Ummy Mwalimu: Ruksa Madaktari kutumia hospitali za Serikali kama private clinic baada ya muda wa kazi

Samia nchi imeshamshinda yaani huyu Mama katupeleka kusikojulikana
 
Na sisi walimu tutaanza kutumia shule za serikali kama private schools baada ya muda wa kazi. Daktari na wagonjwa wake mwalimu na wanafunzi wake.
Si mnatumiaga madarasa baada ya muda wa kazi kufundishia tution
 
Daktari anafanya saa 8 kwa siku, kwa wiki saa 40! Badala ya kwenda kijiweni baada ya saa tisa na nusu, kuna ubaya gani akianza kula vichwa hapo hospitalini?
 
Kwaleo
Ndonimegundua kwann ,aliibaga vile vitu maduka yamlimacity enzi anasoma chuo
 
Hizi HOJA uchwara, kamwe hazitatutoa kwenye mjadala muhimu juu ya nchi yetu unaohusu bandari.
 
Hawana mantiki na hii pia haina mantiki kwakuwa daktari hayupo mmoja kwenye hospitali labda vituo vya afya na zahanati. Akitoka huyu anaingia huyu, hakukosekagi daktari. Pili, kumuachia daktari aendeshe shughuli za private kwenye hospitali ya umma unaiingizia hasara serikari maana vifaa na dawa utakazotumia ni za hospitali sio za kwako. Private hospital zinaendeshwa kwa mlengo wa biashara ila sio za serikari, ukianza kuintroduce concept ya biashara kwenye serikari basi serikari iikatae katiba yake. Ila la kuwataka wabaki sijui extra time ni concept ya human resorces hivyo ni upuuzi wao wa kutoajiri madaktari wakutosha, wanaajiri halafu wakishawaweka vituoni wanawasahau kabisa hivyo watumishi wengi huendelea na mishe zao za kuongeza pesa maana hata pesa ya kujikimu kwa hawa wapya umesikia wengine hawajapewa. Mishahara kuwaongezea hamtaki, solution ndio mkaamua kuidefy katiba kabisa. Hii serikari ya ajabu balaa. Wanaspend millions kwa mwanasiasa ila sio wataalamu. Yaani alichokifanya haipo justifiable hata kidogo. Kwaujumla, hii ni serikari ya wazembe kuwahi tokea.
 
Hapo inatofauti gani na kuiendesha hospitali kwa 24hrs isipokuwa jioni umeamua kufanya biashara. Kumbuka serikari haifanyi biashara. Pia private hospital ni pure business. Pia jua, hospitali kuanzia ngazi ya kituo cha afya mpaka juu zinaoperate 24hrs, sio 12hrs. Huwezi kuigeuza usiku kuwa biashara, ni makosa. Pia, mgonjwa kupata consultation tu usiku ni uamuzi wake ila hamna mgonjwa mwenye emergence au urging condition asiyehudumiwa usiku au jioni, laasivyo more than that it can wait, hufi. Acheni siasa!
 
Huu usengeh wa hali ya juu sana! Nchi imevaa dera sasa hivi.
 
Aliyeleta Mada ndio kaleta mvurugano.

Nilivyoelewa ni kwamba Madaktari wamepewa ruhusa kufanya Part time jobs ktk hospitali binafsi. Na sio kutumia hospital za umma kugeuza binafsi baada ya masaa ya kazi.
 
Uwwwwiiii.....🙆‍♂️
Tumekwisha.....😭

Yaani ameamua kuwapa rungu kabisa...... ili waanze kufanya ucheleweshaji wa makusudi ili wajipatie kipato cha lazima baada ya muda wa kazi....🤔
Hili ni pigo kwenye sector ya afya, Sasa tutegemee wagonjwa kucheleweshwa makusudikally ili madokta na wauguzi wajipigie hela zao binafsi. Mtanzania akipewa nafasi anajua kuitumia effectively kwaajili ya kujineemesha. Tusubiri tuone
 
Haya ndio matatizo ya kuwa na viongizi wamama.. hawapendi shida, shortcut kila kitu..
 
Uamuzi mbovu wenye unintended consequences nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…