Ummy Mwalimu ana sifa na anastahili kuwa Waziri Mkuu!

Ummy Mwalimu ana sifa na anastahili kuwa Waziri Mkuu!

babu M

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
5,222
Reaction score
3,173
1641462230684.jpeg


Mchapa kazi, ana ushawishi mkubwa ndani ya CCM na nje ya CCM, amekuwa akifanyia kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa pale malalamiko yanapotokea kwenye wizara anazozisimamia, mtu wa kujituma nani mfuatiliaji yanayofanyika kwenye wizara yake kwa ukaribu zaidi(hana u-mangi meza!), Sio mtu wa kujikweza na kadhalika.

Baadhi ya historia ya Ummy mwenye wizara alizoziongoza:

Wizara ya Afya - Zika.
Ummy Mwalimu sio bendera fuata upepo. Ni kiongozi anayejiamini na kusimamia anachokiamini lakini asiye jikweza. Lilipotokea swala la zika
na imeingia Tanzania. Ummy alitoa msimamo wa wizara yake na leo tunaona yale maamuzi aliyoyafanya ndio yaliyokuwa sahihi.

Wizaya ya Afya - Mapambano dhidi ya UVIKO19:
Ummy Mwalimu alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaotokana na virusi vya Corona, kwa jina la kitaalamu COVID -19. Ugonjwa huu uliingia nchini Tanzania tarehe 15 Machi 2020. Ummy aliitisha mkutano na waandishi wa habari nchini kwa weledi mkubwa kabisa alizungumza na taifa kwa lengo la kupunguza taharuki na hofu kwa wananchi.

Ummy alizingatia weledi na kanuni za kukabiliana na majanga, jambo ambalo likiwawezesha Watanzania kuendelea kufanya kazi bila hofu.

TAMISEMI - Mkopo wa UVIKO 19.
Ummy amefanya kazi nzuri kwenye hii wizara kwa muda mfupi sana. Ameoneka akifanya kazi kila kukicha kuhakikisha agizo la raisi dhidi ya pesa za UVIKO 19 linatekelezwa. Amezunguka nchi nzima kuhakikisha ujenzi wa madarasa unafanyika kwa haraka na ufanisi mkubwa.

Vile vile, Ummy Mwalimu ana elimu nzuri ya darasani; UDSM L LB, Pretoria L LM na Oxford University
 
ummy anaweza somehow lakini sasa akiweka PM mwanamke itakua soo wabongo wataanzisha ajenda mpya
 
Anafaa sana ila mwanamke kweli jamani awe
 

Doctors to keep a sharp eye on Zika​

Monday February 01 2016​

The government has directed doctors across the country to immediately report any case of babies born with abnormally small heads in a bid to avert any possible spread of Zika fever

1641462496624.jpeg

IN SUMMARY​

The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Ms Ummy Mwalimu, yesterday allayed fears over the fever, saying there is no single case that has been reported in the country as of yesterday.

Dodoma. The government has directed doctors across the country to immediately report any case of babies born with abnormally small heads to avert any possible spread of Zika fever.
The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Ms Ummy Mwalimu, yesterday allayed fears over the fever, saying there is no single case reported in the country as of yesterday.

The abnormality is linked with Zika virus, and already Brazil has reported hundreds of cases. Twenty two countries in the Americas are currently battling the fever and has thrown the whole world into panic.

According to Ms Mwalimu, as her ministry is continuing to monitor the disease, people should stay put and rush to hospital any time they experience symptoms of the disease which is transmitted by Aedes aegypti mosquito.
The most common symptoms of the disease are fever, skin rashes, joint pain and conjunctivitis. Infected patients are typically ill for a few days to a week.

“We have already directed district and regional medical officers to file daily reports on the state of patients with fever cases which are not malaria for in-depth examinations to be conducted, and check if the virus (Zika) is already in the country. At the same time people should avoid mosquito bites as much as they can, and destroy all possible mosquito breeding places,” said the minister.
Already, the disease is getting out of the current focal point, Latin America, as the United States and Europe have already seen “imported cases”—people who arrived from a Zika-affected country carrying the virus.

According to Ms Mwalimu, local authorities are already monitoring all country entry points while the government is awaiting resolutions of today’s World Health Organisation (WHO) meeting over the Zika fever outbreak.

WHO Director-General Margaret Chan will chair the International Health Regulations Emergency Committee on Zika virus in Geneva to ascertain whether the outbreak constitutes a public health emergency of international concern.
According to WHO, the virus was accidentally discovered in monkeys of the Zika forest in Uganda in 1947 by scientists who were working on another viral disease, yellow fever.

In 1952, the disease was identified in humans starting with the Lake Victoria regions of Uganda and Tanzania, and by 1981, it had been reported in five other African countries Central African Republic, Egypt, Gabon, Sierra Leone and Nigeria. The Zika virus has in the past also caused mild diseases across equatorial Asia.

Source: The Citizen
 
Mpaka GENERALI wa majeshi mtataka awe mwanamke...
 
View attachment 2070492

Mchapa kazi, ana ushawishi mkubwa ndani ya CCM na nje ya CCM, amekuwa akifanyia kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa pale malalamiko yanapotokea kwenye wizara anazozisimamia, mtu wa kujituma nani mfuatiliaji yanayofanyika kwenye wizara yake kwa ukaribu zaidi(hana u-mangi meza!),
Sio mtu wa kujikweza na kadhalika.

Baadhi ya historia ya Ummy mwenye wizara alizoziongoza:
Wizara ya Afya - Zika.
Ummy Mwalimu sio bendera fuata upepo. Ni kiongozi anayejiamini na kusimamia anachokiamini lakini asiye jikweza. Lilipotokea swala la zika
na imeingia Tanzania. Ummy alitoa msimamo wa wizara yake na leo tunaona yale maamuzi aliyoyafanya ndio yaliyokuwa sahihi.

Wizaya ya Afya - Mapambano dhidi ya UVIKO19:
Ummy Mwalimu alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaotokana na virusi vya Corona, kwa jina la kitaalamu COVID -19. I
Ugonjwa huu uliingia nchini Tanzania tarehe 15 Machi 2020. Ummy aliitisha mkutano na waandishi wa habari nchini kwa weledi mkubwa kabisa alizungumza na taifa kwa lengo la kupunguz ataharuki na hofu kwa wananchi.
Ummy alizingatia weledi na kanuni za kukabiliana na majanga, jambo ambalo likiwawezesha Watanzania kuendelea kufanya kazi bila hofu.

TAMISEMI - Mkopo wa UVIKO 19.
Ummy amefanya kazi nzuri kwenye hii wizara kwa muda mfupi sana. Ameoneka akifanya kazi kila kukicha kuhakikisha agizo la raisi dhidi ya pesa za UVIKO 19 linatekelezwa. Amezunguka nchi nzima kuhakikisha ujenzi wa madarasa unafanyika kwa haraka na ufanisi mkubwa.


Vile vile, Ummy Mwalimu ana elimu nzuri ya darasani; UDSM L LB, Pretoria L LM na Oxford University
Ni kweli but let us see

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2070492

Mchapa kazi, ana ushawishi mkubwa ndani ya CCM na nje ya CCM, amekuwa akifanyia kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa pale malalamiko yanapotokea kwenye wizara anazozisimamia, mtu wa kujituma nani mfuatiliaji yanayofanyika kwenye wizara yake kwa ukaribu zaidi(hana u-mangi meza!),
Sio mtu wa kujikweza na kadhalika.

Baadhi ya historia ya Ummy mwenye wizara alizoziongoza:
Wizara ya Afya - Zika.
Ummy Mwalimu sio bendera fuata upepo. Ni kiongozi anayejiamini na kusimamia anachokiamini lakini asiye jikweza. Lilipotokea swala la zika
na imeingia Tanzania. Ummy alitoa msimamo wa wizara yake na leo tunaona yale maamuzi aliyoyafanya ndio yaliyokuwa sahihi.

Wizaya ya Afya - Mapambano dhidi ya UVIKO19:
Ummy Mwalimu alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaotokana na virusi vya Corona, kwa jina la kitaalamu COVID -19. I
Ugonjwa huu uliingia nchini Tanzania tarehe 15 Machi 2020. Ummy aliitisha mkutano na waandishi wa habari nchini kwa weledi mkubwa kabisa alizungumza na taifa kwa lengo la kupunguz ataharuki na hofu kwa wananchi.
Ummy alizingatia weledi na kanuni za kukabiliana na majanga, jambo ambalo likiwawezesha Watanzania kuendelea kufanya kazi bila hofu.

TAMISEMI - Mkopo wa UVIKO 19.
Ummy amefanya kazi nzuri kwenye hii wizara kwa muda mfupi sana. Ameoneka akifanya kazi kila kukicha kuhakikisha agizo la raisi dhidi ya pesa za UVIKO 19 linatekelezwa. Amezunguka nchi nzima kuhakikisha ujenzi wa madarasa unafanyika kwa haraka na ufanisi mkubwa.


Vile vile, Ummy Mwalimu ana elimu nzuri ya darasani; UDSM L LB, Pretoria L LM na Oxford University
Kama ni waziri mkuu wa Udom sawa!!
 
Siku likiingia dume lenye misimamo, wanawake wote hao anao wapachika bibi itabidi wakatafute kazi za kufanya
 
Rais mwanamke ,waziti mkuu mwanamke,spika mwanamke. ..mbna tutazutwa sanaaa na serekali ya wanawake
 
View attachment 2070492

Mchapa kazi, ana ushawishi mkubwa ndani ya CCM na nje ya CCM, amekuwa akifanyia kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa pale malalamiko yanapotokea kwenye wizara anazozisimamia, mtu wa kujituma nani mfuatiliaji yanayofanyika kwenye wizara yake kwa ukaribu zaidi(hana u-mangi meza!),
Sio mtu wa kujikweza na kadhalika.

Baadhi ya historia ya Ummy mwenye wizara alizoziongoza:
Wizara ya Afya - Zika.
Ummy Mwalimu sio bendera fuata upepo. Ni kiongozi anayejiamini na kusimamia anachokiamini lakini asiye jikweza. Lilipotokea swala la zika
na imeingia Tanzania. Ummy alitoa msimamo wa wizara yake na leo tunaona yale maamuzi aliyoyafanya ndio yaliyokuwa sahihi.

Wizaya ya Afya - Mapambano dhidi ya UVIKO19:
Ummy Mwalimu alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaotokana na virusi vya Corona, kwa jina la kitaalamu COVID -19. I
Ugonjwa huu uliingia nchini Tanzania tarehe 15 Machi 2020. Ummy aliitisha mkutano na waandishi wa habari nchini kwa weledi mkubwa kabisa alizungumza na taifa kwa lengo la kupunguz ataharuki na hofu kwa wananchi.
Ummy alizingatia weledi na kanuni za kukabiliana na majanga, jambo ambalo likiwawezesha Watanzania kuendelea kufanya kazi bila hofu.

TAMISEMI - Mkopo wa UVIKO 19.
Ummy amefanya kazi nzuri kwenye hii wizara kwa muda mfupi sana. Ameoneka akifanya kazi kila kukicha kuhakikisha agizo la raisi dhidi ya pesa za UVIKO 19 linatekelezwa. Amezunguka nchi nzima kuhakikisha ujenzi wa madarasa unafanyika kwa haraka na ufanisi mkubwa.


Vile vile, Ummy Mwalimu ana elimu nzuri ya darasani; UDSM L LB, Pretoria L LM na Oxford University
Sasa hv ni zamu ya Waziri Mkuu na Spika kutoka Zanzibar
 
Hii ndiyo ID yako Ummy?? Ka Ummy afaa basi Dorotea awe supika.
Hivi hii nafasi ya Waziri Mkuu siku hizi haiba yake imebadilishwa na Kassim??

Everyday is Saturday...............................😎
 
Back
Top Bottom