Ummy Mwalimu: Ruksa Madaktari kutumia hospitali za Serikali kama private clinic baada ya muda wa kazi

Hao madaktari wengi wana clinics zao kwenye hospital binafsi baada ya muda wa kazi.

Kuna mgongano mkubwa kuwaruhusu kutumia ofisi hizohizo kutoa huduma binafsi.

Ngoja tuone!
 
Alafu mnawakataza walimu kitumia madalasa ya serikali kitumia kwa muda wa ziada!
 
Hawa Viongozi kutoka ukanda wa pwani ya bahari wanashida gani vichwani mwao? Ajabu sana
 
Ndiyo utajua tofauti ya ummy kama waziri na Dr gwajima kama katibu na wizara yao ya afya na wizara ya ummy kama waziri.
 
Kwa jambo hili SERIKALI yangu haijatafakari kwa kina. Kuna tatizo sana hasa swala la Uzalendo.

Hela imewekwa mbele sana hapa ndio patakua kichaka cha kuwalazimisha wahitaji kulazimika kumuona Dkt private badala ya SAA za kazi.

SERIKALI uenda ikawa na nia nzuri lakini wale wanaotoa huduma wana Uzalendo?

Mfanotu unaandikiwa Dawa unaelekezwa ukanunue pharmacy...... Kwa sababu duka la MSD hawana hizo Dawa hapo ndipo mwenye Akili Ujiongeze.
 
SO kwa SASA Madakatari nao wanaanza kufungua TUITION ZA KITABIBU HOSPITALINI.

Kama hamuwezi kuwalipa,Ingieni na Mkataba wa Kitaalam kama Specialists Muwaache waajiriwe na Sketa Binafsi.
 
Duuh aiseee nimecheka hadi nimeogopa aiseee ! Hivi huyu anafikiri kweli kweli?
 
Alaa kumbee eh sasa na mimi nitatumia madarasa ya shule kufanyia tuition baada ya muda wa kufundisha kwisha.
 
Makosa tayari,wagonjwa wangu ntawambia wanione jioni kwa gharama nafuu,waachane na foleni
Hivi mama umewaza vyema,umetafakari kabla ya kutoa kauli hii?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo Ummy umeruhusu Tuition hospitalini siyo, basi na sisi waalimu wa shule za msingi na Sekondari mturuhusu tutumie majengo ya shule kufundishia tuisheni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…