Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

Bad memory! Kuna siku nipo zangu Ubungo pale riverside nataka kuvuka upande wa pili m, barabara ya kwanza nikavuka, nikawakuta wenzangu wengiwengi tu wanatafuta gap wamalizie barabara ya pili wavuke. Sasa kuna mmama mmoja ‘may her soul rest in peace’ alidhani gari iko mbali, aisee kitu kililia puuuu! Semi ilimburuta ikamwacha kwa mbele damu inatiririka tu barabarani na maisha yake yaliishia pale. Niliumia sana moyoni, nikarudi geto kulala siku hiyo sikutoka.
Duh
 
Natamani nisife,watoto mwenzio
Tatizo hakuna option.. ukishazaliwa solution ni kufa tu whether you like or not.
Inauma lakini...but cha msingi toka kwenye denial.. Embrace the fact that one day you'll be rotting underground.
Kila kitu chako kitabaki..hata I'D yako hii tutaisahau one day.
😟
 
Wafu watarajiwa endeleen kuleta visa😎😎😎
 
Natamani nisife,watoto mwenzio
Kuna watoto kibao wazaz wao wamekufa na ndugu zao wamewadhurum mali na kuwatupa ila bado wana survive mtaani...Anaelea watoto ni Mungu hatma yao iko mikononi mwake wala sio kwasababu wewe upo....unaweza kufa ukawaacha wadogo na bado wakatoboa tu maisha japo kwa shida.

Ukilitambua hilo utajizoesha kuwaweka mikonon mwa Mungu kila saa.
 
Hope haitasahaulika,itabaki kumbukumbu...unique name with unique comments😉
Kulikuwepo humu akina Dena Amsi, Warumi, @Easymutant(huyu alipofia na hapa nilipo right now ni mwendo wa dakika 5 tu)
Ila tushawasahau... Don't worry moja kati ya zawadi kubwa tuliyopewa wanadamu ni kusahaua
 
Kuna watoto kibao wazaz wao wamekufa na bado wana survive mtaani...Anaelea watoto ni Mungu hatma yao iko mikononi mwake wala sio kwasababu wewe upo....unaweza kufa ukawaacha wadogo na bado wakatoboa tu maisha japo kwa shida.

Ukilitambua hilo utajizoesha kuwaweka mikonon mwa Mungu kila saa.
👊🙏 mkuu
 
Kulikuwepo humu akina Dena Amsi, Warumi, @Easymutant(huyu alipofia na hapa nilipo right now ni mwendo wa dakika 5 tu)
Ila tushawasahau... Don't worry moja kati ya zawadi kubwa tuliyopewa wanadamu ni kusahaua
😭maskini mie
 
ikamkuta mzee mmoja alikuwa kwenye kile kitanda cha kusukuma yupo peke yake.
sijui muuguzi aikwenda wapi wapi jamani huenda mzee angewahishwa kwenye huduma angepona. Rest easy Mzee!
 
Kuna watoto kibao wazaz wao wamekufa na ndugu zao wamewadhurum mali na kuwatupa ila bado wana survive mtaani...Anaelea watoto ni Mungu hatma yao iko mikononi mwake wala sio kwasababu wewe upo....unaweza kufa ukawaacha wadogo na bado wakatoboa tu maisha japo kwa shida.

Ukilitambua hilo utajizoesha kuwaweka mikonon mwa Mungu kila saa.
Wazazi wetu walifariki tungali wadogo but now tunalamba asali ukisemacho kipo
 
Mungu azid kuwatunza mlambe asali kiungwana
Amen mkulungwa but mapitio yalikuwa mengi lakin tuliyashinda.
Pia kama wadau wengine waliocomment huko juu mm binafsi nataman kuona vijana wangu nimewaacha sehemu fulan so naomba mungu sana anibarik nifikie umri wa utu uzima ili zile changamoto tulizopitia sisi zisiwepo.
 
Amen mkulungwa but mapitio yalikuwa mengi lakin tuliyashinda.
Pia kama wadau wengine waliocomment huko juu mm binafsi nataman kuona vijana wangu nimewaacha sehemu fulan so naomba mungu sana anibarik nifikie umri wa utu uzima ili zile changamoto tulizopitia sisi zisiwepo.
Hakika hii ni ndoto ya kila mmoja wetu but still counter plans are important in case anything happens
 
Mama yangu mzazi, ilikuwa tarehe 1/5/2020.

Majira ya saa tatu usiku, nimekaa na mama tunazungumza huku tukiwa tunatazamana machoni. Hapohapo mama alifumba macho na hakufumbuwa tena.

Nilipatwa na mshangao usio wa kawaida, RIP mama
Pole ndg. Ila ninaweza kusema huenda alilala kama mmoja wa mitume na manabii wa kale.

Mana nasikia wengine ni inakuwaga ww3
 
Back
Top Bottom