter
-
- #201
[emoji23][emoji23]Kufika mbele pancha, oh ooooo!!
Asee [emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787] sipati picha mwisho wa yote wale walio baki na mwili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ile stori ya jamaa wa chuo (UD)
Long time ago
Demu alifariki getoni kwake
Baada ya kushauriana na washkaji wakaamua watafute jeneza (yale ya kiislam) usiku kwa usiku, wakamuweka marehemu na kusubiri hadi mida ile ya alfajiri waumini wakiwa wanatoka msikitini...
Basi (jamaa walikuwa wanne), wakapita na jeneza kwa uelekeo wa kwenda msikitini...
Sasa ule utamaduni wa kupokezana kubeba ukachukuwa nafasi yake, kila aliyepokewa akatokomea kusikojulikana...
Kilichoendelea hakijulikani.
Oyaaah hacha bhas[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mmja alifiwa na demu hotelini/guest akaenda kununua begi kubwa yale kama yana ngazingazi.... akalifungua akatumbukiza mzigo akatoka nae kama anasafir hadi ubungo akampa utingo akaweka kwenye buti akasepa zake.
Ukiwa daktari mwenye wito (siyo wale wakulazimishwa kurithi kazi kwamba kwa sababu baba alikuwa doctor lazima mtoto uwe doctor) lazima utakuwa na huruma huwezi kukosa au kufanya hayo niliyoya-bold maana kazi ya kuokoa uhai wa mtu naamini ina twawabu kubwa sana.Pole sana mkuu, ukiwa health work inabidi usiwe na sympathy kabisa maana unaweza ukakimbia clinical area, utaonea huruma wangapi? Utalilia wangapi?
Yap hupo sahihi.Ukiwa daktari mwenye wito (siyo wale wakulazimishwa kurithi kazi kwamba kwa sababu baba alikuwa doctor lazima mtoto uwe doctor) lazima utakuwa na huruma huwezi kukosa au kufanya hayo niliyoya-bold maana kazi ya kuokoa uhai wa mtu naamini ina twawabu kubwa sana.
Dr ukishajitenga na "huruma" wewe siyo daktari ni bora ukaacha hiyo kazi,mtu kufa ni matokeo muhimu wewe simama kwa nafasi yako tumia kile umebarikiwa na Mungu kumsaidia,naweza kuwa siujui ugumu wa kazi yenu ila tuvumiliane.
Hapo kwenye kumshtua ndio ulikuwa umuue kabisa MkuuUmenikumbusha jambo moja lililotokea nikiwa na demu geto, ndani ya sekunde 5 nishapagawa.
Mwezi wa 7 nilikuwa na demu geto, baada ya kunyanduana tukawa tumelala. Sasa USIKU wa manane nilivyoshtuka, kumwangalia demu katulia tiiiii. Kumgusa kwenye mbavu akawa kama hapumui hivi! Oyaa, nilidata, nikajua ashavuta.
Basi nikamtikisa kwa nguvu sana ndo akashtuka anauliza NINI????
Nilivuta pumzi ndefu halafu nikalala Hata sikumsemesha
Alimtulizaje?Kuna msela alifiwa na mke wa mtu chumbani kwake.
Mke alimuaga mume anakwenda kijijini lakini mke kaenda jirani tu kwa msela. Hawajakaa sawa malaria, hawajakaa sawa mama Kavuta.
Jamani Tanga Kuna watu Wana busara, ukiambiwa hiyo Soo Kuna mgosi alikwenda kumtuliza mume wa MTU mpaka maisha yanaendelea!!! Ingekuwa huko Bunda au Geita pangechimbika.
Hii ajali ilitokea pale maeneo ya 8-8 morogoroHii ilitokea mwaka 1984 Morogoro wakati ule gari zinasafiri usiku.Dereva alipita sehemu kumbe kuna kijiko au teseme grader la kuchimba barabara kimeegeshwa meno yamegukia barabarani basi abiri wote walikuwa upande wa kushoto walicharangwa kama wembe.
Situ nzuri za kukaa dirishani ni kwenye train na ndege tu gari hapana aise.
Aisee ni hatari,hapo lazima ukojoe dagaaHatari sana.
Ombea Mungu usifiwe na demu ghetto, bora hotelini unaweza kutoka nduki
Kila eneo la wazi."Akajibamiza vibaya sana chini na pote pakaanza kutapakaa damu, inatoka kila eneo la wazi la mwili".
Mshaanza kutengeneza taharuki mtaani.
Kumbe una gari!Mwezi wa tano mwaka huu mtoto wangu alikuwa kalazwa KCMC kwa shida ya moyo. Saa 7 usiku daktari akanipigia simu kuwa hali ya mtoto imebadilika ghafla. Niliwasha gari na kuelekea hospitali haraka na kufika tu dogo akanishika mkono akakata roho....
Natamani sana nisingepigiwa ile simu. Mzazi hapaswi kuzika mtoto bali mtoto ndio amzike mzazi
Mmh aisee hatarii sanaaa...!!Nilipita kwenye uchochoro usiku giza Totoro natembea nikakanyaga maiti nilijua mlevi kadondoka nikamdondokea kumbe alichinjwa shingo macho yangu yakawa kwenye shingo yake alipochinjiwa.
Afu awe dentHatari sana.
Ombea Mungu usifiwe na demu ghetto, bora hotelini unaweza kutoka nduki
Aisee, huo ni msala mbaya kuliko maelezoAfu awe dent
Hii ilikuwa kidogo initokee yani kidogo nikumbwe na kafia geto.Hatari sana.
Ombea Mungu usifiwe na demu ghetto, bora hotelini unaweza kutoka nduki