Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

That is the weakest point of any living organism, especially human being the most weakest one
1664631673400.jpg
 
Mwezi wa tano mwaka huu mtoto wangu alikuwa kalazwa KCMC kwa shida ya moyo. Saa 7 usiku daktari akanipigia simu kuwa hali ya mtoto imebadilika ghafla. Niliwasha gari na kuelekea hospitali haraka na kufika tu dogo akanishika mkono akakata roho.... Natamani sana nisingepigiwa ile simu. Mzazi hapaswi kuzika mtoto bali mtoto ndio amzike mzazi
Pole saaana Mkuu.
 
Pale kimara suka ilikuwa saa 11 asubuhi nakwenda shule nilisikia.

Wakati nishavuka kinakisikia gari imegonga kitu na mlio mkubwa Kama kitu kimepasuka, lile gari lilirudi nyuma na kukiovertake kile kitu likaondoka.

Baada ya hapo lilikuja gari moja likapita juu yake, kwa kuwa nilikuwa mbali na tukio sikujua kinachoendelea.

Mara mtu wa kwanza nikamuona kasimama,wakaanza kujaa watu kwenda kuangalia kumbe kuna mwanajeshi kagongwa kapasuka kichwa, ubongo nje.

Nilipata ganzi na shule sikwenda
 
Mwezi wa tano mwaka huu mtoto wangu alikuwa kalazwa KCMC kwa shida ya moyo. Saa 7 usiku daktari akanipigia simu kuwa hali ya mtoto imebadilika ghafla. Niliwasha gari na kuelekea hospitali haraka na kufika tu dogo akanishika mkono akakata roho.... Natamani sana nisingepigiwa ile simu. Mzazi hapaswi kuzika mtoto bali mtoto ndio amzike mzazi
Pole sana mkuu, mtoto apumzike kwa amani🙏
 
Watu wengi wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma ya kwanza.. Kuna uwezekano huyo jamaa angepata mtoa huduma wa kwanza angeishi

Watu wengi hawajui kufanya ABC's (Airways, breathing and circulation )na Cadio pulmonary resuscitation (CPR) pindi kunapotokea dharura za kiafya mitaani

Kwa wenzetu FIRST AID Ni kitu kinachofundwa mashuleni tangu chekechea
____________________________
Siku moja nipo zangu mitaa ya mbagala rangi 3 Kuna mzee alikuwa anataka avuke barabara aingie pale stendi ya mabasi..akawa anatembea kwenye zile kingo za barababra ya mwendokasi huku anavizia gape la magari avuke...wakati umakini ameuweka ktk kuangalia magari avuke si akasahau km yupo juu ya yale matofali ya barabara(zile blocks zilizowekwa ili magari ya kawaida yasiingie ktk barababra ya BRT)..

Mzee akateleza akaangukia kule barabarani yanakopita magari (lane to city center) gari la Temeke-Magenge likamkanyaga kichwani na habari yake ikaishia hapo hapo sikuweza kutoa msaada wowote maana alishakufa hapo.Kuanzia ile siku nimekuwa making sn kutembea kwenye zile blocks nikitaka kuvuka maana hiyo tabia tunayo wengi sn hapa mjini kwenye barababra za BRT

MRADI HUU NI MZURI SANA LAKINI ULE MTENGANISHO NI MDOGO SANA KIASI NI HATARI SANA UKIJISAHAU KIDOGO TU UNAGONGWA,UWEKWE UTENGANISHO WA VYUMA MKUBWA HASA KATIKA SEHEMU KARIBU NA VITUO VYAKE.MAANA UNAVUKA UNASIMAMA KWENYE KATOFALI KADOGO HALAFU UNAVUKA TENA.HATARI SANA.
 
Watu wengi wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma ya kwanza.. Kuna uwezekano huyo jamaa angepata mtoa huduma wa kwanza angeishi

Watu wengi hawajui kufanya ABC's (Airways, breathing and circulation )na Cadio pulmonary resuscitation (CPR) pindi kunapotokea dharura za kiafya mitaani

Kwa wenzetu FIRST AID Ni kitu kinachofundwa mashuleni tangu chekechea
____________________________
Siku moja nipo zangu mitaa ya mbagala rangi 3 Kuna mzee alikuwa anataka avuke barabara aingie pale stendi ya mabasi..akawa anatembea kwenye zile kingo za barababra ya mwendokasi huku anavizia gape la magari avuke...wakati umakini ameuweka ktk kuangalia magari avuke si akasahau km yupo juu ya yale matofali ya barabara(zile blocks zilizowekwa ili magari ya kawaida yasiingie ktk barababra ya BRT)..

Mzee akateleza akaangukia kule barabarani yanakopita magari (lane to city center) gari la Temeke-Magenge likamkanyaga kichwani na habari yake ikaishia hapo hapo sikuweza kutoa msaada wowote maana alishakufa hapo.Kuanzia ile siku nimekuwa making sn kutembea kwenye zile blocks nikitaka kuvuka maana hiyo tabia tunayo wengi sn hapa mjini kwenye barababra za BRT
Kwa mfano huyo jamaa aliyedondoka kifafa huduma yake ya kwanza ilikuwa ni kumtanua mdomo kisha unamuwekea kijiti mdomoni aking'ate
 
leo nimeona mtu akifa kama utani na mbele yangu.

Wakati nikivuka barabara ghafla mtu mwanaume aliyekuwa mbele yangu akaanguka kama kapigwa shoti ya umeme.

Akajibamiza vibaya sana chini na pote pakaanza kutapakaa damu, inatoka kila eneo la wazi la mwili.

Sababu ya butwaa nilikosa cha kusaidia ila wakaja wadau hapo wakasema ni kifafa huyo, jamaa keshameza ulimi n.k yaani kuna mzee akamgusa akasema huyo tayari kafa.

Basi ikawa ndio hata hatujui nini kifanyike

Ila ndio ikawa tayari amekufa. Nikaahirisha na safari nikarudi zangu nyumbani.

Umewahi shuhudia mtu kufa kimasihara?
Eti ukarudi home...?
 
MRADI HUU NI MZURI SANA LAKINI ULE MTENGANISHO NI MDOGO SANA KIASI NI HATARI SANA UKIJISAHAU KIDOGO TU UNAGONGWA,UWEKWE UTENGANISHO WA VYUMA MKUBWA HASA KATIKA SEHEMU KARIBU NA VITUO VYAKE.MAANA UNAVUKA UNASIMAMA KWENYE KATOFALI KADOGO HALAFU UNAVUKA TENA.HATARI SANA.
Kweli kbs na umetoa ushauri mzuri sn mkuu
 
Watu wengi wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma ya kwanza.. Kuna uwezekano huyo jamaa angepata mtoa huduma wa kwanza angeishi

Watu wengi hawajui kufanya ABC's (Airways, breathing and circulation )na Cadio pulmonary resuscitation (CPR) pindi kunapotokea dharura za kiafya mitaani

Kwa wenzetu FIRST AID Ni kitu kinachofundwa mashuleni tangu chekechea
____________________________
Siku moja nipo zangu mitaa ya mbagala rangi 3 Kuna mzee alikuwa anataka avuke barabara aingie pale stendi ya mabasi..akawa anatembea kwenye zile kingo za barababra ya mwendokasi huku anavizia gape la magari avuke...wakati umakini ameuweka ktk kuangalia magari avuke si akasahau km yupo juu ya yale matofali ya barabara(zile blocks zilizowekwa ili magari ya kawaida yasiingie ktk barababra ya BRT)..

Mzee akateleza akaangukia kule barabarani yanakopita magari (lane to city center) gari la Temeke-Magenge likamkanyaga kichwani na habari yake ikaishia hapo hapo sikuweza kutoa msaada wowote maana alishakufa hapo.Kuanzia ile siku nimekuwa making sn kutembea kwenye zile blocks nikitaka kuvuka maana hiyo tabia tunayo wengi sn hapa mjini kwenye barababra za BRT
Mi ndo kawaida yangu kusimama kwenye zile blocks embu nianze kua makini
 
Back
Top Bottom