Ummy nilikuona una focus lakini kwa haya maneno yako naanza kukuogopa huenda si wewe niliyekupa creditHayo yamesemwa na waziri wa Nchi Ofisi Rais Tamisemi (OR-TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu (Mb) wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Santa Maria - Kabage yenye urefu wa kilomita 16 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tnganyika Mkoani Katavi.
Hawachukuliani hatua kwakuwa ni syndicateKila siku CAG anaibua madudu yao.
Yaani hapo watapandishiana mpka posho zaoCool!!
Waache sasa upumbavu wa kuzunguka kutwa kucha Dodoma-dar Dodoma-dar wanachoma mafuta ya kodi za uzalendo
Kama budget 75% ingekuwa inatumika kwenye maendeleo Mimi sioni tatizo la kulipa kodi
Ila tatizo wanatumia pesa kufanya anasa sana hawa mawaziri na Rais wao.
Huyo mgosi shida nae ni tarumbeta kma domo lakeHii nchi haina uongozi aiseee
Tumepigwa
Mama anaupiga mwingii
=====
Tozo mpya iliyoanzishwa na Serikali ya Awamu ya Sita kupitia mitandao ya simu na mafuta katika vyombo vya usafiri, zinaenda kuwanufaisha wananchi wa vijijini kwa kufungua mtandao wa barabara vijijini.
Hayo yamesemwa na waziri wa Nchi Ofisi Rais Tamisemi (OR-TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu (Mb) wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Santa Maria - Kabage yenye urefu wa kilomita 16 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tnganyika Mkoani Katavi.
“Nadhani Mlitusikia Mimi na Waziri wa Fedha kuwa ni jinsi gani fedha hizi za tozo ya mitandao ya simu na mafuta zinaenda kufungua barabara vijijini. Mmemsikia Mbunge wenu kuwa hii barabara haikuwa inapitika kutoka kijiji cha Santa Maria hadi Kijiji cha Kabage ambako ni muhimu kwa uzalishaji mkubwa wa chakula hasa maza ya mpunga, lakini sasa imefunguka, “alisema Ummy.
Alieleza kuwa Serikali iliamua kufanya ubunifu baada ya kujuliza ni jinsi gani wataboresha barabara za vijijini, hivyo kubuni chanzo hicho cha tozo za simu na mafuta ambacho sasa kinaleta matokeo chanya yanayoonekana.
“Mmemsikia meneja wa Tarura Tanganyika kwamba alikuwa na bajeti ya shilingi milioni 150 tu kwa wilaya nzima ya Tanganyika, lakini sasa kwa sababu ya tozo hii mpya,bajeti yake ya maendeleo ya ujenzi wa barabara inaenda kuongezeka mpaka shilingi bilioni moja na milioni mia tano (1.5 bilioni), “alisema Ummy.
Alisema kuwa kama milioni 150 zimeweza kujenga Km 16 za barabara ni wazi kwa bilioni 1.5 zitaenda kufungua barabara nyingi sana vijijini na kuondoa kero ya muda mrefu kwa wananchi.
Aliwataka watanzania kuendelea kuchangia tozo hiyo ambayo inaenda kuleta ukombozi mkubwa vijijini.
Chanzo: Clouds TV
we jamaa nadhani kichwani kuna funza howcomes Chadema wamepinga wakati swala ili linaumiza kila mtu kuanzia mwenye kipato cha chini mpaka cha juuu wakati mwingine ni bora utoe mawazo yako bila kuweka bias ya chamaTatizo Chadema sikuzote hawapendi kuona maendeleo ya Watanzania yanatekelezeka!
Yaaani wao wanapenda kuona watanzania wanakosa madawa hospitalini, wanakosa barabara, wanakosa elimu n.k, Watanzania wanajiuliza nia ya Chadema ni nn haswa?
Kwanini wanapinga watanzania kuchangia maendeleo yao?
Kuna zile Suzuki Jimny new model za halmashauri zile wangenunuliwa Wabunge wote watumie zile kwanza ni 4x4 halafu imara sana zingewafaa sana wazalendo wenzetu wa Mjengoni!😅Punguzeni Mishahara na Punguzeni Safari na Magari ya ANASA ACHENI KUWAUMIZA WANANCHI KWA KODI ZA AJABU
Halafu ni uzalendo kwa wenye simu tu? Rubbish statement ever.Pumbavu kabisa kwanini huo ubunifu usianzie bungeni kwenye marupurupu yao Kisha uende kwenye Baraza la mawaziri...
Wanasiasa Wengi wa ki Afrika wana upungufu wa Akili kichwani.
Ubunifu ni kuumiza wananchi kwa tozo kubwa? Ngoja na sisi tuwe na tozo ya ubunifu 2025.Hii nchi haina uongozi aiseee
Tumepigwa
Mama anaupiga mwingii
=====
Tozo mpya iliyoanzishwa na Serikali ya Awamu ya Sita kupitia mitandao ya simu na mafuta katika vyombo vya usafiri, zinaenda kuwanufaisha wananchi wa vijijini kwa kufungua mtandao wa barabara vijijini.
Hayo yamesemwa na waziri wa Nchi Ofisi Rais Tamisemi (OR-TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu (Mb) wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Santa Maria - Kabage yenye urefu wa kilomita 16 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tnganyika Mkoani Katavi.
“Nadhani Mlitusikia Mimi na Waziri wa Fedha kuwa ni jinsi gani fedha hizi za tozo ya mitandao ya simu na mafuta zinaenda kufungua barabara vijijini. Mmemsikia Mbunge wenu kuwa hii barabara haikuwa inapitika kutoka kijiji cha Santa Maria hadi Kijiji cha Kabage ambako ni muhimu kwa uzalishaji mkubwa wa chakula hasa maza ya mpunga, lakini sasa imefunguka, “alisema Ummy.
Alieleza kuwa Serikali iliamua kufanya ubunifu baada ya kujuliza ni jinsi gani wataboresha barabara za vijijini, hivyo kubuni chanzo hicho cha tozo za simu na mafuta ambacho sasa kinaleta matokeo chanya yanayoonekana.
“Mmemsikia meneja wa Tarura Tanganyika kwamba alikuwa na bajeti ya shilingi milioni 150 tu kwa wilaya nzima ya Tanganyika, lakini sasa kwa sababu ya tozo hii mpya,bajeti yake ya maendeleo ya ujenzi wa barabara inaenda kuongezeka mpaka shilingi bilioni moja na milioni mia tano (1.5 bilioni), “alisema Ummy.
Alisema kuwa kama milioni 150 zimeweza kujenga Km 16 za barabara ni wazi kwa bilioni 1.5 zitaenda kufungua barabara nyingi sana vijijini na kuondoa kero ya muda mrefu kwa wananchi.
Aliwataka watanzania kuendelea kuchangia tozo hiyo ambayo inaenda kuleta ukombozi mkubwa vijijini.
Chanzo: Clouds TNT
Tatizo Chadema sikuzote hawapendi kuona maendeleo ya Watanzania yanatekelezeka!
Yaaani wao wanapenda kuona watanzania wanakosa madawa hospitalini, wanakosa barabara, wanakosa elimu n.k, Watanzania wanajiuliza nia ya Chadema ni nn haswa?
Kwanini wanapinga watanzania kuchangia maendeleo yao?
Inawezekana ukawa na hoja nzuri, lakini ni kukumbushe tu kuwa kodi hii ni tozo la kufanya miamala ya tukutuma pesa kwa njia ya simu, so Ulazima wa kulipa inategemea na utumiaji wa huduma hiyo.....kuna watakao amua kuacha kutumia huduma hizo...Pia kuna watakao amua kupunguza uwezo wao wa ku recharge vifurushi kwenye simu zao, mfano mtu alikuwa ana recharge 5000 kwa siku anaweza kurudi kwenye buku kwa siku ili akatwe tshs 5 tu.....hapo inaweza ikawa imekula kwetu!kodi hii lazima tuilipe
Sikiliza hoja zao acha mihemko ya kichama wewe, hakuna mpinzan ambae anapinga maendeleo. Hua wanahoja zao jinsi gan ya kufanya jambo fulaniTatizo Chadema sikuzote hawapendi kuona maendeleo ya Watanzania yanatekelezeka!
Yaaani wao wanapenda kuona watanzania wanakosa madawa hospitalini, wanakosa barabara, wanakosa elimu n.k, Watanzania wanajiuliza nia ya Chadema ni nn haswa?
Kwanini wanapinga watanzania kuchangia maendeleo yao?
Utaenda kununulia wapinzani uleWasitufanye wajinga, ule mkopo wa juzi world Bank si ulikua ni pamoja ya kujenga barabara vijijin hii tozo inahusika vipi tenaaa.
Na wao kama wabunge wachangie 10% ya mishahara yao kama kuonyesha uzalendo na kuunga mkono juhudi za kutengenezwa barabara za vijijini kwa wapiga kura wao.Hii nchi haina uongozi aiseee
Tumepigwa
Mama anaupiga mwingii
=====
Tozo mpya iliyoanzishwa na Serikali ya Awamu ya Sita kupitia mitandao ya simu na mafuta katika vyombo vya usafiri, zinaenda kuwanufaisha wananchi wa vijijini kwa kufungua mtandao wa barabara vijijini.
Hayo yamesemwa na waziri wa Nchi Ofisi Rais Tamisemi (OR-TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu (Mb) wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Santa Maria - Kabage yenye urefu wa kilomita 16 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tnganyika Mkoani Katavi.
“Nadhani Mlitusikia Mimi na Waziri wa Fedha kuwa ni jinsi gani fedha hizi za tozo ya mitandao ya simu na mafuta zinaenda kufungua barabara vijijini. Mmemsikia Mbunge wenu kuwa hii barabara haikuwa inapitika kutoka kijiji cha Santa Maria hadi Kijiji cha Kabage ambako ni muhimu kwa uzalishaji mkubwa wa chakula hasa maza ya mpunga, lakini sasa imefunguka, “alisema Ummy.
Alieleza kuwa Serikali iliamua kufanya ubunifu baada ya kujuliza ni jinsi gani wataboresha barabara za vijijini, hivyo kubuni chanzo hicho cha tozo za simu na mafuta ambacho sasa kinaleta matokeo chanya yanayoonekana.
“Mmemsikia meneja wa Tarura Tanganyika kwamba alikuwa na bajeti ya shilingi milioni 150 tu kwa wilaya nzima ya Tanganyika, lakini sasa kwa sababu ya tozo hii mpya,bajeti yake ya maendeleo ya ujenzi wa barabara inaenda kuongezeka mpaka shilingi bilioni moja na milioni mia tano (1.5 bilioni), “alisema Ummy.
Alisema kuwa kama milioni 150 zimeweza kujenga Km 16 za barabara ni wazi kwa bilioni 1.5 zitaenda kufungua barabara nyingi sana vijijini na kuondoa kero ya muda mrefu kwa wananchi.
Aliwataka watanzania kuendelea kuchangia tozo hiyo ambayo inaenda kuleta ukombozi mkubwa vijijini.
Chanzo: Clouds TV