Ummy Mwalimu unatumia ukaribu wako na Othman kuwaangamiza wenzako

Ummy Mwalimu unatumia ukaribu wako na Othman kuwaangamiza wenzako

Teuzi lazima zibalance, huwezi kuteua mikoa 2 mawaziri 9
Ulimchagua unaemlalamikia Kwa uchaguzi upi?

Turudi kwenye kuandika KATIBA mpya, tuhakikishe tumebadili vifungu vinavyosema akifariki Rais, Makamo anashika nafasi,

Ikitokea Rais kafariki,turudi Kwa uchaguzi, haya mambo kuweka vifungu Kwa kuogopa gharama za uchaguzi ndo yametufikisha hapa.
 
Ulimchagua unaemlalamikia Kwa uchaguzi upi?

Turudi kwenye kuandika KATIBA mpya, tuhakikishe tumebadili vifungu vinavyosema akifariki Rais, Makamo anashika nafasi,

Ikitokea Rais kafariki,turudi Kwa uchaguzi, haya mambo kuweka vifungu Kwa kuogopa gharama za uchaguzi ndo yametufikisha hapa.
Naunga mkono hoja, huwezi kuwa na kiongozi wa namna hii
 
Jenista hawezi kufanya chochote bila baraka za mteuzi wake na baraza la Mawaziri, tuna mifumo ya hovyo sn ya kutegemea mawazo ya mtu mmoja
Huu ni ujinga
Tusipo dai katiba mpya kuna kichaa mwingne atakuja kuwaambia mlale saa sita mchana kazi mfanye usiku
 
Huyu Ummy nahisi anatumia miti shamba kwa sababu hata marehemu JPM alijikuta anampenda tu na kumuacha wizarani mara kadhaa wakati ni miongoni mwa waziri wenye ufanisi mdogo.
Mbinu mbadala muhim sana.
 
January, Aweso, Ummy wote Tanga au kuna mwingine
 
Sema Jenister Mhagama na Capatain George Mkuchika ni Kama Wana KIZIZI.

Hata aje Rais gani, wao wapo tu mpaka WAFIE Madarakani.
Ila Jenister anazidi tu kunawiri na uso unazidi tu kuwa wa Baby Face. Wakinamama wakikamata hela ni hatari sana
 
Back
Top Bottom