Yawezekana kweli mm mbumbumbu nazidi kuuliza ww mbulumbulu! Mbona kaitoa kwa kificho? Kwa woga? Nakwanini ccm hawaitumii km tafsiri yke ndo hiyo? Nakama alikuwa mualikwa yy mwakinyo kwani hakujua ishara za waliomwalika?
Ww mbulumbulu ( mchele wenye kiwango kibovu) kumbe ishara hii unaweza kuitumia hata kanisani kwa maana ya ushindi wa kumshinda shetani???😋😋
Kiujumla mwakinyo kaharibu km alivyohalibu ndg mbowe cku anawafukuza TBC live yy akijua hayupo live.
Nadhani niwakati wa mwakinyo kuomba msamaha km alivyoamliwa mbowe kuomba msamaha.