Ummy kuna ulazima ku-label haya madarasa?

Ummy kuna ulazima ku-label haya madarasa?

Bongo,hii,kwa hiyo madarasa tu,ndiyo muhimu[emoji15][emoji15][emoji15]walimu vipi,qpi nyumba zao,qaishi wapi,kw Nini angalau wasifikirie na kujenga nyumba za walimu jpo kw uchache.sasa hao watoto watafundishwa na qlimu wnotoka zaidi ya kilometa tano kw vijijini?
 
heshima kitu cha bure mkuu, kumtaja huyo waziri kwa jina lake ndio nini!? huoni kwamba unamvunjia heshima!?kwani ungesema waziri Ummy au mheshimiwa Ummy au bi, Ummy ungepungukiwa nini!?sasa kwa uandishi wako huu wa kihuni nasisi tukikoment kihuni uzi wako utakuwa na maana kweli!?

Hakuna mwenye heshima chini ya jua

Huyo ni Ummy Mwalimu
 
Bora kulabel maana linaweza kuja limagufuli lingine likasema limetoa lenyewe pesa za kujanga shule nchi nzima... na ufisadi utapungua kujazia voucher miradi iliyo tayari
We jamaa ni Master, kula 5👊
 
Yaani haya mambo ni shagharabagara tu mara wanaandika UVICO Ili iweje!? Au ndo masharti ya mkopo? Wafadhiri wa UVICO washaona hamna kitu kichwani!
Wewe uko Nchi gani? Hujawahi ona miradi ya wafadhili ikitambulishwa kwa financier husika? Hadi Kesho utakuta mabango ya miradi ya Us aid,UK aid,Jaica nk sasa sijui unashangaa nini.
 
Vita vya kiuchumi kutoka kwa mabeberu imekoma lini
 
Wameziwekea label kwa ajili ya kuhakiki matumizi ya fedha zilizotolewa kwa ajili kupunguza makali ya COVID-19 kwenye uchumi wa nchi yetu kama zimetumika vile ilivyokusudiwa.
Kama ni hivyo sawa
 
Shida sio kulebo,Shida ni hivo vioo vya aluminium.Sion matumizi sahihi ya PESA.Naona ufujaji tu.
Kwanini hamtaki vitu vizuri? Kuwekwa Aluminium kuna shida gani? Ni kizazi gani mnachotaka kukitengeneza kisichotaka kujua au kutumia vitu vizuri?
 
Kwanini hamtaki vitu vizuri? Kuwekwa Aluminium kuna shida gani? Ni kizazi gani mnachotaka kukitengeneza kisichotaka kujua au kutumia vitu vizuri?
Mkuu,Design ya Majngo na Kuweka aluminium hapo hapana.Kuna aina nzuri sana za madirisha ambazo hazihitaji kuwa na aluminium.
 
Bongo,hii,kwa hiyo madarasa tu,ndiyo muhimu[emoji15][emoji15][emoji15]walimu vipi,qpi nyumba zao,qaishi wapi,kw Nini angalau wasifikirie na kujenga nyumba za walimu jpo kw uchache.sasa hao watoto watafundishwa na qlimu wnotoka zaidi ya kilometa tano kw vijijini?
We ungeenza na ajira alafu unge lalamika hakuna madarasa, kila kitu kina hatua. Tusiwe watu wa kulalamika tu. Haya toa ushauri
 
Tunatembea juu ya ardhi ambayo chini kuna madini. Lakini tunapanda ndege kwenda kuomba misaada huko nje.

Hayo ndio mambo ya msingi sasa.

Yaani tukope mpaka tupewe tuzo ya kukopa.
 
Sasa si bora huyo anaye-label kuonesha ni pesa za mabeberu au za mikopo kuliko wale wanaokopa lakini hawasemi kwamba wamekopa ili waweze kuwadanganya watu kwamba wamejenga "kwa pesa zao"! Lakini yote kwa yote, hivi hayo madarasa yakiwa labeled ni kwamba wanafunzi wakiwa wanafundishwa watakuwa hawaelewi, au tatizo ni nini hasa?! Mwezi uliopita nilikuwa kijiji fulani kikazi, na Kituo cha Afya nilichokuta pale kimeandikwa KITUO HIKI CHA AFYA KIMEJENGWA KWA MSAADA WA SHIRIKA LA WAKIMBIZI. Na hiyo ni enzi za Nyerere!!
 
Tunatembea juu ya ardhi ambayo chini kuna madini. Lakini tunapanda ndege kwenda kuomba misaada huko nje.

Hayo ndio mambo ya msingi sasa.

Yaani tukope mpaka tupewe tuzo ya kukopa.
Ndo mambo ya msingi sasa?! Yule Mungu mtu wenu na yeye si ndo alikuwa kinara wa kukopa huku akidanganya watu kwamba "hatutaki pesa za mabeberu"! Si bora huyu anayekopa na kuutangazia umma kwamba anakopa kuliklo yule fraud aliyekuwa anajifanya hakopi wakati nae alikuwa full mkopaji!
 
Back
Top Bottom