Ummy Mwalimu unatumia ukaribu wako na Othman kuwaangamiza wenzako

Ummy Mwalimu unatumia ukaribu wako na Othman kuwaangamiza wenzako

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,692
Reaction score
3,891
Wote tunajua nguvu aliyonayo huyu jamaa wa Tanga former DGIS katika uongozi wa Nchi kwa sasa. Hata huyu bwana aliyewekwa toka Kigoma kawekwa na hao hao wenye nguvu. Ummy Mwalimu anatumia sana uwezo wa kumfikia mwenye Mamlaka kuwaharibia wenzake anaofanya nao kazi. Alianza kwa Major General aliyekuwa MSD, Mamlaka ikatangaza kumuondoa kwa aibu Jenerali wa Jeshi.

Kama haitoshi, kwa kutumia mbinu hiyo hiyo ya ovyo na mafungamano yao ya kikanda amemuondoa Profesa Makubi ameletewa Mtu wa kwao waongoze Wizara ya Afya kama shamba la Bibi. Huu uhuni una mwisho wake na sio mwisho mzuri. Huyu Ummy nahisi anatumia miti shamba kwa sababu hata marehemu JPM alijikuta anampenda tu na kumuacha wizarani mara kadhaa wakati ni miongoni mwa waziri wenye ufanisi mdogo.

Mfano kwa kukwama muswada wa bima ya afya kwa wote kuingia Bungeni mara mbili huyu alitakiwa ajiuzulu kwa kumshauri vibaya mwenye mamlaka. Anyway endeleeni kujazana kwa ukanda wenu huo kwenye kila sekta muhimu.
 
Samia ameshajipambanua kuna watu wake anawasikiliza no matter what, hao ndio anawaamini zaidi, ukianza na Mwigulu, uje kwa Makamba, na huyu Ummy.

Kuna wakati nilimsikia kwenye moja ya hotuba zake akiwataka watendaji wafanye kwa kufuata mawazo ya wengine, kama wizarani, basi alitaka Katibu Mkuu lazima afuate kile waziri wake na Naibu wake wanavyotaka, kama ikitokea akaenda kinyume nao, akaripotiwa kwa Samia anatemwa, bila kusikilizwa upande wake.

Yule Basila Mwanukuzi nae aliyekuwa mkuu wa wilaya Korogwe, balaa la aina hii lilimwangukia, kushindwa kwake kwenda sawa na kile wanachotaka wenzake, hata kama hakikuwa sahihi, akaripotiwa kwa mamlaka ya uteuzi, mwishowe akaondolewa.
 
hahahaha nimejichekea tu mpaka ninepaliwa kahawa asubuhi hii..

ile draft na kile kijiwe chao pale ndio kimempa "mimi mabint dam dam" uminister... ndio maana hata brother K mkuu wa kaya na chairman wa kijiwe sometime weekend hufika yale maeneo.
 
Hongera sana Mh.Samia Suruhu Hassan Hawa Sukuma gang watakukwsmisha.Profesa Makubi aliweka ukabila sana pale Wizara ya afya.Imefika Wakuu wa Idara wananyanyasa Watumishi wa Afya nchi nzima.Kisa kiburi Cha aliye waweka kuwa mpole sana.
 
Samia ameshajipambanua kuna watu wake anawasikiliza no matter what, hao ndio anawaamini zaidi, ukianza na Mwigulu, uje kwa Makamba, na huyu Ummy.

Kuna wakati nilimsikia kwenye moja ya hotuba zake akiwataka watendaji wafanye kwa kufuata mawazo ya wengine, kama wizarani, basi alitaka Katibu Mkuu lazima afuate kile waziri wake na Naibu wake wanavyotaka, kama ikitokea akaenda kinyume nao, akaripotiwa kwa Samia anatemwa, bila kusikilizwa upande wake.
Profesa Abel Makubi tunaondoka naye kwenye mbio za urais 2025
 
Wote tunajua nguvu aliyonayo huyu jamaa wa Tanga former DGIS katika uongozi wa Nchi kwa sasa. Hata huyu bwana aliyewekwa toka Kigoma kawekwa na hao hao wenye nguvu. Ummy Mwalimu anatumia sana uwezo wa kumfikia mwenye Mamlaka kuwaharibia wenzake anaofanya nao kazi. Alianza kwa Major General aliyekuwa MSD, Mamlaka ikatangaza kumuondoa kwa aibu jenerali wa jeshi.

Kama haitoshi, kwa kutumia mbinuhiyo hiyo ya hovyo na mafungamano yao ya kikanda amemuondoa Profesa Makubi ameletewa Mtu wa kwao waongoze Wizara ya Afya kama shamba la Bibi. Huu uhuni una mwisho wake na sio mwisho mzuri. Huyu Ummy nahisi anatumia miti shamba kwa sababu hata marehemu JPM alijikuta anampenda tu na kumuacha wizarani mara kadhaa wakati ni miongoni mwa waziri wenye ufanisi mdogo.

Mfano kwa kukwama muswada wa bima ya afya kwa wote kuingia Bungeni mara mbili huyu alitakiwa ajiuzulu kwa kumshauri vibaya mwenye mamlaka. Anyway endeleeni kujazana kwa uganda menu huo kenye kila sekta muhimu.
Inawezekana anqcheza rafu za kisiasa,lakini sio kutumia uganga,mambo ya uchawi sio kweli,kwanini
 
Wote tunajua nguvu aliyonayo huyu jamaa wa Tanga former DGIS katika uongozi wa Nchi kwa sasa. Hata huyu bwana aliyewekwa toka Kigoma kawekwa na hao hao wenye nguvu. Ummy Mwalimu anatumia sana uwezo wa kumfikia mwenye Mamlaka kuwaharibia wenzake anaofanya nao kazi. Alianza kwa Major General aliyekuwa MSD, Mamlaka ikatangaza kumuondoa kwa aibu jenerali wa jeshi.

Kama haitoshi, kwa kutumia mbinuhiyo hiyo ya hovyo na mafungamano yao ya kikanda amemuondoa Profesa Makubi ameletewa Mtu wa kwao waongoze Wizara ya Afya kama shamba la Bibi. Huu uhuni una mwisho wake na sio mwisho mzuri. Huyu Ummy nahisi anatumia miti shamba kwa sababu hata marehemu JPM alijikuta anampenda tu na kumuacha wizarani mara kadhaa wakati ni miongoni mwa waziri wenye ufanisi mdogo.

Mfano kwa kukwama muswada wa bima ya afya kwa wote kuingia Bungeni mara mbili huyu alitakiwa ajiuzulu kwa kumshauri vibaya mwenye mamlaka. Anyway endeleeni kujazana kwa uganda menu huo kenye kila sekta muhimu.
Mawazir wenye bahati awamu hii ni kutoka Tanga. January, Umy Aweso nk. Hawagusiki hao. Ni awamu yao hii. Tulia!!!!
 
Sema Jenister Mhagama na Capatain George Mkuchika ni Kama Wana KIZIZI.

Hata aje Rais gani, wao wapo tu mpaka WAFIE Madarakani.
Namchukia Jenista sijui kwasababu gani? mama katesa Sana wastaafu kwa mipango yake ya hovyo kabisa, hajali wastaafu! Mstaafu alikuwa mtumishi wa umma ametumikia nchi miaka mingi amewekeza pesa zake kwa LAZIMA huko serikalini, Leo anapewa kwa mafungu yasiyo ya tija! not fair
 
Namchukia Jenista sijui kwasababu gani? mama katesa Sana wastaafu kwa mipango yake ya hovyo kabisa, hajali wastaafu! Mstaafu alikuwa mtumishi wa umma ametumikia nchi miaka mingi amewekeza pesa zake kwa LAZIMA huko serikalini, Leo anapewa kwa mafungu yasiyo ya tija! not fair
Jenista hawezi kufanya chochote bila baraka za mteuzi wake na baraza la Mawaziri, tuna mifumo ya hovyo sn ya kutegemea mawazo ya mtu mmoja
 
Wewe sasa ndiyo mdini 100%, watu wanateuliwa kama wamekidhi vigezo husika na si vinginevyo. Ungekuwa na hoja kama ungesema mama Samia kateua huyu au yule lakini si mtanzania, au unaleta ushahidi hapa, ungeeleweka.

Wewe una shida ya Islamophobia, deal nalo hilo kwanza, siku utakapo kuja kurealize dini ya mtu ni suala lake yeye binafsi na Mungu wake na wewe halikushughulishi, utaishi maisha mazuri sana.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Samia ameshajipambanua kuna watu wake anawasikiliza no matter what, hao ndio anawaamini zaidi, ukianza na Mwigulu, uje kwa Makamba, na huyu Ummy.

Kuna wakati nilimsikia kwenye moja ya hotuba zake akiwataka watendaji wafanye kwa kufuata mawazo ya wengine, kama wizarani, basi alitaka Katibu Mkuu lazima afuate kile waziri wake na Naibu wake wanavyotaka, kama ikitokea akaenda kinyume nao, akaripotiwa kwa Samia anatemwa, bila kusikilizwa upande wake.

Sawa tu kwa kinachowakuta!!kwani wao wanaamini zaidi kuongozwa kwa matakwa ya mtu na sio sheria!!si ndio wanapokuwa madarakani wanasema katiba mpya itakuletea chakula mezani!

Mfano kenya juzi RUTO alitengua uenyekiti wa bodi wa jamaa mmoja,aliyeteuliwa na kenyata, jamaa amekataa amekwenda mahakamani na mahakama imezuia kwa muda hadi kesi ya msingi itakaposikilizwa!!
 
Profesa Makubi ni mzuri shida amliwaweka Wasukuma kwenye Idara Wizarani.Wakaota pembe nakuanza kunyanyasa Watumishi wa Afya nchi mzima.Hasa kutumia waraka alio utoa kaimu karibu Mkuu Dr.Ahmad Makuwani kuvamia taasisi na kunyanyasa Watumishi nchi nzima.
Waraka gani huo?
 
Back
Top Bottom