Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 515
- 1,015
Habari wana JF.
Katika makosa waliofanya wananchi wa tanga mjini mwaka 2015 n kumpa ubunge mtu ambae haguswi ata na kero za wananchi wake, kumekuwa na mbunge jina tuu, mbunge anashindwa ata kuchangia hoja za msingi bungeni kwa maslah ya wananchi wake, leo hii ni aibu unaweza kuta mkazi wa tanga mjini lakini hamjui ata jina mbunge wake... Wana tanga tumekuwa nyuma zaidi kimaendeleo miaka 5 mfululizo.
Wana Tanga sasa imetosha ni wakati wa kutofanya makosa tena 2020, tunataka mtu atakaeguswa na changamoto za wananchi wake, tunataka mtu shupavu, mwajibikaji, mwenye roho ya huruma, mwenye weledi wa hali ya juu haya yote anayo dada etu UMMY MWALIMU.
Katika ubunge tu wa viti maalum alokuwa nao keshafanya mambo makubwa kutoa sapoti kubwa katik timu yetu ya coastal union, kutoa vifaa mbalimbal ikiwemo kompyuta kwa wakuu wa shule, kufadhili wadada waliofeli wasome tena QT, ni mtu anaeguswa na changamoto mbalimbali za kijamiii na kiuchumi., ni miongoni mwa kiongoz aliekaa kwenye wizara bila kutumbuliwa kutokana na uadilifu wake na uwajibikaji.
2020 ni wakati sasa wa kumpa rasmi jimbo la tanga mjini mana ana uthubutu na hari ya kuwaletea maendeleo wana Tanga Mjini, huu sio wakati wa kupepesa macho lazma tupate mtu sahiihi kwa mustakabali wa wananchi wa tanga mjini.
Sisi wananchi tuko tayar ata kumchukulia fomu kwa gharama yoyote ile.
#UmyyIsOurNextMP#TangaMjiniNaUmmy #2020HatufanyiMakosaTena#UmmyAnatutoshaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika makosa waliofanya wananchi wa tanga mjini mwaka 2015 n kumpa ubunge mtu ambae haguswi ata na kero za wananchi wake, kumekuwa na mbunge jina tuu, mbunge anashindwa ata kuchangia hoja za msingi bungeni kwa maslah ya wananchi wake, leo hii ni aibu unaweza kuta mkazi wa tanga mjini lakini hamjui ata jina mbunge wake... Wana tanga tumekuwa nyuma zaidi kimaendeleo miaka 5 mfululizo.
Wana Tanga sasa imetosha ni wakati wa kutofanya makosa tena 2020, tunataka mtu atakaeguswa na changamoto za wananchi wake, tunataka mtu shupavu, mwajibikaji, mwenye roho ya huruma, mwenye weledi wa hali ya juu haya yote anayo dada etu UMMY MWALIMU.
Katika ubunge tu wa viti maalum alokuwa nao keshafanya mambo makubwa kutoa sapoti kubwa katik timu yetu ya coastal union, kutoa vifaa mbalimbal ikiwemo kompyuta kwa wakuu wa shule, kufadhili wadada waliofeli wasome tena QT, ni mtu anaeguswa na changamoto mbalimbali za kijamiii na kiuchumi., ni miongoni mwa kiongoz aliekaa kwenye wizara bila kutumbuliwa kutokana na uadilifu wake na uwajibikaji.
2020 ni wakati sasa wa kumpa rasmi jimbo la tanga mjini mana ana uthubutu na hari ya kuwaletea maendeleo wana Tanga Mjini, huu sio wakati wa kupepesa macho lazma tupate mtu sahiihi kwa mustakabali wa wananchi wa tanga mjini.
Sisi wananchi tuko tayar ata kumchukulia fomu kwa gharama yoyote ile.
#UmyyIsOurNextMP#TangaMjiniNaUmmy #2020HatufanyiMakosaTena#UmmyAnatutoshaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app