Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Mbona Jiwe hakuwajengea Bangosha wenzake?Duh kweli huyo niwaziri aliyemuambia Mh. Rais upele umepata mkunaji
Akawajengee vyoo ndugu zake wadigo wasijisaidie vichakani
Kwahiyo hata yeye anajisaidia porini?Karibu kila mtanzania anajisaidia maporini, mitaani na mabarabarani. Hasa wanaume.
Arekebishe takwimu.
Inawezekana kabisa.Kwahiyo hata yeye anajisaidia porini?
Subiri wajeItakua kanda ya ziwa huko ndiyo wanakunya ziwani hadi samaki wanakufa alafu mnawasingizia ng'ombe.
[emoji23][emoji23]ngoja waje wenye kwaoItakua kanda ya ziwa huko ndiyo wanakunya ziwani hadi samaki wanakufa alafu mnawasingizia ng'ombe.
Nchi ni yote sote hii π[emoji23][emoji23]ngoja waje wenye kwao
Mimi niko Uchaggani huku watu wanakunya migombani.Itakua kanda ya ziwa huko ndiyo wanakunya ziwani hadi samaki wanakufa alafu mnawasingizia ng'ombe.
Acha hasira za malipizi πMimi niko Uchaggani huku watu wanakunya migombani.
Nimepambana kuyalazimisha wajenge vyoo mpaka nimeshindwa.
Yaani jitu limechimba shimo ( mfano wa shimo la taka ) linajisaidia pembeni halafu limasukuma na kijiti. Stupid
Mimi Niko Kilimanjaro kijana. Ndio maana naongea kwa uzoefu wangu hukuAcha hasira za malipizi π
jengeni vyoo samaki wa ziwani wamechoka kula mavi
Usichukie bana πMimi Niko Kilimanjaro kijana. Ndio maana naongea kwa uzoefu wangu huku