Uchawa utakuua.Inawezekana uyo waziri wakati anamiliki Singida United ulikua bado hauja anza kufuatilia mpira.
Uyo waziri ameanza kujihusisha na mpira wa miguu kitambo sana, kabla hajawa waziri na kuhusu wapi anapata fedha ilo lisikupe tabu.
Jamaa ni mfanya biashara kitambo na fedha anayo na anaupenda mpira.
Tena utajiri wake si wa kurithi kama baadhi ya matajiri wanao jihusisha na mpira kwasasa, amepambana mwenyewe sasa tusiwe na wivu na mafanikio ya watu na kutafuta namna ya kuwapaka matope.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Bainaisha mapambano yake hapa!!!Inawezekana uyo waziri wakati anamiliki Singida United ulikua bado hauja anza kufuatilia mpira.
Uyo waziri ameanza kujihusisha na mpira wa miguu kitambo sana, kabla hajawa waziri na kuhusu wapi anapata fedha ilo lisikupe tabu.
Jamaa ni mfanya biashara kitambo na fedha anayo na anaupenda mpira.
Tena utajiri wake si wa kurithi kama baadhi ya matajiri wanao jihusisha na mpira kwasasa, amepambana mwenyewe sasa tusiwe na wivu na mafanikio ya watu na kutafuta namna ya kuwapaka matope.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Vijana tafteni fedha vijicho na husda havitawafanya nanyi kuwa kama yeye. Siri ya utajiri wake kwakua alisha wahi kua kiongozi wa mbio za mwenge miaka ya 90Bainaisha mapambano yake hapa!!!