Ummy Mwalimu: 1.4% ya Watanzania bado wanajisaidia vichakani

yeye kama waziri anashauli nini hii nchi buana kila mtu anashangaaa
 
miaka 60 ya uhuru watu bado tunaishi kijima namna hii - yaani ni hivi ukijisaidia kichakani basi lazima uondoke na baadhi ya kinyesi kujipakaza kwenye nguo yako.

CCM mna nini na hii nchi, mbona inazidi kuwa maskini & fukra hadi fikra - hebu iachieni ili mruhusu na mawazo mengine.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ this is Tanzania
 
Katika hiyo 1.4% ya wanaojisaidia vichakani 1.3 ni mashabiki wa simba na 0.1 ni wa azam. Katika makolo hapo wanaongozwa na Scars
 
Katika hiyo 1.4% ya wanaojisaidia vichakani 1.3 ni mashabiki wa simba na 0.1 ni wa azam. Katika makolo hapo wanaongozwa na Scars
Halafu tukisha shit Uto mnakuja kuyachukua kwa kuyabulungusha mkayatumie kama material ya jezi zenu

Na ndio maana kuna virangi flani confusing kwenye jezi zenu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…