Ummy Mwalimu: Tozo ya uzalendo ni ubunifu, tunajenga barabara vijijini

Hayo yamesemwa na waziri wa Nchi Ofisi Rais Tamisemi (OR-TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu (Mb) wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Santa Maria - Kabage yenye urefu wa kilomita 16 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tnganyika Mkoani Katavi.
Ummy nilikuona una focus lakini kwa haya maneno yako naanza kukuogopa huenda si wewe niliyekupa credit
 
Kwa hiyo hakuna vyanzo vingine vya mapato visivyoumiza wananchi wanyonge?
 
Yaani hapo watapandishiana mpka posho zao
 
Huyo mgosi shida nae ni tarumbeta kma domo lake
 
Kweli kabisa Ummy ongezeni kodi maradufu tunataka vifurushi vya kodi yaani unalipia mfano kifurushi cha uzalendo plus au uzalendo premium unakuwa unaongeza makato zaidi ukitumia simu....acheni tuijenge nchi yetu nyie🤣
 
we jamaa nadhani kichwani kuna funza howcomes Chadema wamepinga wakati swala ili linaumiza kila mtu kuanzia mwenye kipato cha chini mpaka cha juuu wakati mwingine ni bora utoe mawazo yako bila kuweka bias ya chama
 
Punguzeni Mishahara na Punguzeni Safari na Magari ya ANASA ACHENI KUWAUMIZA WANANCHI KWA KODI ZA AJABU
Kuna zile Suzuki Jimny new model za halmashauri zile wangenunuliwa Wabunge wote watumie zile kwanza ni 4x4 halafu imara sana zingewafaa sana wazalendo wenzetu wa Mjengoni!😅

Pili posho zipigwe panga nazo some percent iende kwenye solidarity funds! Mishahara pia walipe PAYE na VAT kama watumishi wengine tu! Kinachobaki kifyekwe by 10% kiende kwenye mfuko wa mshikamano!

Zile zikiongozana 10 ni sawa na Mafuta ya VX 2 tu!
 
Pumbavu kabisa kwanini huo ubunifu usianzie bungeni kwenye marupurupu yao Kisha uende kwenye Baraza la mawaziri...

Wanasiasa Wengi wa ki Afrika wana upungufu wa Akili kichwani.
Halafu ni uzalendo kwa wenye simu tu? Rubbish statement ever.
 
Ubunifu ni kuumiza wananchi kwa tozo kubwa? Ngoja na sisi tuwe na tozo ya ubunifu 2025.
 

 
Mh,upigaji umeanza mapema?!!mi nilijua hizo tozo zitasaidia barabara za vijijini kuwekwa lami kumbe ni kuchonga na kuzifanya zipitike tuuu!!!mbona tozo zilizowekwa ni kubwa mnoo?!
 
kodi hii lazima tuilipe
Inawezekana ukawa na hoja nzuri, lakini ni kukumbushe tu kuwa kodi hii ni tozo la kufanya miamala ya tukutuma pesa kwa njia ya simu, so Ulazima wa kulipa inategemea na utumiaji wa huduma hiyo.....kuna watakao amua kuacha kutumia huduma hizo...Pia kuna watakao amua kupunguza uwezo wao wa ku recharge vifurushi kwenye simu zao, mfano mtu alikuwa ana recharge 5000 kwa siku anaweza kurudi kwenye buku kwa siku ili akatwe tshs 5 tu.....hapo inaweza ikawa imekula kwetu!
 
Sikiliza hoja zao acha mihemko ya kichama wewe, hakuna mpinzan ambae anapinga maendeleo. Hua wanahoja zao jinsi gan ya kufanya jambo fulani
 
Lengo la hizi tozo ni kuuwa ajira na uchumi, badala ya kuchochea export wamekalia matozo.Bidhaa moja kodi mara 4 uliona nchi gani duniani wanafanya hivi
 
Nimeshaongea sana kuwa wanaoturudisha nyuma nchi hii ni wabunge. Hiki cheo hakina maana zaidi ya kutuletea matabaka.

Bunge lisiwepo. Hata hao wanaopigania Katiba mpya, hawajabeba ajenda ya kitaifa zaidi ya kutafuta upenyo wa kwenda bungeni kuendelea kuwanyonya watanzania.

Tunaweza kuendelea kuwa na mabaraza ya madiwani yanatosha kabisa. Pia kukawa na Baraza kuu la madiwani lenye uwakilishi wa madiwani wawili au watatu kila mkoa kwa ajili ya kuishauri serikali na kutunga sheria.

Wabunge ndio maadui wa maendeleo ya Tanzania. Tuanze kupunguza hizi takataka ndio tuhimize Katiba mpya
 
Na wao kama wabunge wachangie 10% ya mishahara yao kama kuonyesha uzalendo na kuunga mkono juhudi za kutengenezwa barabara za vijijini kwa wapiga kura wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…