Ummy Mwalimu unatumia ukaribu wako na Othman kuwaangamiza wenzako

Ummy Mwalimu unatumia ukaribu wako na Othman kuwaangamiza wenzako

Criticism wizara ya afya, nishati, kilimo, habari na sasa hivi maliasili ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Ummy Mwalimu hiyo wizara sio size yake kabisa; ata management ya hospitali ya wilaya aimudu seuse wizara.

Kila mtu atamuona mchawi tu huko wizarani anaemuharibia kazi ilhali yeye mwenyewe ni clueless kwenye maswala ya health management.

Ata wakati wa Magufuli, Ummy alikuwa awaelewani na katibu mkuu wa wizara kipindi yupo afya mpaka kuna siku Magu akawakosoa hadharani wawe kwenye same page katika maamuzi yao sio kurushiana vijembe Whatsaap.

Ni aibu namna hii serikali inavyoendeshwa na inataka moyo kweli kusifia heck, teuzi za week hii zimewapa watu wa hovyo hovyo kweli nafasi. Inafikia hatua ata kumkosoa kiongozi mmoja unaona kama unamuonea kwa sababu kama vilaza wapo wengi au wenye makando yao wapo kila sehemu kwanini uchague kumnanga fulani tu.

Solution ni kumtoa huyo mama 2025 kumuongezea muda ni kwenda kuiharibu hii nchi zaidi na zaidi.
 
LAWAMA hazitokusaidia chochote walaumu mababu zako walikataa kusoma leo hii una kazi ya kulaumu watu ambao babu walisoma wakawasomesha ili wakukomeshe. Aise jikite kwenye kutafuta pesa ukiona nchi aikutendei haki HAMA
 
Wote tunajua nguvu aliyonayo huyu jamaa wa Tanga former DGIS katika uongozi wa Nchi kwa sasa. Hata huyu bwana aliyewekwa toka Kigoma kawekwa na hao hao wenye nguvu. Ummy Mwalimu anatumia sana uwezo wa kumfikia mwenye Mamlaka kuwaharibia wenzake anaofanya nao kazi. Alianza kwa Major General aliyekuwa MSD, Mamlaka ikatangaza kumuondoa kwa aibu Jenerali wa Jeshi.

Kama haitoshi, kwa kutumia mbinu hiyo hiyo ya ovyo na mafungamano yao ya kikanda amemuondoa Profesa Makubi ameletewa Mtu wa kwao waongoze Wizara ya Afya kama shamba la Bibi. Huu uhuni una mwisho wake na sio mwisho mzuri. Huyu Ummy nahisi anatumia miti shamba kwa sababu hata marehemu JPM alijikuta anampenda tu na kumuacha wizarani mara kadhaa wakati ni miongoni mwa waziri wenye ufanisi mdogo.

Mfano kwa kukwama muswada wa bima ya afya kwa wote kuingia Bungeni mara mbili huyu alitakiwa ajiuzulu kwa kumshauri vibaya mwenye mamlaka. Anyway endeleeni kujazana kwa ukanda wenu huo kwenye kila sekta muhimu.
Umeongea Kwa uchungu, pole sana.
 
Wote tunajua nguvu aliyonayo huyu jamaa wa Tanga former DGIS katika uongozi wa Nchi kwa sasa. Hata huyu bwana aliyewekwa toka Kigoma kawekwa na hao hao wenye nguvu. Ummy Mwalimu anatumia sana uwezo wa kumfikia mwenye Mamlaka kuwaharibia wenzake anaofanya nao kazi. Alianza kwa Major General aliyekuwa MSD, Mamlaka ikatangaza kumuondoa kwa aibu Jenerali wa Jeshi.

Kama haitoshi, kwa kutumia mbinu hiyo hiyo ya ovyo na mafungamano yao ya kikanda amemuondoa Profesa Makubi ameletewa Mtu wa kwao waongoze Wizara ya Afya kama shamba la Bibi. Huu uhuni una mwisho wake na sio mwisho mzuri. Huyu Ummy nahisi anatumia miti shamba kwa sababu hata marehemu JPM alijikuta anampenda tu na kumuacha wizarani mara kadhaa wakati ni miongoni mwa waziri wenye ufanisi mdogo.

Mfano kwa kukwama muswada wa bima ya afya kwa wote kuingia Bungeni mara mbili huyu alitakiwa ajiuzulu kwa kumshauri vibaya mwenye mamlaka. Anyway endeleeni kujazana kwa ukanda wenu huo kwenye kila sekta muhimu.
Naunga mkono hoja,hata kule Tamisemi alikokuwa awali Kuna Tukio lilitokea taasisi Fulani ya Tamisemi na hivyo kupelekea Mchengerwa Kuondolewa Utumishi..

Sijui kama ni kupendwa au laa ila mara kadhaa nimemsikia mh.Rais akimuita Oddo Ummy so wanashibana kiaina..

Kwa Sasa boss wako akiwa mwana mama aisee mkazinguana kidogo tuu ujue unaondoka.
 
Profesa Makubi ni mzuri shida amliwaweka Wasukuma kwenye Idara Wizarani.Wakaota pembe nakuanza kunyanyasa Watumishi wa Afya nchi mzima.Hasa kutumia waraka alio utoa kaimu karibu Mkuu Dr.Ahmad Makuwani kuvamia taasisi na kunyanyasa Watumishi nchi nzima.
Nani ambae Huwa haweki watu wa kwao?
 
Yaani turudi siasa za ukanda, udini na ukabila?

Hii Si Nchi aliyoiacha Nyerere.
 
Acha majungu. Waziri Ummy ni mzuri kuanzia sura hadi utendaji wake wa kazi.
 
Wote tunajua nguvu aliyonayo huyu jamaa wa Tanga former DGIS katika uongozi wa Nchi kwa sasa. Hata huyu bwana aliyewekwa toka Kigoma kawekwa na hao hao wenye nguvu. Ummy Mwalimu anatumia sana uwezo wa kumfikia mwenye Mamlaka kuwaharibia wenzake anaofanya nao kazi. Alianza kwa Major General aliyekuwa MSD, Mamlaka ikatangaza kumuondoa kwa aibu Jenerali wa Jeshi.

Kama haitoshi, kwa kutumia mbinu hiyo hiyo ya ovyo na mafungamano yao ya kikanda amemuondoa Profesa Makubi ameletewa Mtu wa kwao waongoze Wizara ya Afya kama shamba la Bibi. Huu uhuni una mwisho wake na sio mwisho mzuri. Huyu Ummy nahisi anatumia miti shamba kwa sababu hata marehemu JPM alijikuta anampenda tu na kumuacha wizarani mara kadhaa wakati ni miongoni mwa waziri wenye ufanisi mdogo.

Mfano kwa kukwama muswada wa bima ya afya kwa wote kuingia Bungeni mara mbili huyu alitakiwa ajiuzulu kwa kumshauri vibaya mwenye mamlaka. Anyway endeleeni kujazana kwa ukanda wenu huo kwenye kila sekta muhimu.
Wewe jamaa ulizoweya utawala wa ukabila wa magufuli sasa kila ukiona jina la mtu la Kiswahili unahisi hivyo
 
Wote tunajua nguvu aliyonayo huyu jamaa wa Tanga former DGIS katika uongozi wa Nchi kwa sasa. Hata huyu bwana aliyewekwa toka Kigoma kawekwa na hao hao wenye nguvu. Ummy Mwalimu anatumia sana uwezo wa kumfikia mwenye Mamlaka kuwaharibia wenzake anaofanya nao kazi. Alianza kwa Major General aliyekuwa MSD, Mamlaka ikatangaza kumuondoa kwa aibu Jenerali wa Jeshi.

Kama haitoshi, kwa kutumia mbinu hiyo hiyo ya ovyo na mafungamano yao ya kikanda amemuondoa Profesa Makubi ameletewa Mtu wa kwao waongoze Wizara ya Afya kama shamba la Bibi. Huu uhuni una mwisho wake na sio mwisho mzuri. Huyu Ummy nahisi anatumia miti shamba kwa sababu hata marehemu JPM alijikuta anampenda tu na kumuacha wizarani mara kadhaa wakati ni miongoni mwa waziri wenye ufanisi mdogo.

Mfano kwa kukwama muswada wa bima ya afya kwa wote kuingia Bungeni mara mbili huyu alitakiwa ajiuzulu kwa kumshauri vibaya mwenye mamlaka. Anyway endeleeni kujazana kwa ukanda wenu huo kwenye kila sekta muhimu.
Ndugu yangu, naona unamtetea Makubi. Hili halikubaliki kamwe. Kama kitu huelewi uliza. Uteuzi huu ulichelewa sana
 
Namchukia Jenista sijui kwasababu gani? mama katesa Sana wastaafu kwa mipango yake ya hovyo kabisa, hajali wastaafu! Mstaafu alikuwa mtumishi wa umma ametumikia nchi miaka mingi amewekeza pesa zake kwa LAZIMA huko serikalini, Leo anapewa kwa mafungu yasiyo ya tija! not fair
Hilo ni kosa la jenister? Hayo ni maamuzi ya serikali.
 
Wewe sema unachojua, sasa kusema majungu ndo nini? Ni rahisi kukenua meno ukipendwa, next morning ukiumizwa ndo utaelewa thamani ya meno yako.
 
Wote tunajua nguvu aliyonayo huyu jamaa wa Tanga former DGIS katika uongozi wa Nchi kwa sasa. Hata huyu bwana aliyewekwa toka Kigoma kawekwa na hao hao wenye nguvu. Ummy Mwalimu anatumia sana uwezo wa kumfikia mwenye Mamlaka kuwaharibia wenzake anaofanya nao kazi. Alianza kwa Major General aliyekuwa MSD, Mamlaka ikatangaza kumuondoa kwa aibu Jenerali wa Jeshi.

Kama haitoshi, kwa kutumia mbinu hiyo hiyo ya ovyo na mafungamano yao ya kikanda amemuondoa Profesa Makubi ameletewa Mtu wa kwao waongoze Wizara ya Afya kama shamba la Bibi. Huu uhuni una mwisho wake na sio mwisho mzuri. Huyu Ummy nahisi anatumia miti shamba kwa sababu hata marehemu JPM alijikuta anampenda tu na kumuacha wizarani mara kadhaa wakati ni miongoni mwa waziri wenye ufanisi mdogo.

Mfano kwa kukwama muswada wa bima ya afya kwa wote kuingia Bungeni mara mbili huyu alitakiwa ajiuzulu kwa kumshauri vibaya mwenye mamlaka. Anyway endeleeni kujazana kwa ukanda wenu huo kwenye kila sekta muhimu.
Wewe, tangu lini MSD inaongozwa na Major General? MSD inapaswa kuongozwa na mwenye fani inayohusu dawa, hifadhi na usambazaji siyo vita. Katibu wa Wizara anateuliwa na Rais, siyo Waziri.
 
Namfahan Prof Makubi ni mchapakazi hasa. ni mfutiliaji wa mambo, ni msikivu kwlei kweli. lakini sijui kimetokea mpaka akaondolewa wizara ya Afya.
 
Mama Samia awezi kumpiga chini Ummy ilo sahau.
nasoma comment za malalamiko kuhusu teuzi mama anateuwa wa Pwani,Rais katueuwa watu kutoka kanda zote ila amuwezi kuliona hilo kwasababu ni kuna team malalamiko huwa ipo tu hata Rais awe Malaika bado team malalamiko italalama.
 
Jibu ni KATIBA mpya, Si kushabikia siasa za ukanda,

Tofauti Yako na waliopo unaowatuhumu kuchaguana Kwa udini ni ipi sasa😳😳
 
Back
Top Bottom