Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

Ulikuwa umefunga macho?
 
Ni bora umepigiwa simu, mtoto amekuona na kukushika kwa mara ya mwisho.
 
Pole sana na Mwenye Enzi Mungu ani epushilie mbali walahi [emoji22]
Rip kwa aliye kufa!
 
Ndio maana tunatakiwa tuishi, tuna nafasi ya kuishi mara moja tu, ikipita hiyo haiji tena. Kuishi na kufa ni kitu cha dk moja tu..mzee wangu alinifia mikononi, sekunde kadhaa tu tunaongea ananiambia "hatutafika hospital ", wakati naendelea kutafakari alichoongea huku naendesha kama chizi barabarani, akageuka upande wa pili na hadithi ikaishia pale.
 
Kama ni pale tegeta yule mzee alikufa
 
Kuna waziri flani wa zamani enzi za nyerere kipindi cha corona ilimshikaa yani alitengwaa yule mzee hata ndugu zake walikuwa wanakuja kwa nadra sana mpka nikawa najiuliza hivi hana watoto??? aise nikajifunza kitu kikubwa sana MAISHA YAKO NI WEWE MWENYEWE muda ukifika huna nguvu bhasi ur on ur own kiufupi alifariki pale siku nikiwa off nkasikia tu redioni. Live to the fullest while u can.
 
Maisha tuliyo nayo ni mafupi sana ,haina haja ya kuchukiana hata kidogo.
 
Nilisoma huko nyuma uliandika hivi(sijui kwa nini nimefungua huu uzi), leo tena umeandika the same. Huu uzi nimeusoma leo yote kila nikipata mda, nimewakumbuka wapendwa wangu.
Mi najibu quotes zako tu sisomi tena comments nyingine
 
Mi najibu quotes zako tu sisomi tena comments nyingine
Acha woga, ukiwa mkubwa unatakiwa ujue kuwa mume anaweza kukufia mkiwa ndani wawili, mama/baba yako, mtoto wako. Ni aibu kuanza kupiga mayowe kabla ya kumuweka sawa mtu wako...hahaha nazidi kukuogopesha🤣🤣
 
Acha woga, ukiwa mkubwa unatakiwa ujue kuwa mume anaweza kukufia mkiwa ndani wawili, mama/baba yako, mtoto wako. Ni aibu kuanza kupiga mayowe kabla ya kumuweka sawa mtu wako...hahaha nazidi kukuogopesha🤣🤣
Kwaheri...sirudi tena hapa nakwambia
 
Maisha ni ubatili.
Vyote tunavyotafuta ni bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…