Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Wewe ni chawa hata roho yako inajijuaMimi siyo chawa bali nafahamika kwa uzalendo na Usema kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni chawa hata roho yako inajijuaMimi siyo chawa bali nafahamika kwa uzalendo na Usema kweli.
Roho yangu imejaa uzalendo, ukarimu,upendo,unyenyekevu,utu, uungwana na hofu ya Mungu tu. Mimi siyo chawaWewe ni chawa hata roho yako inajijua
Mheshimiwa Ummy Mwalimu ni Mtu na kiongozi mnyenyekevu na anayefahamu ya kuwa cheo ni Dhamana.ndio maana anaendelea kumuunga Mkono Mheshimiwa Rais na kumsemea vyema kwa kazi kubwa alizozifanya katika kuwapelekea maendeleo wana Tanga.Anajikomba baada ya kutumbuliwa uwaziri
Hivi hilo nalo ni swali kweli?Aje ajibu hapa
Huna ukulima wowote wewe ni CHAWA mpenda uchafuMimi ni Mkulima ndugu yangu mtanzania
Kwa hiyo unanikatalia kazi yangu ya ukulima? Una matatizo makubwa sanaHuna ukulima wowote wewe ni CHAWA mpenda uchafu
unafanya kazi kubwa mtandaoni ila pesa wanaenda kupewa kina mwijaku. Jitokeze hadharani wakutambue ili kwenye teuzi/ruzuku usisahauliweMimi siyo chawa bali nafahamika kwa uzalendo na Usema kweli.
Uwe na adabu na siyo kuropoka ovyo ovyo tu hapa kama mlevi wa gongo.Mambo ya kijinga ndio yanapewa kipaumbele , ikifika mijadala yenye afya wanaingia mitini.
Aliyepewa jina la hizo mbio hatujawahi kumuona hata siku moja akifanya mazoezi ya kukimbia zaidi ya kunenepeana tu bila mpangilio.
View attachment 3244248
Adabu ni nini?Uwe na adabu na siyo kuropoka ovyo ovyo tu hapa kama mlevi wa gongo.
Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuuAdabu ni nini?
Kampeni za kitapeli zinazogharamiwa kwa kodi za wananchi kumtangaza huyo mama yenu badala ya kuzitumia kwa shughuli zenye tija mnaona ndio akili?
Ameshamtosa Bumbuli ama kweli tumbo baya sanaNdugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Ummy Mwalimu ambaye alikuwa na amehudumu katika wizara mbalimbali hapa Nchini ikiwepo Wizara ya Afya .ambayo alikuwepo kama Waziri wake mara ya mwisho kabla ya kufanyika kwa mabadiliko madogo ya baraza la Mawaziri.
Unaweza kunywa majitaka?Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu
Unaweza ukakuta lucas mwashambwa ni demu licha ya kutumia I'd ya kiume.......
Kuacha umbea siwezi, bora niache kula.....Kwa nini aliondolewa barazani?Acha umbeya wako hapa wewe.
Kwa sababu cheo ni Dhamana na ni jambo la kawaida katika utumishi . Na yeye siyo mtu wa kwanza na hatakuwa wa Mwisho. Na anaweza kurejeshwa pia kama ambavyo imetokea kwa wengine katika Historia ya Taifa letu.Kuacha umbea siwezi, bora niache kula.....Kwa nini aliondolewa barazani?
Sawa odo.Kwa sababu cheo ni Dhamana na ni jambo la kawaida katika utumishi . Na yeye siyo mtu wa kwanza na hatakuwa wa Mwisho. Na anaweza kurejeshwa pia kama ambavyo imetokea kwa wengine katika Historia ya Taifa letu.