Pre GE2025 Ummy Mwalimu aanzisha "Amka na Samia Jogging" katika maandalizi ya kumpokea Rais Samia Tanga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bubujikwa na machozi kwanza ndo atakusikiliza mkuu
 
Kwa madudu aliyoyafanya NHIF na TAMISEMI acha akongoroke.
Nilikuwa nampenda huyu dada ila duh....
Kumbe ni bomu tu, Iła Mama naye sijuwi kwanini alikuwa anachagua 'sub qualified' mawaziri, the likes of Makamba, Nape na other useless people.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…