Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... jabali la afrika limeifanyia nini afrika bwashee?Atawafurahishaje waliotoa?
Umasikini wa fikra ni ugonjwa mbaya Sana.
RIP Jabali la Afrika.
Yaani haya mambo ni shagharabagara tu mara wanaandika UVICO Ili iweje!? Au ndo masharti ya mkopo? Wafadhiri wa UVICO washaona hamna kitu kichwani!
Bado husahau TU mwanasgangAtawafurahishaje waliotoa?
Umasikini wa fikra ni ugonjwa mbaya Sana.
RIP Jabali la Afrika.
Shida sio kulebo,Shida ni hivo vioo vya aluminium.Sion matumizi sahihi ya PESA.Naona ufujaji tu.
Hapana... mara zote wafadhili hata hawapendi... Ni vimbele mbele vya machawa...Yaani haya mambo ni shagharabagara tu mara wanaandika UVICO Ili iweje!? Au ndo masharti ya mkopo? Wafadhiri wa UVICO washaona hamna kitu kichwani!
We mgeni Yerusalemu?... jabali la afrika limeifanyia nini afrika bwashee?
... mimi mwenyeji wa Chato; Yerusalem hapa mgeni tu mimi.We mgeni Yerusalemu?
Mbona hata barabara zimekuwa labelled "kwa hisani ya watu wa marekani"? huo ni ulimbukeni wa viongozi wetu. Halafu wakikemewa kidogo utasikia wanakuja na kauli kuwa mabeberu wanatuonea wivu
heshima kitu cha bure mkuu, kumtaja huyo waziri kwa jina lake ndio nini!? huoni kwamba unamvunjia heshima!?kwani ungesema waziri Ummy au mheshimiwa Ummy au bi, Ummy ungepungukiwa nini!?sasa kwa uandishi wako huu wa kihuni nasisi tukikoment kihuni uzi wako utakuwa na maana kweli!?Masikini ndivyo waliyo
Sio hisani ni mkopoNi muhimu kuonesha wahisani ulichokifanya kupitia pesa zao