Ummy Mwalimu: Tozo ya uzalendo ni ubunifu, tunajenga barabara vijijini

Una bahati sitaki tu ban
 
Hayo ma v8 ni mzigo na hayana tija zaidi ya kutafunia kodi zetu na kupelekea watoto wao international school
 
Kweli kuna haja gani kuwa na ikulu mbili? Mama asubuhi yupo Dodoma jioni anakwea pipa kurudi Dar kwa mumewe. Ndani ya wiki akizunguka mara 5 ni mabilioni mangapi yanapotea. Hapo bado hujaweka mizunguko ya VP, PM na Mawaziri na wasaidizi wao. Wanatuua hawa.
 
Hayo maendeleo tuyasubirie miaka mingapi aseeeee?
 
Tangu ccm iyanze kutawala kodi walikua hawatozi??

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Yani hawa viongozi wetu hawa 🤣🤣🤨.. ....Tumewa-empower kiasi cha kwamb anakua na guts ya kutoka na kutoa kauli kama hii ya kukuongezea maumivu...naomba wakuu wa JF siku nyingine mambo kama haya yakitokea tuweke kwanza utaifa tuachane na vitu vidogo vidogo,hili suala halikupigiwa sana kelele humu kuliko lile la mabando... We engage in polemics zinazohusu vitu vya kupita pita na often zinaishia kua mada za pro/against mtu yule.watu tumekua very reactive baadala ya kua proactive. Nasikitika sababu kuna wenye akili kunizidi mm walinivutia Sana JF siku za nyuma ,siku hizi wamekua watu wa chuki tu,they offer no insights at all.
 
Si kila anayehoji ni chadema. Ni muhimu haya maoni kwa ajili ya tafakuri.
Hizi tozo zikizidi ni sawa na kumkamua ng'ombe maziwa mengi hata kama ndama atadhoofika ili mradi unataka uuze upate pesa uwajengee kibanda kizuri.

Mama na ndama watadhoofika na maziwa hayatatosha na pesa haitazidi na kibanda hakitajengwa.
 
Kodi ya uzalendo kwa Sheria ipi?

Huu ni uporaji Kama uporaji mwingine ule

Hao wezi siku zao hazitatimia 40
 
Inaonyesha roads za village hazikuwa na fungi lake Kama hizi za mjini so walikuwa wanazibagua ama ni nini
 
Hivi hata haya maoni yanayotolewa kwenye mitandao wanayaona kweli??
 
Uzalendo uanze na yeye wabunge wakatwe Kodi.
 
Barabara ya Mombasa, moshi bar,kwa mkolemba, kanyigo mwembeni, fremu kumi hadi njia pandaya msongola ni kero ya muda mrefu. Vyombo vya usafiri wa moto bajaji, pikipiki na magari vinapata changamoto kwa hii njia mbovu sana! Sijui kama Jerry (mb)ameikumbuka hii njia katika 1.5 bilioni ambazomama yetu amesikia kilio chetu.

Uzuri siku hizi tunafatilia maana siku hizi tunasikiliza na kuweka kumbukumbu na mama amejipambanua vizuri kuwa fedha hizi zielekezwe kwenye kufanya matengenezo ya njia za vijijini/mtaani.
 
kwa hiyo unapenda vya buree eeehh!!!
unataka usadiwe na mataifa ya ulaya eeeh!!!
kumbuka pia misaada tunayo ipata kutoka nchi za ulaya ni KODI ZA WANANCHI WA MAREKANI, UGERUMANI, DENMARK, NEWZELAND, FRANCE, CHINA, UINGEREZA N.K, wananchi wazalendo wa nchi hizo wanatozwa kodi ambazo zingine ndio tunapewa ss misaada na wakati mwengine tunakopeshwa.
acheni kuwa walemavu wa akili lipeni kodi ili itusaidie maendeleo yetu.
Taifa imara itajengwa na sisi watanzania wenyewe kwa kulipa kodi sio kutegemea misaada au mikopo.
 
kwa hiyo unapenda vya buree eeehh!!!
unataka usadiwe na mataifa ya ulaya eeeh!!!
kumbuka pia misaada tunayo ipata kutoka nchi za ulaya ni KODI ZA WANANCHI WA MAREKANI, UGERUMANI, DENMARK, NEWZELAND, FRANCE, CHINA, UINGEREZA N.K, wananchi wazalendo wa nchi hizo wanatozwa kodi ambazo zingine ndio tunapewa ss misaada na wakati mwengine tunakopeshwa.
acheni kuwa walemavu wa akili lipeni kodi ili itusaidie maendeleo yetu.
Taifa imara itajengwa na sisi watanzania wenyewe kwa kulipa kodi sio kutegemea misaada au mikopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…