Ummy Mwalimu ana sifa na anastahili kuwa Waziri Mkuu!

Ummy Mwalimu ana sifa na anastahili kuwa Waziri Mkuu!

View attachment 2070492

Mchapa kazi, ana ushawishi mkubwa ndani ya CCM na nje ya CCM, amekuwa akifanyia kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa pale malalamiko yanapotokea kwenye wizara anazozisimamia, mtu wa kujituma nani mfuatiliaji yanayofanyika kwenye wizara yake kwa ukaribu zaidi(hana u-mangi meza!), Sio mtu wa kujikweza na kadhalika.

Baadhi ya historia ya Ummy mwenye wizara alizoziongoza:

Wizara ya Afya - Zika.
Ummy Mwalimu sio bendera fuata upepo. Ni kiongozi anayejiamini na kusimamia anachokiamini lakini asiye jikweza. Lilipotokea swala la zika
na imeingia Tanzania. Ummy alitoa msimamo wa wizara yake na leo tunaona yale maamuzi aliyoyafanya ndio yaliyokuwa sahihi.

Wizaya ya Afya - Mapambano dhidi ya UVIKO19:
Ummy Mwalimu alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaotokana na virusi vya Corona, kwa jina la kitaalamu COVID -19. Ugonjwa huu uliingia nchini Tanzania tarehe 15 Machi 2020. Ummy aliitisha mkutano na waandishi wa habari nchini kwa weledi mkubwa kabisa alizungumza na taifa kwa lengo la kupunguza taharuki na hofu kwa wananchi.

Ummy alizingatia weledi na kanuni za kukabiliana na majanga, jambo ambalo likiwawezesha Watanzania kuendelea kufanya kazi bila hofu.

TAMISEMI - Mkopo wa UVIKO 19.
Ummy amefanya kazi nzuri kwenye hii wizara kwa muda mfupi sana. Ameoneka akifanya kazi kila kukicha kuhakikisha agizo la raisi dhidi ya pesa za UVIKO 19 linatekelezwa. Amezunguka nchi nzima kuhakikisha ujenzi wa madarasa unafanyika kwa haraka na ufanisi mkubwa.

Vile vile, Ummy Mwalimu ana elimu nzuri ya darasani; UDSM L LB, Pretoria L LM na Oxford University
Wewe unaleta udigo hapa.
 
Ile wizara yake ya kwanza na hii ya sasa ukiteuliwa kule lazima uonekane unapga kazi hata kama n mvivu ,mfano Mzuri Jafo alikuwa kule yan ipiti wiki umeshamuona kwenye media bt tangu aondoke ktk Ile wizara nimeshamsahau hadi sura lakin kila lazma Ummy nimuone
 
Naona mleta bandiko umesahau kuweka nambari yako ya simu.
 
View attachment 2070492

Mchapa kazi, ana ushawishi mkubwa ndani ya CCM na nje ya CCM, amekuwa akifanyia kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa pale malalamiko yanapotokea kwenye wizara anazozisimamia, mtu wa kujituma nani mfuatiliaji yanayofanyika kwenye wizara yake kwa ukaribu zaidi(hana u-mangi meza!), Sio mtu wa kujikweza na kadhalika.

Baadhi ya historia ya Ummy mwenye wizara alizoziongoza:

Wizara ya Afya - Zika.
Ummy Mwalimu sio bendera fuata upepo. Ni kiongozi anayejiamini na kusimamia anachokiamini lakini asiye jikweza. Lilipotokea swala la zika
na imeingia Tanzania. Ummy alitoa msimamo wa wizara yake na leo tunaona yale maamuzi aliyoyafanya ndio yaliyokuwa sahihi.

Wizaya ya Afya - Mapambano dhidi ya UVIKO19:
Ummy Mwalimu alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaotokana na virusi vya Corona, kwa jina la kitaalamu COVID -19. Ugonjwa huu uliingia nchini Tanzania tarehe 15 Machi 2020. Ummy aliitisha mkutano na waandishi wa habari nchini kwa weledi mkubwa kabisa alizungumza na taifa kwa lengo la kupunguza taharuki na hofu kwa wananchi.

Ummy alizingatia weledi na kanuni za kukabiliana na majanga, jambo ambalo likiwawezesha Watanzania kuendelea kufanya kazi bila hofu.

TAMISEMI - Mkopo wa UVIKO 19.
Ummy amefanya kazi nzuri kwenye hii wizara kwa muda mfupi sana. Ameoneka akifanya kazi kila kukicha kuhakikisha agizo la raisi dhidi ya pesa za UVIKO 19 linatekelezwa. Amezunguka nchi nzima kuhakikisha ujenzi wa madarasa unafanyika kwa haraka na ufanisi mkubwa.

Vile vile, Ummy Mwalimu ana elimu nzuri ya darasani; UDSM L LB, Pretoria L LM na Oxford University
An elimu hiyo lkn bado hafai kuwa waziri mkuu
 
View attachment 2070492

Mchapa kazi, ana ushawishi mkubwa ndani ya CCM na nje ya CCM, amekuwa akifanyia kazi kwa haraka na ufanisi mkubwa pale malalamiko yanapotokea kwenye wizara anazozisimamia, mtu wa kujituma nani mfuatiliaji yanayofanyika kwenye wizara yake kwa ukaribu zaidi(hana u-mangi meza!), Sio mtu wa kujikweza na kadhalika.

Baadhi ya historia ya Ummy mwenye wizara alizoziongoza:

Wizara ya Afya - Zika.
Ummy Mwalimu sio bendera fuata upepo. Ni kiongozi anayejiamini na kusimamia anachokiamini lakini asiye jikweza. Lilipotokea swala la zika
na imeingia Tanzania. Ummy alitoa msimamo wa wizara yake na leo tunaona yale maamuzi aliyoyafanya ndio yaliyokuwa sahihi.

Wizaya ya Afya - Mapambano dhidi ya UVIKO19:
Ummy Mwalimu alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaotokana na virusi vya Corona, kwa jina la kitaalamu COVID -19. Ugonjwa huu uliingia nchini Tanzania tarehe 15 Machi 2020. Ummy aliitisha mkutano na waandishi wa habari nchini kwa weledi mkubwa kabisa alizungumza na taifa kwa lengo la kupunguza taharuki na hofu kwa wananchi.

Ummy alizingatia weledi na kanuni za kukabiliana na majanga, jambo ambalo likiwawezesha Watanzania kuendelea kufanya kazi bila hofu.

TAMISEMI - Mkopo wa UVIKO 19.
Ummy amefanya kazi nzuri kwenye hii wizara kwa muda mfupi sana. Ameoneka akifanya kazi kila kukicha kuhakikisha agizo la raisi dhidi ya pesa za UVIKO 19 linatekelezwa. Amezunguka nchi nzima kuhakikisha ujenzi wa madarasa unafanyika kwa haraka na ufanisi mkubwa.

Vile vile, Ummy Mwalimu ana elimu nzuri ya darasani; UDSM L LB, Pretoria L LM na Oxford University
Badobado sana
 
Ile wizara yake ya kwanza na hii ya sasa ukiteuliwa kule lazima uonekane unapga kazi hata kama n mvivu ,mfano Mzuri Jafo alikuwa kule yan ipiti wiki umeshamuona kwenye media bt tangu aondoke ktk Ile wizara nimeshamsahau hadi sura lakin kila lazma Ummy nimuone
Cha muhimu Ni results. Unaweza ukawepo hizo wizara na tusione results, ndio maana jafo kulimpwaya. Ninachompendea ummy Kila wizara anayokaa ana deliver kile kinahitajika kufanyika. Anastahili ni mchapakazi Sana na yuko humble, yuko speed na mfuatiliaji wa mambo.
 
Tamisemi tu imemshinda, amejijazia fedha za ufuatiliaji wizarani wakati huku LGAs hakuna kitu miradi imedorora, wamekazana na miradi ya uviko ameachana na ile ya maabara, zahanati imesimama
 
Huyu mama safi .,kule Tanga anaupiga mwingi sana pia
#sema hapo tutajaza wanawake kwenye nyanja zote sasa😂
 
Mpaka madarasa yetu ya mkopo yote yapate wanafunzi...yakiwa tupu naye nje!
 
Back
Top Bottom