Umiliki wa Singida Fountain Gate upoje?

Umiliki wa Singida Fountain Gate upoje?

Inawezekana uyo waziri wakati anamiliki Singida United ulikua bado hauja anza kufuatilia mpira.

Uyo waziri ameanza kujihusisha na mpira wa miguu kitambo sana, kabla hajawa waziri na kuhusu wapi anapata fedha ilo lisikupe tabu.

Jamaa ni mfanya biashara kitambo na fedha anayo na anaupenda mpira.

Tena utajiri wake si wa kurithi kama baadhi ya matajiri wanao jihusisha na mpira kwasasa, amepambana mwenyewe sasa tusiwe na wivu na mafanikio ya watu na kutafuta namna ya kuwapaka matope.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Uchawa utakuua.
Yeye alikanusha kuwa hajawahi kufanya hata biashara ya bajaji
 
Nyie mteteeni huyo Madelu. Ila nawakumbusha tu Madelu alipotumbuliwa na Jiwe wote tunajua Singida Utd ilipwaya na kushuka daraja.

Alipopata uwaziri katika utawala wa Joyce Banda akainunua Mawenzi Market ikabadilishwa jina na kuwa DTB kisha Singida Big Stars na sasa Singida Fountain Gate

Bob Marley aliwahi kusema “Unaweza kudanganya watu fulani kwa muda fulani ila huwezi kudanganya watu wote kwa muda wote.
 
Inawezekana uyo waziri wakati anamiliki Singida United ulikua bado hauja anza kufuatilia mpira.

Uyo waziri ameanza kujihusisha na mpira wa miguu kitambo sana, kabla hajawa waziri na kuhusu wapi anapata fedha ilo lisikupe tabu.

Jamaa ni mfanya biashara kitambo na fedha anayo na anaupenda mpira.

Tena utajiri wake si wa kurithi kama baadhi ya matajiri wanao jihusisha na mpira kwasasa, amepambana mwenyewe sasa tusiwe na wivu na mafanikio ya watu na kutafuta namna ya kuwapaka matope.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Bainaisha mapambano yake hapa!!!
 
Bainaisha mapambano yake hapa!!!
Vijana tafteni fedha vijicho na husda havitawafanya nanyi kuwa kama yeye. Siri ya utajiri wake kwakua alisha wahi kua kiongozi wa mbio za mwenge miaka ya 90
Nanyi kakimbizeni mwenge mtoke kimaisha[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom