Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Ile kamba ilikuwa dhaifu sanaUchumi wa kati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile kamba ilikuwa dhaifu sanaUchumi wa kati.
yeye kama waziri anashauli nini hii nchi buana kila mtu anashangaaaWaziri wa afya amesema kuwa idadi ya Watanzania wanaojisaidia vichakani imepungua kutoka asilimia 5.7 hadi 14 Desemba 2021.
Ameyasema hayo leo Jumatatu, Aprili 11, 2022 wakati akitaja mafanikio yaliyopatikana kupitia kampeni ya Nyumba ni Choo kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka mitano ya kampeni hiyo nchini.
miaka 60 ya uhuru watu bado tunaishi kijima namna hii - yaani ni hivi ukijisaidia kichakani basi lazima uondoke na baadhi ya kinyesi kujipakaza kwenye nguo yako.Waziri wa afya amesema kuwa idadi ya Watanzania wanaojisaidia vichakani imepungua kutoka asilimia 5.7 hadi 14 Desemba 2021.
Ameyasema hayo leo Jumatatu, Aprili 11, 2022 wakati akitaja mafanikio yaliyopatikana kupitia kampeni ya Nyumba ni Choo kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka mitano ya kampeni hiyo nchini.
😂😂😂😂 this is TanzaniaWaziri wa afya amesema kuwa idadi ya Watanzania wanaojisaidia vichakani imepungua kutoka asilimia 5.7 hadi 14 Desemba 2021.
Ameyasema hayo leo Jumatatu, Aprili 11, 2022 wakati akitaja mafanikio yaliyopatikana kupitia kampeni ya Nyumba ni Choo kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka mitano ya kampeni hiyo nchini.
Halafu tukisha shit Uto mnakuja kuyachukua kwa kuyabulungusha mkayatumie kama material ya jezi zenuKatika hiyo 1.4% ya wanaojisaidia vichakani 1.3 ni mashabiki wa simba na 0.1 ni wa azam. Katika makolo hapo wanaongozwa na Scars