Home First
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 609
- 247
Mimi sijawahi ona bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole saaana Mkuu.Mwezi wa tano mwaka huu mtoto wangu alikuwa kalazwa KCMC kwa shida ya moyo. Saa 7 usiku daktari akanipigia simu kuwa hali ya mtoto imebadilika ghafla. Niliwasha gari na kuelekea hospitali haraka na kufika tu dogo akanishika mkono akakata roho.... Natamani sana nisingepigiwa ile simu. Mzazi hapaswi kuzika mtoto bali mtoto ndio amzike mzazi
Pole sana mkuu, mtoto apumzike kwa amani🙏Mwezi wa tano mwaka huu mtoto wangu alikuwa kalazwa KCMC kwa shida ya moyo. Saa 7 usiku daktari akanipigia simu kuwa hali ya mtoto imebadilika ghafla. Niliwasha gari na kuelekea hospitali haraka na kufika tu dogo akanishika mkono akakata roho.... Natamani sana nisingepigiwa ile simu. Mzazi hapaswi kuzika mtoto bali mtoto ndio amzike mzazi
Watu wengi wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma ya kwanza.. Kuna uwezekano huyo jamaa angepata mtoa huduma wa kwanza angeishi
Watu wengi hawajui kufanya ABC's (Airways, breathing and circulation )na Cadio pulmonary resuscitation (CPR) pindi kunapotokea dharura za kiafya mitaani
Kwa wenzetu FIRST AID Ni kitu kinachofundwa mashuleni tangu chekechea
____________________________
Siku moja nipo zangu mitaa ya mbagala rangi 3 Kuna mzee alikuwa anataka avuke barabara aingie pale stendi ya mabasi..akawa anatembea kwenye zile kingo za barababra ya mwendokasi huku anavizia gape la magari avuke...wakati umakini ameuweka ktk kuangalia magari avuke si akasahau km yupo juu ya yale matofali ya barabara(zile blocks zilizowekwa ili magari ya kawaida yasiingie ktk barababra ya BRT)..
Mzee akateleza akaangukia kule barabarani yanakopita magari (lane to city center) gari la Temeke-Magenge likamkanyaga kichwani na habari yake ikaishia hapo hapo sikuweza kutoa msaada wowote maana alishakufa hapo.Kuanzia ile siku nimekuwa making sn kutembea kwenye zile blocks nikitaka kuvuka maana hiyo tabia tunayo wengi sn hapa mjini kwenye barababra za BRT
Kwa mfano huyo jamaa aliyedondoka kifafa huduma yake ya kwanza ilikuwa ni kumtanua mdomo kisha unamuwekea kijiti mdomoni aking'ateWatu wengi wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma ya kwanza.. Kuna uwezekano huyo jamaa angepata mtoa huduma wa kwanza angeishi
Watu wengi hawajui kufanya ABC's (Airways, breathing and circulation )na Cadio pulmonary resuscitation (CPR) pindi kunapotokea dharura za kiafya mitaani
Kwa wenzetu FIRST AID Ni kitu kinachofundwa mashuleni tangu chekechea
____________________________
Siku moja nipo zangu mitaa ya mbagala rangi 3 Kuna mzee alikuwa anataka avuke barabara aingie pale stendi ya mabasi..akawa anatembea kwenye zile kingo za barababra ya mwendokasi huku anavizia gape la magari avuke...wakati umakini ameuweka ktk kuangalia magari avuke si akasahau km yupo juu ya yale matofali ya barabara(zile blocks zilizowekwa ili magari ya kawaida yasiingie ktk barababra ya BRT)..
Mzee akateleza akaangukia kule barabarani yanakopita magari (lane to city center) gari la Temeke-Magenge likamkanyaga kichwani na habari yake ikaishia hapo hapo sikuweza kutoa msaada wowote maana alishakufa hapo.Kuanzia ile siku nimekuwa making sn kutembea kwenye zile blocks nikitaka kuvuka maana hiyo tabia tunayo wengi sn hapa mjini kwenye barababra za BRT
Inataka ujasiri lakiniSwali langu la kwanza lilikuwa NAMTUPA WAPI??
Eti ukarudi home...?leo nimeona mtu akifa kama utani na mbele yangu.
Wakati nikivuka barabara ghafla mtu mwanaume aliyekuwa mbele yangu akaanguka kama kapigwa shoti ya umeme.
Akajibamiza vibaya sana chini na pote pakaanza kutapakaa damu, inatoka kila eneo la wazi la mwili.
Sababu ya butwaa nilikosa cha kusaidia ila wakaja wadau hapo wakasema ni kifafa huyo, jamaa keshameza ulimi n.k yaani kuna mzee akamgusa akasema huyo tayari kafa.
Basi ikawa ndio hata hatujui nini kifanyike
Ila ndio ikawa tayari amekufa. Nikaahirisha na safari nikarudi zangu nyumbani.
Umewahi shuhudia mtu kufa kimasihara?
Ila watu wakawa we tu,na pengine Kuna ambao waliokuwa wanachukua videoKwa mfano huyo jamaa aliyedondoka kifafa huduma yake ya kwanza ilikuwa ni kumtanua mdomo kisha unamuwekea kijiti mdomoni aking'ate
Kweli kbs na umetoa ushauri mzuri sn mkuuMRADI HUU NI MZURI SANA LAKINI ULE MTENGANISHO NI MDOGO SANA KIASI NI HATARI SANA UKIJISAHAU KIDOGO TU UNAGONGWA,UWEKWE UTENGANISHO WA VYUMA MKUBWA HASA KATIKA SEHEMU KARIBU NA VITUO VYAKE.MAANA UNAVUKA UNASIMAMA KWENYE KATOFALI KADOGO HALAFU UNAVUKA TENA.HATARI SANA.
Mochwari ndio poa kabisa, akikata moto unamuungia kwenye jokofu halafu death certificate unaichonga fastaHatari sana.
Ombea Mungu usifiwe na demu ghetto, bora hotelini unaweza kutoka nduki
Mkuu hivi ulishawahi kufanya kazi mochwariMochwari ndio poa kabisa, akikata moto unamuungia kwenye jokofu halafu death certificate unaichonga fasta
Ndio kakaMkuu hivi ulishawahi kufanya kazi mochwari
Mi ndo kawaida yangu kusimama kwenye zile blocks embu nianze kua makiniWatu wengi wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma ya kwanza.. Kuna uwezekano huyo jamaa angepata mtoa huduma wa kwanza angeishi
Watu wengi hawajui kufanya ABC's (Airways, breathing and circulation )na Cadio pulmonary resuscitation (CPR) pindi kunapotokea dharura za kiafya mitaani
Kwa wenzetu FIRST AID Ni kitu kinachofundwa mashuleni tangu chekechea
____________________________
Siku moja nipo zangu mitaa ya mbagala rangi 3 Kuna mzee alikuwa anataka avuke barabara aingie pale stendi ya mabasi..akawa anatembea kwenye zile kingo za barababra ya mwendokasi huku anavizia gape la magari avuke...wakati umakini ameuweka ktk kuangalia magari avuke si akasahau km yupo juu ya yale matofali ya barabara(zile blocks zilizowekwa ili magari ya kawaida yasiingie ktk barababra ya BRT)..
Mzee akateleza akaangukia kule barabarani yanakopita magari (lane to city center) gari la Temeke-Magenge likamkanyaga kichwani na habari yake ikaishia hapo hapo sikuweza kutoa msaada wowote maana alishakufa hapo.Kuanzia ile siku nimekuwa making sn kutembea kwenye zile blocks nikitaka kuvuka maana hiyo tabia tunayo wengi sn hapa mjini kwenye barababra za BRT
Acha uongoNdio kaka
Including youUzi wa kiduwanzi mliokoment wote stupid
Dah, usinikumbushe kile kisa cha maiti iliyotoka ndukiMochwari ndio poa kabisa, akikata moto unamuungia kwenye jokofu halafu death certificate unaichonga fasta