Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
-
- #21
Nimemwelewa sana Waziri UmmyLa nne la saba na kidato cha nne ni kisanga shule kuanzia mwezi wa kwanza mpaka mtihani wa mwisho.
No likizo tena ni lazima ulipie pesa wakati wa hizo program za likizo.
Hii inaonyesha kuna uwezekano wa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri hivi karibuni. Pengine Boss Lady keshatonywa kuhusu hilo.||Sitaki kutia neno, Msikilize hadi mwisho Waziri wa TAMISEMI Mhe Ummy Mwalimu,
Waziri kazilenga hizo shule za private,hizo ndio zimeanzisha taratibu za kubakisha wanafunzi shuleni kipindi cha likizo huku wakiwapa wazazi amri kutoa pesa nyingine nje ya ada ya kawaidaUkimsikiliza mwanasiasa ambaye mtoto wake anasoma internation school utajua hujui.
Unasoma shule ya kata isiyo na mwalimu wa physics wala hesabu then unakatazwa usiende masomo ya ziada
na unafuata pole.
rc alimshambukia ndalichako akawa hana la kumfanya pasi ikapigwa kwa ummy tuone sasa rc aseme swi!Huyu Ummy hajakutana na mkuu wa mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka
hii ndio wizara kubwa, serikali ya Tanganyika ndani ya muunganoHii inaonyesha kuna uwezekano wa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri hivi karibuni. Pengine Boss Lady keshatonywa kuhusu hilo.
Enyi maprofesa na madokta, muda wenu wa kurudi vyuoni umefika sasa. Si mlikuwa mnakenua meno na kusema Mama anaupiga mwingi!? Hiyo ndiyo habari ya mjini, Mh. Ummy wizara ya elimu utafanya vyema kuliko hii uliyonayo hivi sasa.
Hata shule za serikali walianza huu mchezo ikifika likizo tu hakuna kufunga.Waziri kazilenga hizo shule za private,hizo ndio zimeanzisha taratibu za kubakisha wanafunzi shuleni kipindi cha likizo huku wakiwapa wazazi kutoa pesa nyingine nje ya ada ya kawaida
Hauko serious..||Sitaki kutia neno, Msikilize hadi mwisho Waziri wa TAMISEMI Mhe Ummy Mwalimu,
We utakuwa mwalimu wa kati ya hayo masomo. Hata hivyo, watoto wanahaki ya kupumzika mbona zamani haya hayakuwepo na tulipita fresh tu?Ukimsikiliza mwanasiasa ambaye mtoto wake anasoma international school utajua hujui.
Unasoma shule ya kata isiyo na mwalimu wa physics wala hesabu then unakatazwa usiende masomo ya ziada
na unafuata pole.
Aaaaaaaaaaaaaaa huyu!!😆😆😆😆😆😆😆😆😆Huyu mama nampenda sana aise,
Natamani siku moja awe juuu
Zamani kulikuwa na shule za kata?We utakuwa mwalimu wa kati ya hayo masomo. Hata hivyo, watoto wanahaki ya kupumzika mbona zamani haya hayakuwepo na tulipita fresh tu?
Aliyetangulia alikuwa ni "PhD holder" hivyo aliwavuta "elites" wenzake wanukie waridi ijapokuwa ya kwake ilikuwa na utata mwingi. Huyu wa sasa hasukumwi na uwepo wa "elites" ndani ya serikali yake, ijapokuwa alilazimika kuwa na Makamu wa Rais ambaye ana jiwe la kitaaluma.hii ndio wizara kubwa, serikali ya Tanganyika ndani ya muungano
Kwa shule za kata tu.Wewe unaamini katika masomo ya ziada?
Mtamu sana.Mviringo shingoni mwake hua unanikosha balaa
Hata hayati Eliasi Kihombo T.O ambaye rekodi yake haijafikiwa mpakaWewe unaamini katika masomo ya ziada?
Acha kuwaza vitu vidogo na visivyo na maana kupata ajira ni connection na bahati ya mtu. Mimi kama sio tuition saivi ningekua zangu porini. Nimesoma form four sina teacher wa physics sasa unaniambia nisiende tution kisa sitajua komputer na lugha. This is nonsense. Kwani kila kazi zinahitaji ujue komputer na lugha?Na kweli siku hizi wanazingua mm likizo time ndio ulikua muda wa kwenda Tanga pale barabara ya 1 kulikua na project kwaajili ya wanafunzi,naenda pale kushindana debate na naenda kusoma computer. Kuna watu kwa kufuata haya masomo ya ziada unafika chuo mtu lugha hajui na computer hajui n.k,akimaliza ndio majanga zaidi sokoni haajiriki
Aliyetangulia alikuwa ni "PhD holder" hivyo aliwavuta "elites" wenzake wanukie waridi ijapokuwa ya kwake ilikuwa na utata mwingi. Huyu wa sasa hasukumwi na uwepo wa "elites" ndani ya serikali yake, ijapokuwa alilazimika kuwa na Makamu wa Rais ambaye ana jiwe la kitaaluma.
Ni kipindi kifupi kijacho atapewa shahada kadhaa za uzamivu za heshima ili aweze tu kutambulika na kutambulishwa majukwaani kama msomi wa hadhi ya udaktarmafu
Watoto wanachoka sana. Elimu haipaswi kuwa hivyo. Muda wanaopewa watumie vîzuri. Ili likizo iwe likizoHana haki ya kupangia watu wautumiaje muda wao!