Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

Kuna ile stori ya jamaa wa chuo (UD)

Long time ago

Demu alifariki getoni kwake

Baada ya kushauriana na washkaji wakaamua watafute jeneza (yale ya kiislam) usiku kwa usiku, wakamuweka marehemu na kusubiri hadi mida ile ya alfajiri waumini wakiwa wanatoka msikitini...

Basi (jamaa walikuwa wanne), wakapita na jeneza kwa uelekeo wa kwenda msikitini...

Sasa ule utamaduni wa kupokezana kubeba ukachukuwa nafasi yake, kila aliyepokewa akatokomea kusikojulikana...

Kilichoendelea hakijulikani.
Asee [emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787] sipati picha mwisho wa yote wale walio baki na mwili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mkuu, ukiwa health work inabidi usiwe na sympathy kabisa maana unaweza ukakimbia clinical area, utaonea huruma wangapi? Utalilia wangapi?
Ukiwa daktari mwenye wito (siyo wale wakulazimishwa kurithi kazi kwamba kwa sababu baba alikuwa doctor lazima mtoto uwe doctor) lazima utakuwa na huruma huwezi kukosa au kufanya hayo niliyoya-bold maana kazi ya kuokoa uhai wa mtu naamini ina twawabu kubwa sana.

Dr ukishajitenga na "huruma" wewe siyo daktari ni bora ukaacha hiyo kazi,mtu kufa ni matokeo muhimu wewe simama kwa nafasi yako tumia kile umebarikiwa na Mungu kumsaidia,naweza kuwa siujui ugumu wa kazi yenu ila tuvumiliane.
 
Ukiwa daktari mwenye wito (siyo wale wakulazimishwa kurithi kazi kwamba kwa sababu baba alikuwa doctor lazima mtoto uwe doctor) lazima utakuwa na huruma huwezi kukosa au kufanya hayo niliyoya-bold maana kazi ya kuokoa uhai wa mtu naamini ina twawabu kubwa sana.

Dr ukishajitenga na "huruma" wewe siyo daktari ni bora ukaacha hiyo kazi,mtu kufa ni matokeo muhimu wewe simama kwa nafasi yako tumia kile umebarikiwa na Mungu kumsaidia,naweza kuwa siujui ugumu wa kazi yenu ila tuvumiliane.
Yap hupo sahihi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha jambo moja lililotokea nikiwa na demu geto, ndani ya sekunde 5 nishapagawa.

Mwezi wa 7 nilikuwa na demu geto, baada ya kunyanduana tukawa tumelala. Sasa USIKU wa manane nilivyoshtuka, kumwangalia demu katulia tiiiii. Kumgusa kwenye mbavu akawa kama hapumui hivi! Oyaa, nilidata, nikajua ashavuta.

Basi nikamtikisa kwa nguvu sana ndo akashtuka anauliza NINI????

Nilivuta pumzi ndefu halafu nikalala Hata sikumsemesha
Hapo kwenye kumshtua ndio ulikuwa umuue kabisa Mkuu
 
Kuna msela alifiwa na mke wa mtu chumbani kwake.

Mke alimuaga mume anakwenda kijijini lakini mke kaenda jirani tu kwa msela. Hawajakaa sawa malaria, hawajakaa sawa mama Kavuta.

Jamani Tanga Kuna watu Wana busara, ukiambiwa hiyo Soo Kuna mgosi alikwenda kumtuliza mume wa MTU mpaka maisha yanaendelea!!! Ingekuwa huko Bunda au Geita pangechimbika.
Alimtulizaje?
 
Hii ilitokea mwaka 1984 Morogoro wakati ule gari zinasafiri usiku.Dereva alipita sehemu kumbe kuna kijiko au teseme grader la kuchimba barabara kimeegeshwa meno yamegukia barabarani basi abiri wote walikuwa upande wa kushoto walicharangwa kama wembe.
Situ nzuri za kukaa dirishani ni kwenye train na ndege tu gari hapana aise.
Hii ajali ilitokea pale maeneo ya 8-8 morogoro
 
Wengi sana![emoji3166][emoji848] Nasubiri zamu yangu
 
Nilipita kwenye uchochoro usiku giza Totoro natembea nikakanyaga maiti nilijua mlevi kadondoka nikamdondokea kumbe alichinjwa shingo macho yangu yakawa kwenye shingo yake alipochinjiwa.
 
Mwezi wa tano mwaka huu mtoto wangu alikuwa kalazwa KCMC kwa shida ya moyo. Saa 7 usiku daktari akanipigia simu kuwa hali ya mtoto imebadilika ghafla. Niliwasha gari na kuelekea hospitali haraka na kufika tu dogo akanishika mkono akakata roho....

Natamani sana nisingepigiwa ile simu. Mzazi hapaswi kuzika mtoto bali mtoto ndio amzike mzazi
Kumbe una gari!
 
Nilipita kwenye uchochoro usiku giza Totoro natembea nikakanyaga maiti nilijua mlevi kadondoka nikamdondokea kumbe alichinjwa shingo macho yangu yakawa kwenye shingo yake alipochinjiwa.
Mmh aisee hatarii sanaaa...!!
 
Kipindi cha korona ilikua ni mwendo wa K vant,Gongo na Konyagi.Basi likizo ndefu toka Uhuru ikawa ni kunywa,kula na kulala.Kuna msukuma jamaa angu akaniomba awe anakaa chumba kimoja kilikua wazi.Jamaa akaanza kuugua wiki nzima na Mimi nilikua busy na mishe za job town.Jamaa alizidiwa sana.Nduguze walikuja ila akakataa kuondoka kwangu.Kesho yake akazidiwa zaidi nikawapigia tukampeleka hospitali.Yule Jamaa alibanwa na kitu inaitwa Ngiri.Jamaa alifia hospitali.Ule msala mazee angefia kwangu ingekua issue ngumu.Yasikie kwa wenzako ila omba yasikukute
 
Back
Top Bottom