Ummy Mwalimu na TAMISEMI kwanini makosa haya yanajirudiarudia au ni mradi wa watu?

Ummy Mwalimu na TAMISEMI kwanini makosa haya yanajirudiarudia au ni mradi wa watu?

Jerry94

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2016
Posts
334
Reaction score
545
Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Kumekuwa na makosa yanayojirudiarudia kila ajira zinapotangazwa. Ingawa kwasasa wamejitahidi sana kupunguza hilo, sijui ni mradi wa 'wakubwa' au ni makosa ya 'system'?.

Mosi, mtu mmoja kupata ajira mara mbili ndani ya miaka mitatu, katika sekta/kada ileile. Je, ni 'system' au mradi wa watu(wakubwa) kutengeneza ajira feki ili wajiripe mishahara hewa? Ebu tuangalie mfano huu.

Kuna mtu anaitwa 'Shafii Nassor Kibichi' mwenye namba ya utambulisho S0101-0409 aliajiriwa mwaka 2019 katika ajira mbadala za watu zaidi ya 4000. Aliajiriwa mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi katika shule ya sekondari Ghona. Alipangiwa kufundisha Physics na Chemistry. Lakini cha ajabu mtu huyohuyo amekuja kupata tena ajira mwaka huu akipangiwa Kigoma kwa masomo yaleyale kilichobafilika ni mpangilio yaani huku imeanza Chemistry na kufuatiwa na Physics. Nime'kopi' na ku'pesti' hapa chini uthibitisho huo.
'3986 SHAFII NASSOR KIBICHI S0101-0409/2012 M PHYSICS CHEMISTRY KILIMANJARO MOSHI GHONA SHAHADA SEKONDARI' hii ni ya 2019.
'
5952 SHAFII NASSOR KIBICHI M S0101-0409/2012 CHEMISTRY, PHYSICS KIGOMA KIGOMA DC MKABOGO SECONDARY 2019 Bachelor Degree Education (Science) Secondary'

Pili, Jina moja kutokea zaidi ya mara moja. Kuna muajiriwa anaitwa Christina Edward Luhunga ametokea mara mbili kwenye mkoa mmoja na wilaya moja isipokuwa shule kunautofauti Kama inavyooneka hapo chini
'4115 CHRISTINA EDWARD LUHUNGA F S2324-0013/2010 BIOLOGY, CHEMISTRY KIGOMA KASULU DC MAYONGA SECONDARY 2016 Bachelor Degree Education (Science) Secondary
4116 CHRISTINA EDWARD LUHUNGA F S2324-0014/2010 BIOLOGY, CHEMISTRY KIGOMA KASULU DC NYAKITONTO SECONDARY 2016 Bachelor Degree Education (Science) Secondary'

Kama hapo juu mnavyoona kiuhalisia Kuna shule mbili zitakosa walimu hao, kwasababu walimu hawa hawatoweza kuhudumu zaidi ya kituo kimoja.
Sasa hapo sijui ni uzembe wa nani 'system'au watendaji.
Pamoja na pongezi zinaendelea kutolewa tukumbuke watoto hawa wamekosa walimu kwa uzembe huu. Sasa sijui watapeleka walimu wapya au Itakuwaje.
Kwa wachambuzi mnaweza kuendelea kutambua makosa na kusaidia kurekebisha!
Wanasema #kaziiendeleee
 
Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Kumekuwa na makosa yanayojirudiarudia kila ajira zinapotangazwa. Ingawa kwasasa wamejitahidi sana kupunguza hilo, sijui ni mradi wa 'wakubwa' au ni makosa ya 'system'?.
Mosi, mtu mmoja kupata ajira mara mbili ndani ya miaka mitatu, katika sekta/kada ileile. Je, ni 'system' au mradi wa watu(wakubwa) kutengeneza ajira feki ili wajiripe mishahara hewa? Ebu tuangalie mfano huu.
Kuna mtu anaitwa 'Shafii Nassor Kibichi' mwenye namba ya utambulisho S0101-0409 aliajiriwa mwaka 2019 katika ajira mbadala za watu zaidi ya 4000. Aliajiriwa mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi katika shule ya sekondari Ghona. Alipangiwa kufundisha Physics na Chemistry. Lakini cha ajabu mtu huyohuyo amekuja kupata tena ajira mwaka huu akipangiwa Kigoma kwa masomo yaleyale kilichobafilika ni mpangilio yaani huku imeanza Chemistry na kufuatiwa na Physics. Nime'kopi' na ku'pesti' hapa chini uthibitisho huo.
'3986 SHAFII NASSOR KIBICHI S0101-0409/2012 M PHYSICS CHEMISTRY KILIMANJARO MOSHI GHONA SHAHADA SEKONDARI' hii ni ya 2019.
'
5952 SHAFII NASSOR KIBICHI M S0101-0409/2012 CHEMISTRY, PHYSICS KIGOMA KIGOMA DC MKABOGO SECONDARY 2019 Bachelor Degree Education (Science) Secondary'
Hili linatokea kwa wale ambao huwa wanaajiriwa halafu hawaripoti. Baadaye wanaomba tena.

Kuna jamaa mwaka jana aliomba akapangwa Kigoma hakuripoti. Mwaka huu kaomba tena na amepangiwa Kilimanjaro.

Masomo yanambeba.
Pili, Jina moja kutokea zaidi ya mara moja. Kuna muajiriwa anaitwa Christina Edward Luhunga ametokea mara mbili kwenye mkoa mmoja na wilaya moja isipokuwa shule kunautofauti Kama inavyooneka hapo chini
'4115 CHRISTINA EDWARD LUHUNGA F S2324-0013/2010 BIOLOGY, CHEMISTRY KIGOMA KASULU DC MAYONGA SECONDARY 2016 Bachelor Degree Education (Science) Secondary
4116 CHRISTINA EDWARD LUHUNGA F S2324-0014/2010 BIOLOGY, CHEMISTRY KIGOMA KASULU DC NYAKITONTO SECONDARY 2016 Bachelor Degree Education (Science) Secondary'
Mbona kama namba zinatofautiana.
 
Hili linatokea kwa wale ambao huwa wanaajiriwa halafu hawaripoti. Baadaye wanaomba tena.

Kuna jamaa mwaka jana aliomba akapangwa Kigoma hakuripoti. Mwaka huu kaomba tena na amepangiwa Kilimanjaro.

Masomo yanambeba.

Mbona kama namba zinatofautiana.
Watakuwa mapacha
 
Hili linatokea kwa wale ambao huwa wanaajiriwa halafu hawaripoti. Baadaye wanaomba tena.

Kuna jamaa mwaka jana aliomba akapangwa Kigoma hakuripoti. Mwaka huu kaomba tena na amepangiwa Kilimanjaro.

Masomo yanambeba.

Mbona kama namba zinatofautiana.
Huyu mtu namfahamu na amehitimu 2018 na SI 2019 Kama ilivyoandikwa. Kuhusu kutoripoti na muajiriwa tena hata Kama masomo yanakubeba namna gani bado kunawahitimu wengi wenye masomo husika na hawajaajiriwa. Wewe unaona ni sawa hiyo?
 
Hili linatokea kwa wale ambao huwa wanaajiriwa halafu hawaripoti. Baadaye wanaomba tena.

Kuna jamaa mwaka jana aliomba akapangwa Kigoma hakuripoti. Mwaka huu kaomba tena na amepangiwa Kilimanjaro.

Masomo yanambeba.

Mbona kama namba zinatofautiana.
Nashangaaa
 
Huyu mtu namfahamu na amehitimu 2018 na SI 2019 Kama ilivyoandikwa. Kuhusu kutoripoti na muajiriwa tena hata Kama masomo yanakubeba namna gani bado kunawahitimu wengi wenye masomo husika na hawajaajiriwa. Wewe unaona ni sawa hiyo?
Sijakuelewa.

Kwani wakiwa wanaajiriwa wanapitia waliowahi kuajiriwa halafu hawakwenda?
 
Oyaa, mimi siko Tamisemi maana naona kama unataka kumalizia hasira kwangu.

Sasa angekuwa kaenda angepangwa vipi tena kituo cha kazi.
Basi kausha mzee usiassume kitu usichokijua.
Halafu mimi Sina hasira lengo ni kujenga na wala si muathirika wa ukosefu wa ajira. Soma uzi wangu vizuri utaelewa nini nilimaanisha.
Nafikiri tupo sawa?
 
Basi kausha mzee usiassume kitu usichokijua.
Halafu mimi Sina hasira lengo ni kujenga na wala si muathirika wa ukosefu wa ajira. Soma uzi wangu vizuri utaelewa nini nilimaanisha.
Nafikiri tupo sawa?
Takataka
 
Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Kumekuwa na makosa yanayojirudiarudia kila ajira zinapotangazwa. Ingawa kwasasa wamejitahidi sana kupunguza hilo, sijui ni mradi wa 'wakubwa' au ni makosa ya 'system'?.
Mosi, mtu mmoja kupata ajira mara mbili ndani ya miaka mitatu, katika sekta/kada ileile. Je, ni 'system' au mradi wa watu(wakubwa) kutengeneza ajira feki ili wajiripe mishahara hewa? Ebu tuangalie mfano huu.
Kuna mtu anaitwa 'Shafii Nassor Kibichi' mwenye namba ya utambulisho S0101-0409 aliajiriwa mwaka 2019 katika ajira mbadala za watu zaidi ya 4000. Aliajiriwa mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Moshi katika shule ya sekondari Ghona. Alipangiwa kufundisha Physics na Chemistry. Lakini cha ajabu mtu huyohuyo amekuja kupata tena ajira mwaka huu akipangiwa Kigoma kwa masomo yaleyale kilichobafilika ni mpangilio yaani huku imeanza Chemistry na kufuatiwa na Physics. Nime'kopi' na ku'pesti' hapa chini uthibitisho huo.
'3986 SHAFII NASSOR KIBICHI S0101-0409/2012 M PHYSICS CHEMISTRY KILIMANJARO MOSHI GHONA SHAHADA SEKONDARI' hii ni ya 2019.
'
5952 SHAFII NASSOR KIBICHI M S0101-0409/2012 CHEMISTRY, PHYSICS KIGOMA KIGOMA DC MKABOGO SECONDARY 2019 Bachelor Degree Education (Science) Secondary'

Pili, Jina moja kutokea zaidi ya mara moja. Kuna muajiriwa anaitwa Christina Edward Luhunga ametokea mara mbili kwenye mkoa mmoja na wilaya moja isipokuwa shule kunautofauti Kama inavyooneka hapo chini
'4115 CHRISTINA EDWARD LUHUNGA F S2324-0013/2010 BIOLOGY, CHEMISTRY KIGOMA KASULU DC MAYONGA SECONDARY 2016 Bachelor Degree Education (Science) Secondary
4116 CHRISTINA EDWARD LUHUNGA F S2324-0014/2010 BIOLOGY, CHEMISTRY KIGOMA KASULU DC NYAKITONTO SECONDARY 2016 Bachelor Degree Education (Science) Secondary'

Kama hapo juu mnavyoona kiuhalisia Kuna shule mbili zitakosa walimu hao, kwasababu walimu hawa hawatoweza kuhudumu zaidi ya kituo kimoja.
Sasa hapo sijui ni uzembe wa nani 'system'au watendaji.
Pamoja na pongezi zinaendelea kutolewa tukumbuke watoto hawa wamekosa walimu kwa uzembe huu. Sasa sijui watapeleka walimu wapya au Itakuwaje.
Kwa wachambuzi mnaweza kuendelea kutambua makosa na kusaidia kurekebisha!
Wanasema #kaziiendeleee
Case 2 ziko hivi.
1-jamaa licha ya kuajiriwa,aliweka ajira yake kifichoni,hata nduguzake waliamini bado hajaajiriwa,na ndipo mjoomba wake wa bunju akaamua kumsaidia koneksheni.Hivi nnavyozungumza mjombaake shafii ameghafilika na watakuwa na kikao cha familia siku ya kesho.Nitawapa update kwalolote atakaloamua mjomba

2-hii ya dada Chistina iko ivi,Alikuwa anajitolea Mayonga sec,ila ilipokuja kujaza shule ya kufundisha kama tangazo lilivyoagiza,alichagua Nyakitonto.walimu wa Mayonga waliweka jina lake la kwanza kwa watu wanaojitolea,kiukweli mchapishaji alichoka sana maana alitoka kwenye sguhuri ya dadayake so hakuakiki majina vizuri.nitawafahamisha ngojeni nimeitwa maramoja
 
Case 2 ziko hivi.
1-jamaa licha ya kuajiriwa,aliweka ajira yake kifichoni,hata nduguzake waliamini bado hajaajiriwa,na ndipo mjoomba wake wa bunju akaamua kumsaidia koneksheni.Hivi nnavyozungumza mjombaake shafii ameghafilika na watakuwa na kikao cha familia siku ya kesho.Nitawapa update kwalolote atakaloamua mjomba

2-hii ya dada Chistina iko ivi,Alikuwa anajitolea Mayonga sec,ila ilipokuja kujaza shule ya kufundisha kama tangazo lilivyoagiza,alichagua Nyakitonto.walimu wa Mayonga waliweka jina lake la kwanza kwa watu wanaojitolea,kiukweli mchapishaji alichoka sana maana alitoka kwenye sguhuri ya dadayake so hakuakiki majina vizuri.nitawafahamisha ngojeni nimeitwa maramoja
Mkuu kwa case ya Shafii sikulijua hilo. Kama nilivyoshauri watoto wasikose walimu kwa makosa ya wengne.
Case ya huyo dada nafikiri ni system tu ilishindwa kutambua. Lakini yote kwa yote watoto wasikose walimu wa masomo husika kwa uzembe wowote ule
 
Back
Top Bottom